Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Ndugu yangu Kirikou 1, ninashukuru sana kuniwezesha kuzipata nyimbo original za album ya Sauti ikatoka KKKT Mabibo.

Naomba umalizie kuweka hapa nyimbo za mbili za kwenye ile album ambazo hukuziweka 1.Nitamwandama Bwana na 2.Mateso yake Bwana Yesu. Natanguliza shukrani zangu kwako ndugu.
 
Jamani mimi nimeangalia toka mwanzo kuna mwenzangu kaulizia nyimbo mbili za zamani sana lakini humu hakuna aliyeziweka. Naomba mnisaidie nakumbuka kidogo tu mashairi lakini siwakumbuki waimbaji:-
1. Mpanzi alikwenda panda mbegu njema shambani mwake. Na nyingine zilianguka kwenye mwamba, na nyingine ziliangika pakavu, na nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri zikazaa moja mia nyingine themanini. Na sisi bwana mungu katupanda shambani mwake ...........................

2. Na alipofika juu aliuona mji, akalia kwa sauti, yerusalem yerusalem laiti ungalitambua yapasayo amani. Manabii wengi nalikupa wengine ukawaua kwa mawe, yerusalem yerusalem laiti unagalitambua yapasayo amani......................................................

Yaani mwenye hizi nyimbo za zamani sana akinipatia kwa kweli nitabarikiwa sana.
 
Jamani mimi nimeangalia toka mwanzo kuna mwenzangu kaulizia nyimbo mbili za zamani sana lakini humu hakuna aliyeziweka. Naomba mnisaidie nakumbuka kidogo tu mashairi lakini siwakumbuki waimbaji:-
1. Mpanzi alikwenda panda mbegu njema shambani mwake. Na nyingine zilianguka kwenye mwamba, na nyingine ziliangika pakavu, na nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri zikazaa moja mia nyingine themanini. Na sisi bwana mungu katupanda shambani mwake ...........................

2. Na alipofika juu aliuona mji, akalia kwa sauti, yerusalem yerusalem laiti ungalitambua yapasayo amani. Manabii wengi nalikupa wengine ukawaua kwa mawe, yerusalem yerusalem laiti unagalitambua yapasayo amani......................................................

Yaani mwenye hizi nyimbo za zamani sana akinipatia kwa kweli nitabarikiwa sana.
 
Jamani mimi nimeangalia toka mwanzo kuna mwenzangu kaulizia nyimbo mbili za zamani sana lakini humu hakuna aliyeziweka. Naomba mnisaidie nakumbuka kidogo tu mashairi lakini siwakumbuki waimbaji:-
1. Mpanzi alikwenda panda mbegu njema shambani mwake. Na nyingine zilianguka kwenye mwamba, na nyingine ziliangika pakavu, na nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri zikazaa moja mia nyingine themanini. Na sisi bwana mungu katupanda shambani mwake ...........................

2. Na alipofika juu aliuona mji, akalia kwa sauti, yerusalem yerusalem laiti ungalitambua yapasayo amani. Manabii wengi nalikupa wengine ukawaua kwa mawe, yerusalem yerusalem laiti unagalitambua yapasayo amani......................................................

Yaani mwenye hizi nyimbo za zamani sana akinipatia kwa kweli nitabarikiwa sana.


Ila hizi nyibo nadhani walirekodi upya, si ile version ya mwanzo. Hata hivyo, kwa kuwa nyimbo bado zinabeba ujumbe ule ule na maneno na sauti havijabadilika sana, nina hakika kiu yako itakatwa.
 
Mimi natafuta wimbo wenye maneno..ndugu zangu mnaishi dunia yenye dhiki, jipeni moyo.....kibwagizo "jenga imani yako, kwenye mwamba imaraaa, mwamba wetu ni Yesu..Alfa na Omega"...sijui uliimbwa na kwaya gani zamani kweli
Hata mimi naitafuta album hii. Kwaya iliyoimba ni ya Mbeya na kuna wimbo unaitwa PESA. Tape yao ilikuwa imechorwa noti ya shilingi 500. Mwenye kuweza kupata nyimbo hizi tafadhali atuwekee.
 
"Samsoni alikwenda soleti, huko akamwona delila, hakujua kwamba huyo delila, Akikuwa ni mpeleeezi "

Chorus : " Delila alimdanganya (mdanganya), kisha aaa akamtoa... Kisha aaa akamfuunga kwa kaamba "

Aliwaita Wafilisti mje mje, nguvu zake Samsoni leo zime Kwisha"


Wakuu.... Huu wimbo unanikumbusha longi sana nilipokuwa mtoto.... HIVI UNAITWAJE? NANI WALIUIMBA na naweza kuupata wapi?
 
Back
Top Bottom