The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 2,326
- 3,202
Karibuni madereva bodaboda kwenye uzi wenu
Ina maana kwamba Watu ambao siyo bodaboda hawaruhusiwi kuchangia chochote kile kwenye uzi huu? Anyway.Karibuni madereva bodaboda kwenye uzi wenu
unaruhusiwa mm mwenyewe sio dereva bodabodaIna maana kwamba Watu ambao siyo bodaboda hawaruhusiwi kuchangia chochote kile kwenye uzi huu? Anyway.
Wapunguze pia na kutembea na wake za watuKazi ni kipimo cha Utu, hongereni kwa kazi
Nyie wadau jifunzeni kuwa Wasafi.
Jifunzeni kuwa Wasiri, sio nakuja kupata huduma unaanza kutoa siri za Mteja wa jana.
Punguzeni kung'ang'ania pesa za Wateja wenu kwa kisingizio cha kukosa chenji.
Jifunzeni kuheshimu watumiaji wengine wa barabara siyo kukwaruza na kugonga na kuvunja Side miror za magari na bajaj.
Jifunzeni kujali Uhai wenu kwa kuepuka spidi na kutumia vilevi muwapo barabarani.
All in all Bodaboda mnasubir kiongozi mwenye maono afute utumiaji wa bodaboda kama njia ya usafiri maaana kwenye jamii yoyote iliyostaarabika kamwe haikubaliki!
Hoja zote uko sahihi kabisaa, nakazia.Kazi ni kipimo cha Utu, hongereni kwa kazi
Nyie wadau jifunzeni kuwa Wasafi.
Jifunzeni kuwa Wasiri, sio nakuja kupata huduma unaanza kutoa siri za Mteja wa jana.
Punguzeni kung'ang'ania pesa za Wateja wenu kwa kisingizio cha kukosa chenji.
Jifunzeni kuheshimu watumiaji wengine wa barabara siyo kukwaruza na kugonga na kuvunja Side miror za magari na bajaj.
Jifunzeni kujali Uhai wenu kwa kuepuka spidi na kutumia vilevi muwapo barabarani.
All in all Bodaboda mnasubir kiongozi mwenye maono afute utumiaji wa bodaboda kama njia ya usafiri maaana kwenye jamii yoyote iliyostaarabika kamwe haikubaliki!
😂😂😂😂😂Bodaboda wengi ni wambea sana, mambo yao ni kama wanawake.
Akikupeleka sehemu haondoki mpaka akuone unaenda wapi
😂😂😂😂Hivyo ni vijiwe vya wanafiki,hakuna siri.kifupu acheni kamdomo.
Ila kuwaita maafisa usafirishaji ni kuwadhihakiKaribuni madereva bodaboda kwenye uzi wenu
Bodaboda wengi ni wambea sana, mambo yao ni kama wanawake.
Akikupeleka sehemu haondoki mpaka akuone unaenda wapi
Mkuu umenichekeshaBodaboda wengi ni wambea sana, mambo yao ni kama wanawake.
Akikupeleka sehemu haondoki mpaka akuone unaenda wapi
Uko sahihi kabisaa.Suala hili limekuwa likiwagharimu bodaboda wengi sana. Wapo baadhi ya Watu wengine wamejiingiza kwenye kazi hiyo ya bodaboda lakini kiuhalisia siyo bodaboda kamili, bali ni Mawakala wa wale jamaa wavaa kaunda suti.Wapo kwenye vilinge vya bodaboda wakiwa na ajenda zao za Siri mifukoni mwao, Sasa bodaboda wengine ambao bado hawajashutukia mchezo wamekuwa wakizibeba ajenda za hao jamaa ambazo huwa wanazipenyeza kwa Siri kwa bodaboda hao na kisha kusababisha madhara mabaya Sana kwa baadhi yao ambao hawajui mambo ya undani kabisa kuhusu ajenda hizo. Wengi wao wamekuwa wakiuawa na kufa vifo vyenye utata bila ya kujulikana bayana kwa Wanandugu zao vyanzo halisi vya vifo hivyo.
Bodaboda wanapaswa kuchukua tahadhari kubwa sana kuhusu suala hili
Risk kubwa sanahii kazi ina_risk sana.