Uzao wa nguruwe na maajabu yake

Uzao wa nguruwe na maajabu yake

Aisee huku kwetu morogoro nguruwe wamevamia na ugonjwa mtaani kwetu yame Baki mazizi meupeee. Wanao changanyikiwa wamechanganyikiwa wanao jikaza wamejikaza-- Nihatari babaaaa
 
Chukua kipande cha nyama weka juani 5minutes kinatoa funza 😀
Longolongo tu hizo mzee ingekuwa hivyo hao funza si tungewaona huko mabuchani?nakotokea mimi mdudu anachinjwa hata saa sita mchana wa jua kali hakuna mahali imetokea hii sayansi yako uliyoandika hapa.

Nasisitiza ni uwongo mkubwa!
 
Back
Top Bottom