Uzao wa nguruwe na maajabu yake

Uzao wa nguruwe na maajabu yake

Nguruwe ni mnyama pendwa No. 1 duniani. Tembea kokote duniani ni lazima usikie tu habari nzuri za huyu kiumbe wa MUNGU.

Kitimoto hupikwa katika namna mbalimbali kama rojo /kavu / choma na huliwa kwa ugali ama ndizi.

Huwezi kwenda mahali ukaambiwa hapa nguruwe hamna. Popote uendako ni lazima umkute mnyama huyu japokuwa analiwa kwa kasi zote na kwa ushindani wa hali ya juu sana.

Hapa Tanzania wananchi wanapenda sana kula kitimoto. Pamoja na wingi wa wateja lakini huwezi kumkosa kitimoto popote uendapo mikoa yote Tanzania nzima iwe mijini vijijini ama mitaani.

Sijui uzao wao ukoje. Hawaishi kamwe! Wapo tu na wanawasubiri muwafuate.
Karibuni sana niko hapa mbuchimai nasubiri kiive
FB_IMG_1526195322628.jpg
 
Back
Top Bottom