Nyundo Kavu
Senior Member
- Dec 6, 2011
- 186
- 85
IRENE Uwoya anatengeneza kichwa cha habari kwa mara nyingine baada ya kusema kuwa mbali na mwanaye Krish, yupo tayari kuzaa mpaka basi hata kama watafika watoto 10.
Akizungumza na The Biggest IQ Paper, Ijumaa Wikienda, jijini Dar es Salaam juzikati, Irene alisema kuwa hakuna kitu anachopenda kama kuitwa mama kila wakati akiwa na mtoto mchanga.
Irene alisema Krish anahitaji wadogo zake na kwa kuwa bado anatamani kuzaa, ni ishu ya muda tu kwani anapenda watoto.
Irene alikwenda mbali zaidi na kudai kuwa kuna wakati baadhi ya watu walidhani mapenzi yake kwa Ndikumana yamehamia kwa mtoto kutokana na kumjali zaidi kuliko kitu kingine chochote.
UWOYA: NITAZAA MPAKA BASI - Global PublishersAkizungumza na The Biggest IQ Paper, Ijumaa Wikienda, jijini Dar es Salaam juzikati, Irene alisema kuwa hakuna kitu anachopenda kama kuitwa mama kila wakati akiwa na mtoto mchanga.
Irene alisema Krish anahitaji wadogo zake na kwa kuwa bado anatamani kuzaa, ni ishu ya muda tu kwani anapenda watoto.
Irene alikwenda mbali zaidi na kudai kuwa kuna wakati baadhi ya watu walidhani mapenzi yake kwa Ndikumana yamehamia kwa mtoto kutokana na kumjali zaidi kuliko kitu kingine chochote.