Uzembe Wetu umetufikisha Hapa ...Inauma

Tatizo me naona ni kwamba dereva yule ni wa scul bus na cdhan kama anauzoefu na long route, pia ugeni wa barabara, na hali ya Hewa ni chanzo cha ajali,,, Ila kikubwa ni kwamba kwa zaid YA asilimia 80% ukichunguza utagundua lile gari alikua na mikanda YA abiria ndyo sababu ilikua rahisi kwa watu wote kuchomolewa nyuma na kijirundika wote mbele,,, so sad!! Rest in PEACE angels.
 
Lile basi maximamu.ni watu 24,limeweka watoto 33,walimu 3.

Kwanza shule lazima ishtakiwe.Watoto hawa wazazi wao wamelupa full nauli ya kwenda na kurudi kwanini sikodishwe basi kubwa ya Watu 48 mbili watoto wakawa comfortable.Hizi pesa Mara nyingi walimu na wenye shule wanapeana.Ifike mahali hata zile school basi zianze kubabea wanafunzi level seat,tuache mauaji haya.

Tusialaumu ajali tulaumu Mwalimu mkuu na owner wa shule.Basi kilikuwa limepakiwa mzigo mkubwa kuliko uwezo wake.

Tuache kulaumu trafiki tuanze na sisi wenyewe wazazi kuwasimamia wenye shule
Ni kweli kabisa hizi shule zinakawaida ya kujaza watoto kama mizigo..kuna kipindi shule moja kimara tuliwashusha watoto ili kupata bus jingine.. Hatua stahiki zichukuliwe kwa uzembe huu..
 
Kwanza R.I.P kwa watoto na ndugu zetu waliopoteza maisha katika ajali hii.Pili pole sana kwa wazazi na ndugu walikumbwa na msiba huu. Mola awape moyo wa ustahimilivu.
Lakini, kusema kuwa ajali ni ajali tu siyo sahihi. Kama ingekuwa hivyo kwa mini tuwe na polisi wa usalama barabarani, kwa nini tuwe na alama za barabarani, kwa nini tuwe na matuta, kwa nini tunashauriwa kufunga mikanda, kuvaa helmet, kujali kasi ya mwendo wa vyombo vyetu na kadhalika? Ni kwa sababu ajali zinaweza kuzuilika. Kuna nchi nyingi zenye magari mengi maradufu kuliko Tanzania lakini hazina ajali nyingi za barabarani kama hapa kwetu.
Kuna tatizo hapa na lazima kwanza tulikubali na tulitafutie ufumbuzi. Magari mengi yanayo wasafirisha watoto wetu ki ukweli hayapo katika ubora unaotakiwa kimatengenezo na hayana ukaguzi wowote.
 
....
.....We need to Rethink uzembe uzembe Uzembe
Serikali irudi katika mashule yote na ikague magari yanayotumika kubeba wanafunzi kwani mashule mengi yanatumia magari yaliyochakaa sana kiasi kwamba inawezekana ndiyo ikawa hata ndiyo chanzo cha ajali iliyochukua watoto wetu.
 
It seems the bus was libovu na nahisi service lilikua halihuzulii on time.brake kufeli ni uzembe kwa nini brake ifeli.
Hata madereva wetu waleo ni wengi wao hawajui kucheck magari yao pindi wanapoyachukua asubuhi,brake fluid imo ikitokea dharura brake zimefail tumia hand brake ivute polepole meno mawili mawili gari itapunguza mwendo badili gear weka low range 3,2,1 hapo umeshalicontrol gari kama ni mteremko mkali simama piga simu machenics watumwe.
 
TUKIO HILI LITUFUNZE KWAMBA, MOSI, Magari ya SHULE yawe na ukaguzi maalum wa Mara kwa Mara, PILI, Watoto wasikalishwe seat moja watoto watatu au zaidi. TATU, Kabla ya safari waalimu wahakikishe kila mtoto kafunga mkanda na waelezwe umuhimu wa mkanda huo. NNE, Waalimu wamdhibti dereva pale anapoendesha kwa kazi kubwa bila kuzingatia hali ya hewa, na nature ya Barbara YENYEWE ilivyo. AJALI HII ILIYOTOKEA CHANZO NI MWENDOKASI WA DEREVA GARI LIKAMSHINDA LIKASEREREKA NA NDO HAYA MATOKEO YAKE.JAMBO LA KUSIKITISHA DEREVA ALIENDESHA MWENDO KASI NA WAALIMU WALIKUWEMO WAKAMUANGALIA ILI WAWAHI KUFIKA!! KUTEGEMEA TRAFIK BILA WEWE MWENYEWE KUJIJALI ITAWAGHARIMU SANA.KUMBUKA UKIMUACHA DEREVA AENDESHE ATAKAVYO AJALI IKITOKEA UTAKUFA WEWE DEREVA MARA NYINGI HUPONA.!!! Kazi kwenu mnaojifanyaga mpo kimya. Mimi binafsi ninaposafiri ninaweka Katibu kabisa namba za polis ili dereva akiendesha vibaya namkemea akigoma kupunguza mwendo namwambia napiga Simu Polisi nikimwambis hivyo hupunguza mwendo hata kama baadhi ya abiria wasiojielewa humtaka aongeze mwendo. TUWE MAKINI TUACHE UZEMBE
Nikweli Mkuu, sema kwa asili yetu hata hatutajifunza lolote, labda kwakuwa raisi ni mkali. Ubinafsi umetujaa na sifa za kijingajinga.
 
Hawa maaskari wetu wanaojazana mijini kukusanya mapato ya tra wawekwe huko high way kudhibiti mwendokasi
Hivi lakini tudhibitiwe na askari wakati nasisi ni watu wenye akili na ndoto zetu? Gari linapakia watu halafu abiria mpo, mumtegemee tu askari ktk kudhibiti mwendo kweli jamani?
 
Sihukumu ila
katika magari mabovu yanayobeba abiria Tanzania..Magari ya Shule(school buses) yanaongoza Kwa ubovu...

Pumzikeni Kwa Amani watoto wangu...
Hapa umesema la ukweli, mtu gari lake likishashindwa mshindani ktk biashara ya usafirishaji wa abiria hulikodisha kwa shule, mbona ya watalii ni mazuri? Ubinafsi ndo dhambi kuu kupita zote.
 
Acha siasa kwenye mambo kama haya. Pengine hujawahi kukumbwa na ajali. Hakuna mtu anaependa ajali haswa akiwa amebeba roho za watu wengi sembuse yake mwenyewe. Sababu za ajali mara nyingi hazihusiani na mamlaka. Bali mazingira ya sehemu ajali ilipo tokea.
Ni sawa lakini je ile kauli ya raisi ambaye kumtaja tu unakuwa umetaja siasa ilikuwa na mlengo wa kuokoa ama kuangamiza.
Mie sipo kisiasa bali nataka kuusema ukweli bila kunali unamgusa mwanasiasa,shehe ama askofu au mpagani sisi ni waoga na hatuna hofu ya Mungu.Kosta hubeba watu ishirini na tano lakini mle kulikuwa na watu karibia arobaini je ni sawa?.Shule ina magari mangapi?.
Hadi sasa kama hujui shule ndizo zinazoongoza kwa kuwa na magari mabovu ya kubeba wanafunzi na watawala wanajua maana ndiyo wamiliki wa shule hizo.
Leo elimu shule za serikali inaporomoka kwa sababu agenda yao kuu ni kuua shule za serikali ili kuinua shule za binafsi.
Walipigana hadi wakampata waziri wa elimu ili akadumaze elimu kwa kuwa ni mmiliki wa shule binafsi.
Watoto walipofeli wakaingia upya kuadjust matokeo ili ionekane wamefaulu sana chini ya ccm hadi ndaluchako akaona aibu akajiuzulu kukwepa ujinga huo.
Mimi sipendi kulemba ukweli nitasema daima huyu waziri asiyejua historia ya nchi yake aliyesema tuliungana na zimbabwe akiwa afrika ya kusini humjui alivyoharibu elimu yetu.Namsema huyu wa mbeya wa nyanda za juu kusini Mlugo.
Ccm mnachaguana tu hata kama mtu kichwani kweupe mnampa uwaziri kisa tu jinsia yake ama ukanda wake.Hv nyie walimwengu nani kawaambia ukitibiwa na daktari wa kike malaria ndiyo unapona haraka au kiongozi akiwa wa koromije ndiyo tunapata maendeleo.
Badilikeni.
 
Watu wengine mnalaumu msichokijua uzembe wa nani sasa tuache lawama jamani wafariji wafiwa acha lawama
Kwahiyo hakuna uzembe hapo? Unataka kusema wamekufa kwa natural death wale au ni an act of God? Wameondolewa na Kimondo kwani? Kwa vyovyote ni uzembe, hata kutoforesee ni uzembe wa kufikiri. Uwe wa askari, mmliki, dereva, gari , walimu, uzembe upo tu, tusifiche maradhi, kifo kitatuumbua.
 
....
.....hilo basi uwezo wake ni kupakia abiria wangapi?
36 kwa toyota coaster ni sawa,ni gari ngumu sana na zina powerful 1hz engines,kwa hapa dar ndio zinaongoza katika usafirishaji wa watu tena over loaded.
 
Mbona gari zilikuwa Tatu..hii iliyopata ajali ilikuwa nyuma....lakini pia tuna uhakika gani kwamba kwenye hiyo picha ndio wahusika je kama walipanda zile gari mbili za mbele
 
Kwahiyo hakuna uzembe hapo? Unataka kusema wamekufa kwa natural death wale au ni an act of God? Wameondolewa na Kimondo kwani? Kwa vyovyote ni uzembe, hata kutoforesee ni uzembe wa kufikiri. Uwe wa askari, mmliki, dereva, gari , walimu, uzembe upo tu, tusifiche maradhi, kifo kitatuumbua.

Kwahiyo nawe ukipata ajali tuseme uzembe
 
Sadness.png
 
Lile basi maximamu.ni watu 24,limeweka watoto 33,walimu 3.

Kwanza shule lazima ishtakiwe.Watoto hawa wazazi wao wamelupa full nauli ya kwenda na kurudi kwanini sikodishwe basi kubwa ya Watu 48 mbili watoto wakawa comfortable.Hizi pesa Mara nyingi walimu na wenye shule wanapeana.Ifike mahali hata zile school basi zianze kubabea wanafunzi level seat,tuache mauaji haya.

Tusialaumu ajali tulaumu Mwalimu mkuu na owner wa shule.Basi kilikuwa limepakiwa mzigo mkubwa kuliko uwezo wake.

Tuache kulaumu trafiki tuanze na sisi wenyewe wazazi kuwasimamia wenye shule
Yes there you are.
 
Back
Top Bottom