Army of 01
Member
- Nov 5, 2021
- 34
- 33
Aliyetaka kumuua Ayanda alitumwa na nani? Na kwa nini Xulu amem-shoot?
Alitumwa na xulu mwenyewe kabla hajawa hajajua ukweli kwamba ayanda ni mwanaeAliyetaka kumuua Ayanda alitumwa na nani? Na kwa nini Xulu amem-shoot?
Ahaa! Kumbe alishaujua ukweli, maana huku nilipo mitambo ya Tanesco wiki nzima ilikuwa likizo.Alitumwa na xulu mwenyewe kabla hajawa hajajua ukweli kwamba ayanda ni mwanae
sana yani wanaboa kinyama ☹️Woooiiii ITV wenyewe wanaonyesha 20 min instead of 30min wanaboa
Eehh alimkuta yule mke wake anachoma yale makaratasi aliyokuwa nayo nombuso ndo ikabidi amwambie ukweli, wakati hu huo xulu ameshatoa order kwamba ayanda auwawe, hapo ndo alipochanganyikiwa na kuanza kumtafuta ayanda ndo mpka kama ulivyoona leoAhaa! Kumbe alishaujua ukweli, maana huku nilipo mitambo ya Tanesco wiki nzima ilikuwa likizo.
nosi kashapewa uongo wa kitosha na zweli(kwamba alifanya vile kwakua hakua na pesa ya mazishi kwa ajili ya amandla) nosi kaamini na kwenda kuiba ela chumbani kwa wazaz wake na kumpelekea zweli....... ndipo kaka yake mxo akambamba kwani alikua akimfatiliaDaah tupeni intro kidogo
Daah aiseenosi kashapewa uongo wa kitosha na zweli(kwamba alifanya vile kwakua hakua na pesa ya mazishi kwa ajili ya amandla) nosi kaamini na kwenda kuiba ela chumbani kwa wazaz wake na kumpelekea zweli....... ndipo kaka yake mxo akambamba kwani alikua akimfatilia
xulu akiwa bado anamtafta ayanda akaenda kwa manzuza na kumuuliza akaelekezwa kuwa yupo church akawah napo akamkosa
kumbe ayanda yupo shishanyama walipotoka kuelekea home kumbe magaid wanawafatilia wakiwa wapo nje wanapiga stor jambaz alietumwa akajikoki kumshoot ndipo xulu anatokea na kumwokoa ayanda na kisha kumuua yule gaidi aliyemtuma...
kwa mshuko wa risasi manzuza anatoka nje na kuuliza ni nini.. xulu anajitetea kusema kamuokoa ayanda..ayanda akahamaki na kusema mbona huyu ni kijana wako na umejuaje ananifatilia... akabaki kuomba kuongea na manzuza.... ila manzuza akagoma na kijifungia ndani na wanawe na kumuita dhlomo ndipo xulu akakabidhi silaha na kukiri kua yeye ndie alie shoot kwa nia ya kuokoa
Nimeona
pamoja✌️Nimeona
Ahsante
upo juu sana mkuunosi kashapewa uongo wa kitosha na zweli(kwamba alifanya vile kwakua hakua na pesa ya mazishi kwa ajili ya amandla) nosi kaamini na kwenda kuiba ela chumbani kwa wazaz wake na kumpelekea zweli....... ndipo kaka yake mxo akambamba kwani alikua akimfatilia
xulu akiwa bado anamtafta ayanda akaenda kwa manzuza na kumuuliza akaelekezwa kuwa yupo church akawah napo akamkosa
kumbe ayanda yupo shishanyama walipotoka kuelekea home kumbe magaid wanawafatilia wakiwa wapo nje wanapiga stor jambaz alietumwa akajikoki kumshoot ndipo xulu anatokea na kumwokoa ayanda na kisha kumuua yule gaidi aliyemtuma...
kwa mshuko wa risasi manzuza anatoka nje na kuuliza ni nini.. xulu anajitetea kusema kamuokoa ayanda..ayanda akahamaki na kusema mbona huyu ni kijana wako na umejuaje ananifatilia... akabaki kuomba kuongea na manzuza.... ila manzuza akagoma na kijifungia ndani na wanawe na kumuita dhlomo ndipo xulu akakabidhi silaha na kukiri kua yeye ndie alie shoot kwa nia ya kuokoa.....
Nimeleta kwa Hisani ya Jagiya
Leo Mapema hapa 😊😊Vera ginger Its Pancho tushaelezea apo juu tena mpaka Jackal karudia mshindwe nyie tu kupata uhondo😀
Humtosheleziupo juu sana mkuu
Huyu demu nosi kiukweli sielewagi akili yake nadhani anaongozwa na nyege tu
black book pia ana mkutano na kina ayanda muda huo huo acha tuoneNahisi xulu anataka kuulizia black book na sio hela
Acha umbea mwanamke unatuonaga tunavyonyanduana 😁Humtoshelezi