POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Eric Shigongo na mwenzie Kusaga kwa kutumia makampuni yao, wanafanya tamasha kubwa la muziki jumamosi hii pale biafra kino. likiwa na lengo kuu la kuhamasisha vijana kuwa wazalendo na nchi yako. Tamasha hili limeonekana ndio la kwanza kupinga UZALENDO Ikizingatiwa kuwa:
1. Siku ya J'mosi timu yetu ya taifa stars inamechi na vijana wa africa magharibi. UZALENDO UPO WAPI?
2. Tamasha hili limekuwa na picha ya kupinga maandamano ya chadema ambapo. Chadema inasisitiza raia wake tuwe wazalendo, that why huwa wanawaita raia kuwa "wana wa nchi" Je tamasha hili ni la kujenga uzalendo ama kuondoa uzalendo?
1. Siku ya J'mosi timu yetu ya taifa stars inamechi na vijana wa africa magharibi. UZALENDO UPO WAPI?
2. Tamasha hili limekuwa na picha ya kupinga maandamano ya chadema ambapo. Chadema inasisitiza raia wake tuwe wazalendo, that why huwa wanawaita raia kuwa "wana wa nchi" Je tamasha hili ni la kujenga uzalendo ama kuondoa uzalendo?