Yamenikuta mwenzenu mimi!! Nipo ktk mahusiano na uyu aka kwa miaka 3, mwanzoni tulikua tunaelewana vizuri lakini kipindi kama cha miezi sita tunafarakana kila wiki.
Kila nikitaka kuachana nae uyu kaka analia hadi ananipigia magoti nisimwache!! Nimechoka kua nae!!
Nataka niachane nae nitafute ustaarabu mwingine!
Nifanye nini uyu kaka aniache mwenyewe ili niweze kuondoka kwa amani!! Naombeni ushauri ndugu zangu!!!
Kila nikitaka kuachana nae uyu kaka analia hadi ananipigia magoti nisimwache!! Nimechoka kua nae!!
Nataka niachane nae nitafute ustaarabu mwingine!
Nifanye nini uyu kaka aniache mwenyewe ili niweze kuondoka kwa amani!! Naombeni ushauri ndugu zangu!!!
