Kisha katika bonde la Ela bwana akawatia mikononi mwake Daudi akawachinja watu elfu elfu.Poa
1 Samuel 15: 18 Kisha BWANA akakutuma safarini, akasema, Enenda ukawaangamize kabisa wale Waamaleki wenye dhambi, upigane nao hata watakapoangamia.
Hilo halina ubishi, anampigania Allah ili akapewe zawadi ya mabikira 72 kule akheraMkuu wewe ni walewale... Majibu yako tu yanadhihirisha wewe ni nani
Tatizo hawana tabia ya kusoma vitabu vyao wenyewe, Hawajawahi kuvipa umuhimu. Wao hadi J2 ndio wafanye ibada waimbe nyimbo za seleKisha katika bonde la Ela bwana akawatia mikononi mwake Daudi akawachinja watu elfu elfu.
Ukisoma kitabu cha Samwi, waamuzi, wafalme utajiuliza hivi kweli hili ni neno la Mungu au nasoma kitabi kilichoandikwa na shatani?
Maana kimejaa unyama na uharifu mkubwa dhidi ya binadamu tena uliobarikiwa na Mungu mwenyewe.
Aisee biblia ina disputed message nyingi sana hasa ukifatilia mahusiano ya Mungu na hawa wanaoitwa taifa teule la wayahudi.Tatizo hawana tabia ya kusoma vitabu vyao wenyewe, Hawajawahi kuvipa umuhimu. Wao hadi J2 ndio wafanye ibada waimbe nyimbo za sele
Hivi itikadi kali za Salafi ndiyo zikoje au hao Salafi ni kina nani na tutawajuaje ?Ukiachana na hayo, mwanzoni mwa mwaka 2020 kuna matukio mengi ya Kigaidi yalikua yanatokea saana katika ukanda wa Afrika ya mashariki pamoja na Kusini , specifically nchini Msumbiji (Mozambique) pamoja na Kenya. Hii inatokana na uwepo wa makundi ya Waislam wenye Itikadi kali za Salafi.
Thibitisha simulizi lako hili ,kwani mimi ni salafi na sina habari na hayo uyasemayo.
Lakini pili sijawahipo sikia Tanzania kuwa na Kambi za kufunza magaidi,ulikuwa uvumi ambao haukuweza kuthibitishwa,
Labda wewe leo unaweza kutuwejkea ushahidi wa kutosha ili umma upate kujuwa ukweli wote ,isije kuwa ni propaganda.
Hata mimi leo nigeweza kusema kuwa Tanzania Ongezeko la Madhehebu ya Kilokole yenye kuleta maafa kama kule Arusha hivikaribuni yamekuwa mengi na yanatishia amani ya Taifa sijui ungelisemaje?
wamaeitia mikono mayahudi enzi izo ili kila mtu akubali kuwa wao ndio taifa teule milele na ukilichukia basi hutopata mafanikio wapo humu utawaona wanavyowaabuduAisee biblia ina disputed message nyingi sana hasa ukifatilia mahusiano ya Mungu na hawa wanaoitwa taifa teule la wayahudi.
Wayahudi ni taifa la shetani. Wao ndio wachafuzi wa dunia nzima kwa sasa.wamaeitia mikono mayahudi enzi izo ili kila mtu akubali kuwa wao ndio taifa teule milele na ukilichukia basi hutopata mafanikio wapo humu utawaona wanavyowaabudu
Tena walilaaniwa na Yesu mwenyewe.Wayahudi ni taifa la shetani. Wao ndio wachafuzi wa dunia nzima kwa sasa.
Ugaidi na majeshi wapi na wapi??Mkuu bora ungekaa kimya kwasababu ugaidi unasumbua nchi zenye majeshi yenye nguvu kbs hii dunia ije kuwa hii TANZAGIZA
Kwan magaid wakiingia katika nchi na kuanza kuuwa watu bila sababu ni watu gani huwa responsible???? Au ndio unakaza fuvu?Ugaidi na majeshi wapi na wapi??
Ushawai kuona vita ya magaidi na majeshi??!
Da'awa au elimu za Kisalafi zinapingana na masuala yote ya kigaidi na elimu yetu inatutaka kuwatii viongozi wa dola. Hata kama sio Waislamu. Da'awa yetu sio ya kiuanaharakati na tunapinga mambo ya maandamano na mfano wake. Nakukaribisha ktk vikao vyetu vya kusoma dini hapa Dodoma ukae chini usome dini kiusahihi na hapo ndipo utapata utambuzi juu ya akheeda yetu. Lakini pia kwa sasa kuna Majalis za kielimu ya Kisalafi ktk maeneo mengi nchini. Aidha kuna tovuti na live channels zinazorusha darsa na mihadhara yetu. Yote haya yanafanyika bila uficho wowote. Hakuna mahali popote utakuta tukijinasibu na hizo vurugu ulizozitaja. Katika Misikiti na Madrassa zetu utakutana na vitabu tu. Humo hautakutana na majambia wala visu wala bendera wala madufu. Tunaisoma dini kwa juhudi huku tukichakarika vilivyo ktk kutafuta riziki halali. Nasaha yangu kwako ni kumcha Allah, simamia haki na fanya uadilifu ktk maneno na matendo yako. Aidha kabla haujarudi tena hapa, wewe kama mchambuzi, fuatilia yale tunayoyasoma (ukihitaji links nitakupatia) uenda utafaidika na kupata utambuzi mpana zaidi juu ya Da'awa ya Kisafi.Athari za Salafi -Jihad kuenea katika nchi yetu ya Tanzania, Kwanza ningependa kuchukua nafasi hii kumshukuru MwenyeziMungu mwingi wa Rehma na mwenye Kurehemu, Kabla ya hili janga la Corona tunalopitia hivi sasa mwanzoni mwa mwaka 2019 kulikua kuna matukio mbalimbali ya Ugaidi yaliyokua yanajitokeza katika pande mbalimbali za Africa. Ukiachana na nchi kama Mali, Burkina Faso na Libya ambazo zipo mbali kidogo na ukanda huu wa Africa Mashariki , kuna nchi katika upande wa Afrika Mashariki ambazo zina chembechembe za Ugaidi.
Inajulikana kua Tanzania ilikua moja ya nchi ambazo zilitoa au “kurecruit” wanamgambo wa Al Shabab kule Somalia. Mikoa iliyoongoza kutoa wanamgambo wengi ni Tanga, Mwanza na Dar es Salaam. Katika kipindi kile tulishuhudia kijana wa Kitanzania akihusishwa na mashambulizi ya Garissa. Kijana mstaarab alieyetoka katika familia ya kitajiri ya MBERESERO. Naam nipende kushukuru jeshi la Polisi kipindi kile wakishirikiana na Intelligency kupambana na janga lile sanasana ningependa kumshukuru DCI wa kipindi kile CP Diwani Athumani.
Ukiachana na hayo, mwanzoni mwa mwaka 2020 kuna matukio mengi ya Kigaidi yalikua yanatokea saana katika ukanda wa Afrika ya mashariki pamoja na Kusini , specifically nchini Msumbiji (Mozambique) pamoja na Kenya. Hii inatokana na uwepo wa makundi ya Waislam wenye Itikadi kali za Salafi.
Hii inaleta picha mpaka kule Africa ya Kati ambapo mpaka saiv bado kuna kavuguvugu ka udini kanatawala baina ya “Seleka” na “Anti Balaqa”. Makundi ya Salafi yaliyopo Mozambique yanafanya harakat zake karibia na mpaka wa nch iyetu ya Tanzania na hivo bas kuhatarisha usalama wa Raia kwa ujumla. Hofu yangu kubwa ni kuona baadhi ya Vijana wa Kiislamu kushawishika kuingia katika makundi hayo ya kigaidi kama ilivyotokea miaka iliyopita kule Somalia.
Hivyo bas vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama vinapaswa kuzingatia hayo mambo yasijurudie tena. Bado tunahitaj nguvu kazi katika Taifa letu na hivyo bas VIjana wakiiIslam tusishwawishike katika kuyaendea hayo mambo. Mikoa iliyo hatarini zaidi ni ile iliyopo kusini ikiwemo LIndi na Mtwara na ni mikoa ambayo Idadi ya wakazi wengi wao ni waislam .
Na kwa jinsi Serikali ilivyofocus kwenye suala la Corona unawapa muda zaidi kujipanga na kuandaa mikakati madhubuti. Sitoshangaa baada ya kuisha kwa Janga la Corona, janga la Ugaidi kuchkua nafas kama vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama havitatilia mkazo dalili hizi.
ABDULKARIM MZEE
Mwanadiplomasia na Mchambuzi wa Masuala ya Ugaidi katika bara la Afrika
rucotz98@gmail.com
Kwan magaid wakiingia katika nchi na kuanza kuuwa watu bila sababu ni watu gani huwa responsible???? Au ndio unakaza fuvu?
NdioUshawai kuona vita ya magaidi na majeshi... Elewa swali
Hivi yule kijana wa Mberesero kesi yake iliishia wapi?Athari za Salafi -Jihad kuenea katika nchi yetu ya Tanzania, Kwanza ningependa kuchukua nafasi hii kumshukuru MwenyeziMungu mwingi wa Rehma na mwenye Kurehemu, Kabla ya hili janga la Corona tunalopitia hivi sasa mwanzoni mwa mwaka 2019 kulikua kuna matukio mbalimbali ya Ugaidi yaliyokua yanajitokeza katika pande mbalimbali za Africa. Ukiachana na nchi kama Mali, Burkina Faso na Libya ambazo zipo mbali kidogo na ukanda huu wa Africa Mashariki , kuna nchi katika upande wa Afrika Mashariki ambazo zina chembechembe za Ugaidi.
Inajulikana kua Tanzania ilikua moja ya nchi ambazo zilitoa au “kurecruit” wanamgambo wa Al Shabab kule Somalia. Mikoa iliyoongoza kutoa wanamgambo wengi ni Tanga, Mwanza na Dar es Salaam. Katika kipindi kile tulishuhudia kijana wa Kitanzania akihusishwa na mashambulizi ya Garissa. Kijana mstaarab alieyetoka katika familia ya kitajiri ya MBERESERO. Naam nipende kushukuru jeshi la Polisi kipindi kile wakishirikiana na Intelligency kupambana na janga lile sanasana ningependa kumshukuru DCI wa kipindi kile CP Diwani Athumani.
Ukiachana na hayo, mwanzoni mwa mwaka 2020 kuna matukio mengi ya Kigaidi yalikua yanatokea saana katika ukanda wa Afrika ya mashariki pamoja na Kusini , specifically nchini Msumbiji (Mozambique) pamoja na Kenya. Hii inatokana na uwepo wa makundi ya Waislam wenye Itikadi kali za Salafi.
Hii inaleta picha mpaka kule Africa ya Kati ambapo mpaka saiv bado kuna kavuguvugu ka udini kanatawala baina ya “Seleka” na “Anti Balaqa”. Makundi ya Salafi yaliyopo Mozambique yanafanya harakat zake karibia na mpaka wa nch iyetu ya Tanzania na hivo bas kuhatarisha usalama wa Raia kwa ujumla. Hofu yangu kubwa ni kuona baadhi ya Vijana wa Kiislamu kushawishika kuingia katika makundi hayo ya kigaidi kama ilivyotokea miaka iliyopita kule Somalia.
Hivyo bas vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama vinapaswa kuzingatia hayo mambo yasijurudie tena. Bado tunahitaj nguvu kazi katika Taifa letu na hivyo bas VIjana wakiiIslam tusishwawishike katika kuyaendea hayo mambo. Mikoa iliyo hatarini zaidi ni ile iliyopo kusini ikiwemo LIndi na Mtwara na ni mikoa ambayo Idadi ya wakazi wengi wao ni waislam .
Na kwa jinsi Serikali ilivyofocus kwenye suala la Corona unawapa muda zaidi kujipanga na kuandaa mikakati madhubuti. Sitoshangaa baada ya kuisha kwa Janga la Corona, janga la Ugaidi kuchkua nafas kama vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama havitatilia mkazo dalili hizi.
ABDULKARIM MZEE
Mwanadiplomasia na Mchambuzi wa Masuala ya Ugaidi katika bara la Afrika
rucotz98@gmail.com
alihukumiwa kifungo cha maisha ila kwa taarifa nlizopata alijiua alipokua gerezani kwa msongo wa mawazoHivi yule kijana wa Mberesero kesi yake iliishia wapi?
Ni janga la taifa kweli AkhuyUnajua kuna watu watakuja kuchomwa moto na Allah kwa UONGO wanao uzua tena bila UOGA.
Ila mimi acha niwape lawama huu Uongozi wa "jf" kwa kutokuwa na watu makini wa kupembua habari kama hizi, hili naliona karibu ulimwengu mzima hasa vyombo vya kimagharibi. Yaani wajinga wajinga na waongo waongo.
Mathalani huyu mtoa mada anajiita "Mchambuzi" lakini ameandika habari kihuni kama yupo kijiweni. Sasa hapa tu nikimuuliza "Itikadi kali za Salafi" ni zipi na ushahidi uko wapi ? Hakika hawezi kujibu.
Mbona huwa mnaharibu lugha ama mimi ndo sifahamu lugha ya kiswahili.Athari za Salafi -Jihad kuenea katika nchi yetu ya Tanzania, Kwanza ningependa kuchukua nafasi hii kumshukuru MwenyeziMungu mwingi wa Rehma na mwenye Kurehemu, Kabla ya hili janga la Corona tunalopitia hivi sasa mwanzoni mwa mwaka 2019 kulikua kuna matukio mbalimbali ya Ugaidi yaliyokua yanajitokeza katika pande mbalimbali za Africa. Ukiachana na nchi kama Mali, Burkina Faso na Libya ambazo zipo mbali kidogo na ukanda huu wa Africa Mashariki , kuna nchi katika upande wa Afrika Mashariki ambazo zina chembechembe za Ugaidi.
Inajulikana kua Tanzania ilikua moja ya nchi ambazo zilitoa au “kurecruit” wanamgambo wa Al Shabab kule Somalia. Mikoa iliyoongoza kutoa wanamgambo wengi ni Tanga, Mwanza na Dar es Salaam. Katika kipindi kile tulishuhudia kijana wa Kitanzania akihusishwa na mashambulizi ya Garissa. Kijana mstaarab alieyetoka katika familia ya kitajiri ya MBERESERO. Naam nipende kushukuru jeshi la Polisi kipindi kile wakishirikiana na Intelligency kupambana na janga lile sanasana ningependa kumshukuru DCI wa kipindi kile CP Diwani Athumani.
Ukiachana na hayo, mwanzoni mwa mwaka 2020 kuna matukio mengi ya Kigaidi yalikua yanatokea saana katika ukanda wa Afrika ya mashariki pamoja na Kusini , specifically nchini Msumbiji (Mozambique) pamoja na Kenya. Hii inatokana na uwepo wa makundi ya Waislam wenye Itikadi kali za Salafi.
Hii inaleta picha mpaka kule Africa ya Kati ambapo mpaka saiv bado kuna kavuguvugu ka udini kanatawala baina ya “Seleka” na “Anti Balaqa”. Makundi ya Salafi yaliyopo Mozambique yanafanya harakat zake karibia na mpaka wa nch iyetu ya Tanzania na hivo bas kuhatarisha usalama wa Raia kwa ujumla. Hofu yangu kubwa ni kuona baadhi ya Vijana wa Kiislamu kushawishika kuingia katika makundi hayo ya kigaidi kama ilivyotokea miaka iliyopita kule Somalia.
Hivyo bas vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama vinapaswa kuzingatia hayo mambo yasijurudie tena. Bado tunahitaj nguvu kazi katika Taifa letu na hivyo bas VIjana wakiiIslam tusishwawishike katika kuyaendea hayo mambo. Mikoa iliyo hatarini zaidi ni ile iliyopo kusini ikiwemo LIndi na Mtwara na ni mikoa ambayo Idadi ya wakazi wengi wao ni waislam .
Na kwa jinsi Serikali ilivyofocus kwenye suala la Corona unawapa muda zaidi kujipanga na kuandaa mikakati madhubuti. Sitoshangaa baada ya kuisha kwa Janga la Corona, janga la Ugaidi kuchkua nafas kama vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama havitatilia mkazo dalili hizi.
ABDULKARIM MZEE
Mwanadiplomasia na Mchambuzi wa Masuala ya Ugaidi katika bara la Afrika
rucotz98@gmail.com