Uzao wa nguruwe na maajabu yake

Uzao wa nguruwe na maajabu yake

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Nguruwe ni mnyama pendwa No. 1 duniani. Tembea kokote duniani ni lazima usikie tu habari nzuri za huyu kiumbe wa MUNGU.

Kitimoto hupikwa katika namna mbalimbali kama rojo /kavu / choma na huliwa kwa ugali ama ndizi.

Huwezi kwenda mahali ukaambiwa hapa nguruwe hamna. Popote uendako ni lazima umkute mnyama huyu japokuwa analiwa kwa kasi zote na kwa ushindani wa hali ya juu sana.

Hapa Tanzania wananchi wanapenda sana kula kitimoto. Pamoja na wingi wa wateja lakini huwezi kumkosa kitimoto popote uendapo mikoa yote Tanzania nzima iwe mijini vijijini ama mitaani.

Sijui uzao wao ukoje. Hawaishi kamwe! Wapo tu na wanawasubiri muwafuate.
 
Kitimoto uzao mmoja kama ulimtunza vizuri anazaa watoto 8-14 so unaweza kuona hapo, pia ni biashara nzuri sana kama umejipanga
Kweli Mkuu ukitaka kufaifi uzao wake subiri joto la pili umpandishe la kwanza mwache ,....mimi wangu mpigo wa kwanza alizaa piglets 13 ,wa pili 12 na subiri mzao wa tatu mm.ukilisha vzr uka watoa kwa 90000 au laki piglets kumi uko mbali sana sema uvumilivu na subira vina hitajika
 
Hata kwa sisi wafugaji inalipa ile mbaya!
 
Back
Top Bottom