Uzandiki wa Mbowe na Mustakabali wa CHADEMA

ubongokid

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
2,002
3,829
Kwa habari zilizoko ni kwamba wale wabunge 19 wa Chadema wamevuliwa uanachama.KISA hawakupitishwa na CHAMA.

Swali ambalo najiuliza JE Mbowe na Chadema wanataka kuteua wabunge wengine kwa nafasi hizo?Kama jibu ni Ndio basi Mbowe hafai kuwa Mwenyekiti wa Chadema na Chadema hakina hadhi ya kuwa chama kitakachoipeleka Tanzania Mbele.

Mbowe amewahi kugombea URAIS wa nchi.Mbowe amewahi kulazimisha Lowasa agombee kwa tiketi ya Chadema bila ridhaa ya Mkutano Mkuu.Lowasa hakuwa mwanachadema wala mfuasi wa itikadi za Chadema lakini MBOWE alilazimisha na akalazimisha na akawa mgombea wa URAIS kwa tiketi ya chadema.

Kwa sisi ambao tunafahamu yanayofanyika ndani ya Chadema hasa kuhusu viti maalum tunajua kwamba kilichotokea 2020 kuhusu viti maalum hakikuwa kubebwa na CCM bali ni lile kudni kutambua kwamba MBOWE na wenzake walikuwa na watu wao ambao wameshawaandaa kwa ajili ya kuwapa nafasi hizo.

Kwa kuona vile ikawa ni kuwahi. Na wao wakawahi na wakapitishwa.Kile kitendo kikawaumiza Mbowe na wenzake wakaamua kuleta mizengwe.

Inatosha tu kusema uzandiki wa MBOWE hauna afya kwa CHADEMA wala kwa demokrasia na haki za wanawake
 
Huo mpango wenu MUNGU ameukataa ndio maana mungu wenu kajifia, spika kajiachisha uspika.
 
Swali ambalo najiuliza JE Mbowe na Chadema wanataka kuteua wabunge wengine kwa nafasi hizo?Kama jibu ni Ndio basi Mbowe hafai kuwa Mwenyekiti wa Chadema na Chadema hakina hadhi ya kuwa chama kitakachoipeleka Tanzania Mbele.
Ninyi ambao wajomba zenu walipitishwa kwa mkono wa mungu wa sukuma gang kuwa wabunge mna hofu sana na siasa za mama SSH na chadema.

Kwasabb mnajua mpira ukiwekwa uwanjani hao wajomba zenu hawarudi mjengoni
 
Kwa habari zilizoko ni kwamba wale wabunge 19 wa Chadema wamevuliwa uanachama.KISA hawakupitishwa na CHAMA.

Swali ambalo najiuliza JE Mbowe na Chadema wanataka kuteua wabunge wengine kwa nafasi hizo?Kama jibu ni Ndio basi Mbowe hafai kuwa Mwenyekiti wa Chadema na Chadema hakina hadhi ya kuwa chama kitakachoipeleka Tanzania Mbele.

Mbowe amewahi kugombea URAIS wa nchi.Mbowe amewahi kulazimisha Lowasa agombee kwa tiketi ya Chadema bila ridhaa ya Mkutano Mkuu.Lowasa hakuwa mwanachadema wala mfuasi wa itikadi za Chadema lakini MBOWE alilazimisha na akalazimisha na akawa mgombea wa URAIS kwa tiketi ya chadema.

Kwa sisi ambao tunafahamu yanayofanyika ndani ya Chadema hasa kuhusu viti maalum tunajua kwamba kilichotokea 2020 kuhusu viti maalum hakikuwa kubebwa na CCM bali ni lile kudni kutambua kwamba MBOWE na wenzake walikuwa na watu wao ambao wameshawaandaa kwa ajili ya kuwapa nafasi hizo.

Kwa kuona vile ikawa ni kuwahi. Na wao wakawahi na wakapitishwa.Kile kitendo kikawaumiza Mbowe na wenzake wakaamua kuleta mizengwe.

Inatosha tu kusema uzandiki wa MBOWE hauna afya kwa CHADEMA wala kwa demokrasia na haki za wanawake
Kwanini unadhani Jibu ni Ndio ? mbona juzi tu Chadema wamesisitiza kwamba hawatateua yeyote kwenye viti maalum ! unayo ajenda binafsi ?
 
Kwa habari zilizoko ni kwamba wale wabunge 19 wa Chadema wamevuliwa uanachama.KISA hawakupitishwa na CHAMA.

Swali ambalo najiuliza JE Mbowe na Chadema wanataka kuteua wabunge wengine kwa nafasi hizo?Kama jibu ni Ndio basi Mbowe hafai kuwa Mwenyekiti wa Chadema na Chadema hakina hadhi ya kuwa chama kitakachoipeleka Tanzania Mbele.

Mbowe amewahi kugombea URAIS wa nchi.Mbowe amewahi kulazimisha Lowasa agombee kwa tiketi ya Chadema bila ridhaa ya Mkutano Mkuu.Lowasa hakuwa mwanachadema wala mfuasi wa itikadi za Chadema lakini MBOWE alilazimisha na akalazimisha na akawa mgombea wa URAIS kwa tiketi ya chadema.

Kwa sisi ambao tunafahamu yanayofanyika ndani ya Chadema hasa kuhusu viti maalum tunajua kwamba kilichotokea 2020 kuhusu viti maalum hakikuwa kubebwa na CCM bali ni lile kudni kutambua kwamba MBOWE na wenzake walikuwa na watu wao ambao wameshawaandaa kwa ajili ya kuwapa nafasi hizo.

Kwa kuona vile ikawa ni kuwahi. Na wao wakawahi na wakapitishwa.Kile kitendo kikawaumiza Mbowe na wenzake wakaamua kuleta mizengwe.

Inatosha tu kusema uzandiki wa MBOWE hauna afya kwa CHADEMA wala kwa demokrasia na haki za wanawake
WEWE ndio MZANDIKI MKUBWA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kwa habari zilizoko ni kwamba wale wabunge 19 wa Chadema wamevuliwa uanachama.KISA hawakupitishwa na CHAMA.

Swali ambalo najiuliza JE Mbowe na Chadema wanataka kuteua wabunge wengine kwa nafasi hizo?Kama jibu ni Ndio basi Mbowe hafai kuwa Mwenyekiti wa Chadema na Chadema hakina hadhi ya kuwa chama kitakachoipeleka Tanzania Mbele.

Mbowe amewahi kugombea URAIS wa nchi.Mbowe amewahi kulazimisha Lowasa agombee kwa tiketi ya Chadema bila ridhaa ya Mkutano Mkuu.Lowasa hakuwa mwanachadema wala mfuasi wa itikadi za Chadema lakini MBOWE alilazimisha na akalazimisha na akawa mgombea wa URAIS kwa tiketi ya chadema.

Kwa sisi ambao tunafahamu yanayofanyika ndani ya Chadema hasa kuhusu viti maalum tunajua kwamba kilichotokea 2020 kuhusu viti maalum hakikuwa kubebwa na CCM bali ni lile kudni kutambua kwamba MBOWE na wenzake walikuwa na watu wao ambao wameshawaandaa kwa ajili ya kuwapa nafasi hizo.

Kwa kuona vile ikawa ni kuwahi. Na wao wakawahi na wakapitishwa.Kile kitendo kikawaumiza Mbowe na wenzake wakaamua kuleta mizengwe.

Inatosha tu kusema uzandiki wa MBOWE hauna afya kwa CHADEMA wala kwa demokrasia na haki za wanawake
Chadema inapendwa hata nje ya nchi
1653532596325.png


Huyo mtotot kauwawa Texas lakini alikuwa anaipenda CHADEMA.
 
Kwa hiyo akina Mdee ili kuwahi kupeleka majina kabla ya Mbowe,
Wakapitia Singida wakafungua gereza wakaenda na Hanje kuapishwa,
Maajabu huwa hayaishi siasa za TZ.
 
Kwa habari zilizoko ni kwamba wale wabunge 19 wa Chadema wamevuliwa uanachama.KISA hawakupitishwa na CHAMA.

Swali ambalo najiuliza JE Mbowe na Chadema wanataka kuteua wabunge wengine kwa nafasi hizo?Kama jibu ni Ndio basi Mbowe hafai kuwa Mwenyekiti wa Chadema na Chadema hakina hadhi ya kuwa chama kitakachoipeleka Tanzania Mbele.

Mbowe amewahi kugombea URAIS wa nchi.Mbowe amewahi kulazimisha Lowasa agombee kwa tiketi ya Chadema bila ridhaa ya Mkutano Mkuu.Lowasa hakuwa mwanachadema wala mfuasi wa itikadi za Chadema lakini MBOWE alilazimisha na akalazimisha na akawa mgombea wa URAIS kwa tiketi ya chadema.

Kwa sisi ambao tunafahamu yanayofanyika ndani ya Chadema hasa kuhusu viti maalum tunajua kwamba kilichotokea 2020 kuhusu viti maalum hakikuwa kubebwa na CCM bali ni lile kudni kutambua kwamba MBOWE na wenzake walikuwa na watu wao ambao wameshawaandaa kwa ajili ya kuwapa nafasi hizo.

Kwa kuona vile ikawa ni kuwahi. Na wao wakawahi na wakapitishwa.Kile kitendo kikawaumiza Mbowe na wenzake wakaamua kuleta mizengwe.

Inatosha tu kusema uzandiki wa MBOWE hauna afya kwa CHADEMA wala kwa demokrasia na haki za wanawake
dadangu sehemu gani wawashwa sana nikukune
 
Kwa habari zilizoko ni kwamba wale wabunge 19 wa Chadema wamevuliwa uanachama.KISA hawakupitishwa na CHAMA.

Swali ambalo najiuliza JE Mbowe na Chadema wanataka kuteua wabunge wengine kwa nafasi hizo?Kama jibu ni Ndio basi Mbowe hafai kuwa Mwenyekiti wa Chadema na Chadema hakina hadhi ya kuwa chama kitakachoipeleka Tanzania Mbele.

Mbowe amewahi kugombea URAIS wa nchi.Mbowe amewahi kulazimisha Lowasa agombee kwa tiketi ya Chadema bila ridhaa ya Mkutano Mkuu.Lowasa hakuwa mwanachadema wala mfuasi wa itikadi za Chadema lakini MBOWE alilazimisha na akalazimisha na akawa mgombea wa URAIS kwa tiketi ya chadema.

Kwa sisi ambao tunafahamu yanayofanyika ndani ya Chadema hasa kuhusu viti maalum tunajua kwamba kilichotokea 2020 kuhusu viti maalum hakikuwa kubebwa na CCM bali ni lile kudni kutambua kwamba MBOWE na wenzake walikuwa na watu wao ambao wameshawaandaa kwa ajili ya kuwapa nafasi hizo.

Kwa kuona vile ikawa ni kuwahi. Na wao wakawahi na wakapitishwa.Kile kitendo kikawaumiza Mbowe na wenzake wakaamua kuleta mizengwe.

Inatosha tu kusema uzandiki wa MBOWE hauna afya kwa CHADEMA wala kwa demokrasia na haki za wanawake
Kwa hiyo hakuna utaratibu maalum katika kuteua viti maalumu? Kwa hiyo hakuna mhusika maalum wa kukabidhi orodha ya wabunge wa viti maalumu kwa tume ya Uchaguzi? Kwa hiyo Yeyote tu anaweza kupeleka majina?
 
Kwa habari zilizoko ni kwamba wale wabunge 19 wa Chadema wamevuliwa uanachama.KISA hawakupitishwa na CHAMA.

Swali ambalo najiuliza JE Mbowe na Chadema wanataka kuteua wabunge wengine kwa nafasi hizo?Kama jibu ni Ndio basi Mbowe hafai kuwa Mwenyekiti wa Chadema na Chadema hakina hadhi ya kuwa chama kitakachoipeleka Tanzania Mbele.

Mbowe amewahi kugombea URAIS wa nchi.Mbowe amewahi kulazimisha Lowasa agombee kwa tiketi ya Chadema bila ridhaa ya Mkutano Mkuu.Lowasa hakuwa mwanachadema wala mfuasi wa itikadi za Chadema lakini MBOWE alilazimisha na akalazimisha na akawa mgombea wa URAIS kwa tiketi ya chadema.

Kwa sisi ambao tunafahamu yanayofanyika ndani ya Chadema hasa kuhusu viti maalum tunajua kwamba kilichotokea 2020 kuhusu viti maalum hakikuwa kubebwa na CCM bali ni lile kudni kutambua kwamba MBOWE na wenzake walikuwa na watu wao ambao wameshawaandaa kwa ajili ya kuwapa nafasi hizo.

Kwa kuona vile ikawa ni kuwahi. Na wao wakawahi na wakapitishwa.Kile kitendo kikawaumiza Mbowe na wenzake wakaamua kuleta mizengwe.

Inatosha tu kusema uzandiki wa MBOWE hauna afya kwa CHADEMA wala kwa demokrasia na haki za wanawake
Sawa tumekusikia Mbunge wa vitu Maalum.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom