Nashauri kuwepo na somo maalumu la uzalendo kwa nchi yetu

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,136
7,711
Naishauri Wizara ya elimu irekebishe mtaala na kuweka somo mahsusi litakalo fundisha "uzalendo wa mwananchi kwa Taifa lake" somo hili lianze kufundishwa kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.

Hii itasaidia sana kuwajenga watoto wetu kuwa na uchungu kwa Taifa lao na pia itaondoa wizi na ubadhirifu wa fedha za umma tunao ushuhudia leo kwa baadhi ya watendaji.

Uzalendo usiishie kwa kuimba wimbo wa Taifa letu tu bali uzalendo utawale matendo yetu ya kila siku kwa Taifa letu.

Nashauri wataalamu wa elimu waangalie jinsi ya kuchomeka mtaala/somo la uzalendo kwa watoto wetu. isiishie tu kuimba wimbo wa Taifa bali tuwe na somo litakalo wajenga kuanzia chekechea hadi vyuo.

Lakini pia somo hili la uzalendo lifundishwe kwenye Sunday schools na madrasa za kidini.
 
Ujinga unataka watoto wazidi kubebeshwa mizigo ya misomo ya kijinga ambayo haiwaisaidii kuondokana na umaskini na tatizo la ajira.

Unataka watoto wajazo mamizigo yasiyowasaidia kujikwamua kimaisha eti somo la uzalendo
 
Uzalendo ni mgumu sana kwa staili ya viongozi wetu, huwezi mfundisha mtu uzalendo wakati kakalia dawati bovu, umeme mtihani, maji kijijini kwao hakuna, halafu kuna kiongozi anatembelea gari la milioni 400, mara kuna ubadhirifu wa bilioni 500, mara WENZA wa viongozi nao walipwe 80%.

Huyu anakuelewa vipi, tuanze kwanza na mifano mibaya.
 
Naishauri wizara ya elimu irekebishe mtaala na kuweka somo mahsusi litakalo fundisha "uzalendo wa mwananchi kwa Taifa lake" somo hili lianze kufundishwa kuanzia chekechea hadi chuo kikuu. Hii itasaidia sana kuwajenga watoto wetu kuwa na uchungu kwa Taifa lao na pia itaondoa wizi na ubadhirifu wa fedha za umma tunao ushuhudia leo kwa baadhi ya watendaji.

Uzalendo usiishie kwa kuimba wimbo wa Taifa letu tu bali uzalendo utawale matendo yetu ya kila siku kwa Taifa letu.

Nashauri wataalamu wa elimu waangalie jinsi ya kuchomeka mtaala/somo la uzalendo kwa watoto wetu. isiishie tu kuimba wimbo wa Taifa bali tuwe na somo litakalo wajenga kuanzia chekechea hadi chuo.
Kwa ufupi neno uzalendo tunaliweka kuwa UPENDO.Sasa,upendo ni "two ways traffic "!Nipe nikupe.Kwa Kichina tunasema "Kawoko bita,kawoko piluka"!Unayetaka akupende/aoneshe upendo ni lazima aidha umpende au umuwekee mazingira ya upendo na kupenda bila shuruti.Upendo uwe ni mkondo utiririkao bila mawaa.Utapata uzalendo.
 
Very idealistic.

Kuamini kuwa tiba ya majizi na mafisadi ni elimu; kwamba wakielimishwa kuhusu “ubaya” wa wizi, rushwa, ufisadi basi wataacha na kuwa raia wema hiyo ndiyo inahitaji elimu.

Uzalendo ni neno la propaganda; halina uhalisia katika dunia halisi.

Nyerere aliambiwa na Wachina aachane na dhana ya “ujamaa ni imani”. Alishauriwa kuwa bila nguvu na mabavu ya dola ujamaa hauwezi kujengeka nchini. Asılı ya binadamu ni UBINAFSI.

Yeye (JKN) aliamini kwamba watanzania wakielimishwa juu ya “mema” ya ujamaa na “unyama” wa ubepari basi wataukumbatia ujamaa kwa roho moja. Tuko wapi leo? CCM ni ile ile.

Zungumza kuhusu mifumo imara itakayohakikisha utawala bora, uchumi imara na haki sawa kwa wananchi wote nchini.
 
Naishauri Wizara ya elimu irekebishe mtaala na kuweka somo mahsusi litakalo fundisha "uzalendo wa mwananchi kwa Taifa lake" somo hili lianze kufundishwa kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.

Hii itasaidia sana kuwajenga watoto wetu kuwa na uchungu kwa Taifa lao na pia itaondoa wizi na ubadhirifu wa fedha za umma tunao ushuhudia leo kwa baadhi ya watendaji.

Uzalendo usiishie kwa kuimba wimbo wa Taifa letu tu bali uzalendo utawale matendo yetu ya kila siku kwa Taifa letu.

Nashauri wataalamu wa elimu waangalie jinsi ya kuchomeka mtaala/somo la uzalendo kwa watoto wetu. isiishie tu kuimba wimbo wa Taifa bali tuwe na somo litakalo wajenga kuanzia chekechea hadi chuo.
Yaani uzalendo huu uliopo ufundishwe ama upigwe chini halafu uzalendo halisi ndio ufundishwe?
 
Naishauri Wizara ya elimu irekebishe mtaala na kuweka somo mahsusi litakalo fundisha "uzalendo wa mwananchi kwa Taifa lake" somo hili lianze kufundishwa kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.

Hii itasaidia sana kuwajenga watoto wetu kuwa na uchungu kwa Taifa lao na pia itaondoa wizi na ubadhirifu wa fedha za umma tunao ushuhudia leo kwa baadhi ya watendaji.

Uzalendo usiishie kwa kuimba wimbo wa Taifa letu tu bali uzalendo utawale matendo yetu ya kila siku kwa Taifa letu.

Nashauri wataalamu wa elimu waangalie jinsi ya kuchomeka mtaala/somo la uzalendo kwa watoto wetu. isiishie tu kuimba wimbo wa Taifa bali tuwe na somo litakalo wajenga kuanzia chekechea hadi chuo.
Hao wa kutengeneza mtaala wana uzalendo?
Hao wa kufundisha hilo somo wana uzalendo?
 
Naishauri Wizara ya elimu irekebishe mtaala na kuweka somo mahsusi litakalo fundisha "uzalendo wa mwananchi kwa Taifa lake" somo hili lianze kufundishwa kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.

Hii itasaidia sana kuwajenga watoto wetu kuwa na uchungu kwa Taifa lao na pia itaondoa wizi na ubadhirifu wa fedha za umma tunao ushuhudia leo kwa baadhi ya watendaji.

Uzalendo usiishie kwa kuimba wimbo wa Taifa letu tu bali uzalendo utawale matendo yetu ya kila siku kwa Taifa letu.

Nashauri wataalamu wa elimu waangalie jinsi ya kuchomeka mtaala/somo la uzalendo kwa watoto wetu. isiishie tu kuimba wimbo wa Taifa bali tuwe na somo litakalo wajenga kuanzia chekechea hadi chuo.
Uzalendo ni jambo pana sana na ni la muda mrefu kulifikia , kwa nchi yetu hii ilipo hali
fikia Kwa sasa tunahitaji kwanza uzalendo wa mtutu wa bunduki ya tuwe kama china , kwamba unatuhuma zenye vielelezo unakula chuma chap kwa haraka hakuna kubembelezana baada ya kusafisha masalia na mazalia sasa ndio unakuja huo utaratibu wa kusoma darasani

Walitudanganya Ooh! Ukitoka form six unaingia jeshi kwa mujibu kujifunza uzalendo kumbe nako kuna dili la kuongeza budget tu kwa ajili huduma kwa hao kwa mujibu mana linatoka fungu nono kwa ajili yao so linakuwa dili la makamishna huko, hakuna cha uzalendo wala nini kutesana tu ,maana hao hao walio toka huko wakija huku nao wanakuwa vibaka tuu
 
Jinsi nchi itakavyomjali raia wake ndio raia anakuwa proud na nchi yake sasa kama mtu anaweza kubadilisha kitita cha bima watu wanateseka yupo kimya anapiga siasa unaenda hospital wanajibu simple hiz dawa hatuna na karatasi kwenda kwenye maduka ya dawa wamezuia pesa unakatwa na huku mfukoni unatoa za kujitibia uzalendo utatoka wapi.
 
Back
Top Bottom