Uzee: Maana, kuzuia uzee wa mapema,changamoto na jinsi ya kuwatunza wazee

Mama Sky Eclat haya mambo utayaweza tu kama uchumi uko stable, otherwise ni kujidanganya hasa kwetu walala hoi mazingira hayaruhusu.
mkuu mwanzoni ni gharama kidogo lakini baada ya muda hutakuwa na gharama.andaa bustani ndogo ktk mifuko,ndoo mbovu,magunia n.k panda mbogamboga,mpunga kidogo,mchaimchai,nk utabaki na gharama ya matunda ambayo huwezi yapanda na kuvuna kwa muda mfupi
 
I wish ningekuona and wewe uanze kula hizo mboga na matunda mi niendelee na michanganyiko ya nyama. Then after twenty years tu judge nani kazeeka.

Sikatai kula vibaya kunaweza kukaharibu mwili.

Lakini pia kula mboga tu hautengenezi mwili. . .yaani hakusaidii kutozeeka .
Madam ukifika 70 utaonekana 70 tu regardless ulikua unakula vizuri vip?

So usijitese kabda kama ni hobby yako
mkuu ni kweli unakuwa ns muonekano usio wa uzee ila hutakuwa na.nguvu UNAKUWA MWEPESI BALAA! KAMA UNA
SHUGHULI ZA KUTUMIA NGUVU SIKUSHAURI ULE HIVYO
 
UKILA KWA UTARATIBU UMAKUWA KAMA "KISAMA" KULAKULA.KILA MARA NA NJAA HAIELEWI MBOGAMBOGA INSLATAKA WANGA ILI ITULIE !.NISHUGHULI SI JAMBO DOGO NA UKUBALI KUWA KARIBU NA CHOONI LAZIMA UKASALIMIE KILAMARA TENA
 
mkuu mwanzoni ni gharama kidogo lakini baada ya muda hutakuwa na gharama.andaa bustani ndogo ktk mifuko,ndoo mbovu,magunia n.k panda mbogamboga,mpunga kidogo,mchaimchai,nk utabaki na gharama ya matunda ambayo huwezi yapanda na kuvuna kwa muda mfupi
Aksante kwa ushauri
 
UKILA KWA UTARATIBU UMAKUWA KAMA "KISAMA" KULAKULA.KILA MARA NA NJAA HAIELEWI MBOGAMBOGA INSLATAKA WANGA ILI ITULIE !.NISHUGHULI SI JAMBO DOGO NA UKUBALI KUWA KARIBU NA CHOONI LAZIMA UKASALIMIE KILAMARA TENA
Wanga unatafuna viazi vitamu au mihogo mibichi.
 
Wanga unatafuna viazi vitamu au mihogo mibichi.
hahahahahaa mkuu nimeanza na kucheka
hivyo viazi au muhogo mbichi tabu yake ipo hapa:-
ILI UULE MBICHI BILA MADHARA NI LAZIMA
UUKOSHE KWA MAJI YA MOTO ILI KUUA VIJIDUDU NA VIMELEA VYAKE,KIUKWELI UKIFANYA HIVI UKILA LAZIMA UVIMBIWE NA UPEPO UTAKAO TOA TUMBONI HARUFU YAKE HAIPIMIKI!!!

UKILA BILA KUKOSHA KWA MAJI MOTO TUMBO LAKO LINAKUWA NDO MAKAZI YA MINYOO NA BAKTERIA WA AINA KIBAO .ITAKUWA TAIFODI WEWE,AMIBA WEWE!!
 
hahahahahaa mkuu nimeanza na kucheka
hivyo viazi au muhogo mbichi tabu yake ipo hapa:-
ILI UULE MBICHI BILA MADHARA NI LAZIMA
UUKOSHE KWA MAJI YA MOTO ILI KUUA VIJIDUDU NA VIMELEA VYAKE,KIUKWELI UKIFANYA HIVI UKILA LAZUMA UVIMBIWE NA UPEPO UTAKAO TOA TUMBONI HARUFU YAKE HAIPIMIKI!!!

UKILA BILA KUKOSHA KWA MAJI MOTO TUMBO LAKO LINAKUWA NDO MAKAZI YA MINYOO NA BAKTERIA WA AINA KIBAO .ITAKUWA TAIFODI WEWE,AMIBA WEWE!!
Mungu ametuwekea acid tumboni ambayo inaua vidudu vingi kabla ya digestion process kuanza, unapoanza kutafuna tu na acid inaanza kujitenga tumboni kusubiri chakula kuingia.
 
Mungu ametuwekea acid tumboni ambayo inaua vidudu vingi kabla ya digestion process kuanza, unapoanza kutafuna tu na acid inaanza kujitenga tumboni kusubiri chakula kuingia.
mmmh!ni sawa ila mkuu mimi nilikuwa mtumiaji wa hayo mamsosi yasiyo pikwa yaliyonikuta nime ghairi muhogo na viazi na mahindi machanga mabichi nimebaki na mbogambiga ndo nakula raw lakini wanga lazima upikwe na nipo vema kabisa
 
mmmh!ni sawa ila mkuu mimi nilikuwa mtumiaji wa hayo mamsosi yasiyo pikwa yaliyonikuta nime ghairi muhogo na viazi na mshindi mabichi nimebaki na mbogambiga ndo nakula raw lakini wanga lazima upikwe na nipo vema kabisa
Ilikuwa ni mapito tu ya njia ulikutana na rough road, usingekata tamaa mkuu.
 
Hta kwa matumizi kma ya kawaida hapo nyumban, unaweza pia ukapunguza baadhi ya vyakula na vinywaji. Achana na soda, ongeza sn maji, kula mboga mboga kwa wingi. Fanya sana mazoezi, punguza matumizi ya sukar na waambie nyumban kutumia kiwango kdg cha mafuta wakat wa mapishi.

Pia kuwa makini na KIWANGO CHA CHAKULA unachokula. Kuna mwingine sahani ya wali inajazwa mpk juu, au ugali mkubwa utafikiri wapo wa3, kumbe yupo peke yake. KULA KWA KIASI, jazia njaa yko na maji ukiweza. Siku ukiweza kupata matunda, basi ni bora zaidi.

Hyo ni kwa yale matumizi ya kila siku ya kawaida BILA KUONGEZA HELA YOYOTE.

Kumbuka;

"YOU ARE, WHAT YOU EAT".
 
Ilikuwa ni mapito tu ya njia ulikutana na rough road, usingekata tamaa mkuu.
mkuu sky Eclat niliishi kwa miaka zaidi ya 20 bila kuugua typhoid,u.t.i ,minyoo,tumbo la kuhara na malaria nikiwa nakula mbogamboga mbichi na matunda wanga unapikwa.
Lakini nilipo jaribu kuwa nakula mihogo viazi na mahindi mabichi haipiti mwezi typhoid mara minyoo uti na nilipo rudia mfumo wa mwanzo mambo yapo safi na siijui typhoid na mengine mwaka wa 5 sasa huu
 
Hta kwa matumizi kma ya kawaida hapo nyumban, unaweza pia ukapunguza baadhi ya vyakula na vinywaji. Achana na soda, ongeza sn maji, kula mboga mboga kwa wingi. Fanya sana mazoezi, punguza matumizi ya sukar na waambie nyumban kutumia kiwango kdg cha mafuta wakat wa mapishi.

Pia kuwa makini na KIWANGO CHA CHAKULA unachokula. Kuna mwingine sahani ya wali inajazwa mpk juu, au ugali mkubwa utafikiri wapo wa3, kumbe yupo peke yake. KULA KWA KIASI, jazia njaa yko na maji ukiweza. Siku ukiweza kupata matunda, basi ni bora zaidi.

Hyo ni kwa yale matumizi ya kila siku ya kawaida BILA KUONGEZA HELA YOYOTE.

Kumbuka;

"YOU ARE, WHAT YOU EAT".
You nailed it mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom