OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,778
Wakati naingia chuo kikuu 2007 niliaswa sana kuwa makini na ngono chuoni kutokana na uwepo wa mabinti wanaofadhiliwa na mama Salma Kikwete.
Ilidaiwa kuwa mabinti hawa wapo karibia kila chuo na ni waathirika wa ugonjwa hatari wa UKIMWI hivyo mama kwa huruma yake na WAMA wakaona wawaendeleze kielimu
Nikawa muoga sana,tena baadhi ya mabinti wakawa branded kabisa kwamba "Aaah yule ni wa mama Salma yule".............
Ndio ikawa utaratibu,.....mda ukapita mpaka nikamaliza 2010 sikuwahi kufikiria tofauti.
Lakini mwaka juzi nikaanza kufikiria tofauti kwamba uko uwezekano hii ilikuwa janja janja ya kutupunguzia kasi ya ngono zembe....
Nini maoni yako
Ilidaiwa kuwa mabinti hawa wapo karibia kila chuo na ni waathirika wa ugonjwa hatari wa UKIMWI hivyo mama kwa huruma yake na WAMA wakaona wawaendeleze kielimu
Nikawa muoga sana,tena baadhi ya mabinti wakawa branded kabisa kwamba "Aaah yule ni wa mama Salma yule".............
Ndio ikawa utaratibu,.....mda ukapita mpaka nikamaliza 2010 sikuwahi kufikiria tofauti.
Lakini mwaka juzi nikaanza kufikiria tofauti kwamba uko uwezekano hii ilikuwa janja janja ya kutupunguzia kasi ya ngono zembe....
Nini maoni yako