Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Bus...dar mwanza bestMane hiyo ni nini? Ni mwewe au basi?
Bus...dar mwanza bestMane hiyo ni nini? Ni mwewe au basi?
Ukiona unalamikia nauli laki 6 kwenda Mwanza ujue hujafikia kupanda ndege. Wewe endelea kukwea KISBO aka Kangi L. Ndege waachie wenye uwezoNimeshtuka sana leo hii nilipofanya booking online (tena tarehe ya mbali) kwenda Mwanza na nilishikwa na taharuki kuona bei ikiwa ni zaidi ya laki sita.
Kweli nia ya kufufua (na wakati mwingine kuyadhibiti mashirika binafsi) ilikuwa kutuumiza kiasi hiki? Yale masifa ya nyimbo na mapambio kweli waimbaji walikuwa wanajua wanachoshangilia au ni mkumbo tuu? Bila kuingilia kati ATCL itaushindwa ushindani wa biashara. Nimewaza si bora kutumia gari binafsi au kutafuta basi bora kabisa na kusafiri siku moja kabla ili kuwahi shughuli hata kama ratiba itaharibika?
View attachment 1260217
Fast jet ndio ilikua mkombozi wa wanyonge dar - Mwanza mara kibao tulikua tunaenda kwa tsh. 80,000/-Chakaza panda Dar lux mzee baba!au frester! Hiyo nyingine isave!
Unapigwa, halafu ukitaka kulia unakatazwa kulia.Fast jet ndio ilikua mkombozi wa wanyonge dar - Mwanza mara kibao tuliokua tunaenda kwa tsh. 80,000/-
Ila hili likampuni la kizalendo ndio limeamua kutonyesha uzalendo wake.
Nimekumbuka kipindi kile kampuni ya simu ilikua ni ttcl peke yake, wananchi tuliteseka sana kwa gharama ya kupata huduma ya simu.Bei haiwezi kupungua kama serikali inaua competition kwenye biashara, inajenga monopoly kwa nguvu, na inatafuta faida ili ionekane imefanya jambo la maana kisiasa.
Katika kanuni za classical economics, monopoly ni adui wa kushuka kwa bei.
Shirika la usafiri wa ndege likiwa moja, litakuwa na incentive gani ya kupunguza bei za tiketi?
Fast jet ndio ilikua mkombozi wa wanyonge dar - Mwanza mara kibao tuliokua tunaenda kwa tsh. 80,000/-
Ila hili likampuni la kizalendo ndio limeamua kutonyesha uzalendo wake.
Ndugu yangu, huu ni msimu wa mwisho wa mwaka na huwa hivi hata usafiri wa barabarani. Demand ni kubwa kuliko supply. Wiki mbili zilizopita nililipa Ts 388,500 kwenda Bukoba.Nimeshtuka sana leo hii nilipofanya booking online (tena tarehe ya mbali) kwenda Mwanza na nilishikwa na taharuki kuona bei ikiwa ni zaidi ya laki sita.
Kweli nia ya kufufua (na wakati mwingine kuyadhibiti mashirika binafsi) ilikuwa kutuumiza kiasi hiki? Yale masifa ya nyimbo na mapambio kweli waimbaji walikuwa wanajua wanachoshangilia au ni mkumbo tuu? Bila kuingilia kati ATCL itaushindwa ushindani wa biashara. Nimewaza si bora kutumia gari binafsi au kutafuta basi bora kabisa na kusafiri siku moja kabla ili kuwahi shughuli hata kama ratiba itaharibika?
View attachment 1260217
200Kwani ulitaka iwe kama sh.ngapi...?
Halafu unaambiwa utembee kifua mbereUnapigwa, halafu ukitaka kulia unakatazwa kulia.
Mbaya zaidi unaambiwa utembee kifua mbereeeKwa 80/sio mbaya kbs jamani..yaan laki 6?imekuwa rwanda?ovyo sana
Laki sita parefu??? na kudanga kote bado pesa ya kupanda ndege bado shidaChakaza panda Dar lux mzee baba!au frester! Hiyo nyingine isave!
Safi sanaPole kwa TAHARUKI ulioipata.View attachment 1260335
Laki sita parefu??? na kudanga kote bado pesa ya kupanda ndege bado shida
Nenda kaisuze kwanza urudi machimboni wakaitumie tena, wewe ni chakula ya wanaume na utaendelea kuwa chakula cha wanaume.Hahaaaha...unalo leo..!kwanza nakucheka sana aisee!
Njoo tudange wote bas!maana naona umeanza wivu wa kike!njoo tudange wote!uone ilivyo rahaNenda kaisuze kwanza urudi machimboni wakaitumie tena.
Nenda kaisuze kwanza urudi machimboni wakaitumie tena, wewe ni chakula ya wanaume na utaendelea kuwa chakula cha wanaume.
ATCL, na serikali hii itaendelea kuwepo utakufa na kuiacha..