Uwezekano wa kuenea kwa salafi jihadi nchini Tanzania

Unazidi kudhihirisha ujinga wako. Umelishwa propaganda za kimagharibi,kisha unajitia ujuaji
 
Hebu tupe idadi ya watanzania waliokuwapo alshabaab wakati huo hadi tukaongoza na kuwazidi wasomali
 
Unaandika kauli ya kujiamini ambayo wewe hauna uhakika nayo zaidi ya kusikia ama kwa kuambiwa na Sheikh wako na ukaitakidi hivyo na makaambiwa Usufi ni bidaa, ni shirki ni kufr! Nini maana ya Usufi? Nijibu, ni nini maana yake?

Tafuta njia ya wema waliyotangulia?! Hii ni kauli ya Salafi! Miongoni mwa nilipochota elimu nimepitia kwa kwa Sheikh wa kisalafi mwaka 2012-2013 na 2014 hivi. Hawafuati haki wanachokifuata ni itikadi tu! Kwamba sisi tupo hivi basi, hata ujeushahidi wa wazi wa namna gani hawafungamani nao kisa upo tofauti na jamuu ya wanawazuoni wanaofuata mwenendo wao. Sikupendezwa! Mimi si mfuasi wa itikadi, mimi ni mfuasi wa haki. Itakapo simama nami nitasimama.

Siwachukii ila wananishangaza kwa wanachokisema ni tofauti na wanachomaanisha. Watu wema waliyotangulia na wanachokifanya wao ni mashariki na magharibi. Watu wema waliyotangulia walishikamana na Usufi, wao hawashikmani nao. Maimam wa 4 walishikamana na Usufi waohawashikamani nao! Ni nini maana ya Usufi? Nijibu.

Nimepitia tafsiri ya Qur'an ya swahaba ya Mtume s.a.w ya Ibn Abas r.a nimeona amezungumzia Usufi upo ndani ya Uislam. Nimepitia tafsiri ya Imam ambaye wanawazuoni wanakubaliana ndiye beberu wa tafsiri ya Qur'an naye ni Imam Qurtubi nimeona kazungumzia Usufi kwa maana upo ndani ya Uislam. Asili ya Usufi imetoka kwa Nabii Ibrahim a.s. Kwenye hadith Mtume s.a.w kaizungumzia na kafanya mpaka dhikri ya Saadiyah. Ni nini maana ya Usufi? Jina linaweza likawa linakuchanganya. Ni nini maana ya Usufi?

Nimekupa marejeleo ya vitabu wewe umenipa maneno matupu na umekanusha. Hujanikanushia kwa marejeleo, umenikanushia kwa taarifa ambayo yeyote anaweza akaiandika, na elimu haikwendi hivyo! Nipe marejeleo ya kukanusha nikavipitie hivyo vitabu. Kwa taarifa yako hili suala nilianza kulichunguza tangu 2017. Sikulichunguza tu hivi hivi. Kwa kila swala niliyoswali imma iwe ya faradhi ama ya sunnah na visimamo vya usiku na mpaka muda huu ninaoandika huwa sichoki na sitochoka kumuomba Mungu aniongoze kwenye njia ya haki.

Mimi si miongoni mwa yule ninayesoma na kuitakidi moja kwa moja kwa ninayofundishwa na ustadhi basi nikayakubali moja kwa moja. Huwa nauliza unachonifundisha ewe Ustadhi nitajuaje kuwa ndiyo dini ya Mtume Muhammad s.a.w? Wakanijibu muombe Mungu akuonyeshe njia ya haki! Namuomba Mungu na huwa sichoki na siriziki nitaendelea kumuomba Mungu anionyeshe njia ya haki, na aufanye moyo wangu uwe mlaini na ufungamane na haki.

Nami nakusihi! Tafuta elimu, soma! Na usome kwa lengo la kuijua haki.
 
Suala la ugaidi lipo, refer Kibiti, Tanga(Amboni) na sasa kwa majirani zetu Mozambique baada ya kushindikana hapa. Vijana wenge wa mikoa ya pwani wamejiingiza kwenye masuala ya kigaidi kwa kivuli cha kupigania uislam.

Vijana wengi wa ukanda wa kusini sasa wanajikuta wanashawishika kuvuka na kujiunga na hili kundi ambalo linasumbua Mozambique,,, kundi hili limekuwa kubwa sasa kwasababu wamefikia hatua ya kuteka mkoa(Refer Mocimboa Da praia 2017) na hivi juzi March 2020 waliteka kambi ya jeshi na kuchukua silaha zote yakiwepo magari ya kijeshi.

The majority of these men are swahili speakers, tena kiswahili cha bongo kabisa wakichanganya na kimwani cha mozambique kaskazini. Wanachinja watu kikatili sana wakitumia mapanga na silaha za kivita(mostly A.K 47).Wanateka mabenki na kuchukua fedha halafu wanatokomea msituni.

Wilaya walizoteka mpaka sasa ni nyingi tu mfano Muidumbe, Macomia na Carbo dela Gardo mpaka hapa Nangade wilaya iliyopo less tha 50km kutoka border yetu.

Nimekuwa huku border since February mwaka huu kwahiyo ninaongea nikiwa kwenye maeneo ambayo hizi taarifa anazijua hata mtoto wa darasa la kwanza. Kikubwa tu nikuelimishana kuwa hizi dini hazipo kwa ajili ya kudhuru bali baadhi ya watu ndiyo wanazitumia vibaya.

Nimeandika kwa uchache sana.


Pundugu.
 
Acha porojo, futeni vifungu vinavyohamasisha na kuhalalisha mauaji kwa waliotofauti na uislamu....
Yale ni maneno ya Mungu, hatuthubutu kuyafuta. Na ukisoma context utaelewa nini kinazungumzwa, sio kuchukua aya moja, na tena hio unapewa na mtu bila wewe kuthibitisha. Hatuna ujinga huo katika uislam.

Hii inaonesha kuwa nyie mmefuta maneno ya Mungu kwenye vitabu vyenu na kuweka ya kwenu ili kukidhi matamanio ya nafsi zenu. That is to say, Christianity is a man made religion yenye kuabudu Mungu zaidi ya mmoja
 
Sisi ktk Biblia Takatifu moja kati ya Amri za Mungu inasema USIABUDU MIUNGU China, India nk wanamiungu yao tofauti na unayoabudu wewe...kwa hiyo ujue kuna miungu mingi...
Allah ni mungu sio Mungu kwa hiyo mnaweza tu kufuta vifungu vinavyoruhusu kuua mkuu.
 
Mungu sio kiumbe kwa sababu hajaaumbwa. Sanamu sio mungu, Mtu hawezi kuitwa Mungu wala kiumbe chochote kile hakiwezi kuwa Mungu.

Na Allah hakuumbwa, hakuzaa wala hakuzaliwa, iweje niabudu kiumbe alichokiumba yeye? Quran ni maneno yake na wala Yesu hawezi kuwa Mungu kwani hana sifa ata moja ya moja. Ni ushirikina kumuabudu Yesu. Nyinyi endeleeni kubadilisha bibilia ili ikidhi matakwa yenu ya kidunia. Sie waislam tunatakiwa tuijenge Akhera yetu zaidi na duniani ni mapito tu.
 
Shida huelewi mkuu allah sio Mungu bali ni mungu. Sanamu ni mungu, mtu anaweza kuwa mungu na viumbe wengi tu wanaweza kufanywa mungu km nyie mnavoabudu majini km miungu yetu baada ya allah na muhamedi.........
Allah hafanani wala hafananishwi na chochote wkt Mungu wa kweli alituumba kwa mfano wake na sura yake. Yesu ni Mungu
 
Vipi kuhusu hatua ilizochukua Serikali ya huko kuwasambaratisha hawa magaidi, je zinafanikiwa?
 
Shida huelewi na hujui tofauti ya Mungu na mungu. Allah ni Mungu, na vyengine vyote mkivifanya mungu basi mnafanya ushirikina. Yaani kama ni mtu wa kutumia akili, utajua kuwa Mungu hawezi kufananishwa na chochote, kwa sababu Sifa za Mungu sio sifa za kiumbe. Mwenye akili zake timamu hawezi kuamini kuwa mungu anazaliwa tena baada ya kumpa mimba mama yake.

Yesu amesema kuwa yeye ni mtu, nakushangaeni mnampa sifa ambayo hajakwambieni mumpe. Lakini hii yote ni kwa sababu badala ya kusoma maneno ya Mungu, mnasoma vitabu ambavyo waandishi wake hawajulikani bali wanadhaniwa tu. Na tena bado vikiwa vimebadilishwa.

Huwezi kutufananisha sie tunasoma Maneno ya Mungu na nyinyi mnaosoma maneno MNAYODHANIA yameandikwa na akina mattayo, joni n.k
 
Ungetumia kiswahili tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚



 
Ungetumia kiswahili tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nimeona nilipokosea,nilikuwa naandika haraka haraka hiyo siku๐Ÿ˜ƒ.Lakini ni vitu vidogo(minor) sema kwako lazima uone sababu umeshakuwa "CHIZI MAARIFA"....Its a great thing!Stay blessed
 
Kaka nakuomba hapa https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1740065/
 
Mnaabudu miungu huyo Allah sio Mungu ni mungu. Mungu hawezi kukuletea kitabu kinachohamasisha chuki na mauaji....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ