Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Kweli ila hapo alivyo andika amekosea herufi moja tuSio kachumbari
Hizi lugha 2 zinaendana baadhi ya maneno
Kweli ila hapo alivyo andika amekosea herufi moja tuSio kachumbari
Hizi lugha 2 zinaendana baadhi ya maneno
Oooh kumbe uko vizurikinyakyusa, kihaya, kisukima najua salamu zao.
Lugha ya kwetu "kizugua"_ ni almost kama kiswahili kwaiyo nakisikia vizuri wakiongea sema kujibu ndio mtihani.
Yupo sawaKweli ila hapo alivyo andika amekosea herufi moja tu
Sawa ila mi najua kwanini nasema amekoseaYupo sawa
Hakuna alipokosea
Amekosea neno gani??Sawa ila mi najua kwanini nasema amekosea
Utwambombo ni kindaliAmekosea neno gani??
Inawezekana ikawa kweli..ilotakiwa aandikaje?
Izimbombo Ni kisafwa na kimalilaUtwambombo ni kindali
Izimbombo ni kinyiha na kisafwa hawa maneno yanaingiliana kama ilivyo kwa mnyakyusa na mndali
Sawa ila mi mbozi huwa tunaulizana izimbombo labda shida lafuzi zakeIzimbombo Ni kisafwa na kimalila
Kinyiha,kindali na kinyakyusa wanatumia utwa mbombo
humu mmetawala nyinyi tuOooh kumbe uko vizuri
Kinatofautiana kutokana na mazingira..Sawa ila mi mbozi huwa tunaulizana izimbombo labda shida lafuzi zake
humu mmetawala nyinyi tu


Sawa usijali mkuu lugha zinasafiri na mwingilianoKinatofautiana kutokana na mazingira..
Mazingira niliyokaa Mimi wanatumia utwa mbombo(za kazi)...kuuliza inatumia hiyo hiyo
Nimefuatilia unavyokipiga sio pouwa.
Mimi mbabaishaji tu
Naweza kuandika kuliko kuongea
HahahaNimefuatilia unavyokipiga sio pouwa.
Wanangu lazima waje waongee, ntafanya kila namna lazima tudumishe na kuenzi mila











Halafu hicho nilichoongea Sana na dadangu Khantwe sio kilugha ChanguNimefuatilia unavyokipiga sio pouwa.
Wanangu lazima waje waongee, ntafanya kila namna lazima tudumishe na kuenzi mila




KweliSawa usijali mkuu lugha zinasafiri na mwingiliano
Ni kindali? yako wewe ni ipiHalafu hicho nilichoongea Sana na dadangu Khantwe sio kilugha Changu![]()
Kinyiha habari ya kazi wanasemajeHapa kachumbali ya kindali na kinyiha
Halafu hicho nilichoongea Sana na dadangu Khantwe sio kilugha Changu![]()


mimi pia si kilugha changu, sio hata mwenyeji wa mkoa huo ila niliwahi kukaa huko