Uyu kaka ameniganda nataka nimuache

Uyu kaka ameniganda nataka nimuache

Binti naona umempata wa kumtesa, Kila kukicha wamtishia kumwacha ili ujiridhisha ni kwa kiasi gani anakupenda na kupiga kwake magoti ndo furaha yako.

Jitathmini sana.
 
sio uyu ni huyu.

Unatuita ndugu zako wakati ndugu yetu unataka umuache..!!
Ni hivi baki na hilohilo jini lako huku nje kuna majini kama akina kenzy tunamakeke dada hautaweza kustahimili!. usimuache mvumilie ukimuacha unamuachia nani..?
Nataka niwaachie wengine wakahaike nae!! Nimemchoka ana visa alaf hataki tuachane!!
 
Sasa Hapo Utakuta Dereva Ni Undercover Na Halafu Utakuta Anasubiriwa Kwenye Kikao Kwa Hiyo Mimi Naona Huyo Mwanafunzi Aliyepewa Mimba Aendelee Na Masomo Chini Ya Uangalizi Wa Balozi Maana Haiwezekani Chadema Wasusie Uchaguzi Na Jumuiya Ya Umoja Wa Mataifa Uingilie Kati Wakati Tanzania Haina Urafiki Na Ufisaidi Hata Hivyo Tundulisu Alivyozuiwa Sudan Binafsi Sijapenda Hata Kidogo
Makorokocho at its peak
 
Kwelii kichekeshoo unaanzaje kulia asee. Au tumuulize mleta mada analia akiwa amekunywa? Maana ukilewa chozi linatoka kirahisi.
Nilishawahi kumuona mmoja, analia hata hajanya yupo vizuri kabisa. Yaani yale machozi ya kububujika kama ya Lucas.
Ila ndo waongo hawamaanishi, na bado utapigwa matukio kama kawa
 
Yamenikuta mwenzenu mimi!! Nipo ktk mahusiano na uyu aka kwa miaka 3, mwanzoni tulikua tunaelewana vizuri lakini kipindi kama cha miezi sita tunafarakana kila wiki.

Kila nikitaka kuachana nae uyu kaka analia hadi ananipigia magoti nisimwache!! Nimechoka kua nae!!

Nataka niachane nae nitafute ustaarabu mwingine!

Nifanye nini uyu kaka aniache mwenyewe ili niweze kuondoka kwa amani!! Naombeni ushauri ndugu zangu!!!
Na kukupenda kote huko leo unataka uniache?😭😭😭
 
Back
Top Bottom