Uwepo wa ATCL haujaleta unafuu wowote kwa Mtanzania

Wewe kichwani mwako ni vumbi tupu. Gereji kwa ndege ni kawaida sana. Sawa na mabasi ya dar to mwanza kila ikifika lazima ifanyiwe check up,sasa bila sevice itakuwa chombo gani hicho? hata hizi ATCL kila mara ziko gereji,nani asiejua?,na ndio uhai wa hicho chombo. Halafu umesema wananchi wengi hawafuatilii sana sevice za ndege?. Kwa hiyo wewe ndio mfuatiliaji wa sevice zinavyofanyiwa wa ndege zote?. (Kamdanganye mkeo). Kuhusu precision kutoshusha bei sawa na fast jet,huo ndio ushindani wa kibiashara,huyu anauza hivi na huyu anauza hivi. Kwa fast jet aliwakamata ipasavyo ndio maana mkaamua kumkimbiza. Na kuhusu usalama sikuwahi kusikia matatizo ya fast jet kama matatizo ninayoyasikia kwa sasa ATCL. Hata kubadirisha ratiba za safari bila mpango. Ndege kugeuzia singida kurudi mwanza sababu ya hitilafu kwenye engine ndio matatizo ya kila wakati sasa. KWA TAARIFA YAKO KIPINDI MNAINYIMA LESEN NDIO MUDA AMBAO TAYARI WALIKUWA WAMEAGIZA NDEGE ZINGINE MPYA ILI KUSHINDANA VIZURI

sasa mm na wewe nan kichwan vumbi, unajaza maneno mengi nmekuambia toa ushahidi toa evidence, maneno mengi hakuna hata kimoja kinaonyesha we ni mtu unajua unachoongea: taarifa zote za fast jet zipo, barua zote zipo, madeni yao yote yapo, we endelea kupiga kelele
 
Ukiona unalamikia nauli laki 6 kwenda Mwanza ujue hujafikia kupanda ndege. Wewe endelea kukwea KISBO aka Kangi L. Ndege waachie wenye uwezo
Fastjet Ndiyo walikuwa wazalendo haswaa, hawa wengine wanajificha katika kivuli cha uzalendo ila ni zaidi ya zimwi.
 
Soma na wengine wanasemaje kuhusu ATCL. Wengi malalamiko ni nauli kubwa. Watu walishazoea tayari fast jet nauli ilikuwa nafuu sana. Walishaanza kuacha kupanda mabasi,lakini sasa wamerudishwa kwa nguvu kwenye mabasi, baada kuibrock fast jet. Basi watu tukajua kwa sababu ni zetu,kodi zetu,basi nauli itakuwa nafuu. Lakini ajabu chetu ndio kimetukomoa,nauli ni karibia mara 3 zaidi ya fast jet. Hivi sasa zimebaki za baadhi ya watu tu,sio kama ilivyokuwa fast jet ilikuwa ni ya kila mmoja. Hakika ilirahisisha sana
Nani alikwambia ATCL ni mrithi wa fast jet? Kwa sasa linganisha na Precision ndio wapo kwenye soko moja achana na hao vibudu walishazikwa.
 
Ndege mpya? Hawa walikua wanakodi hawakuwa na ndege zao.
Wewe kichwani mwako ni vumbi tupu. Gereji kwa ndege ni kawaida sana. Sawa na mabasi ya dar to mwanza kila ikifika lazima ifanyiwe check up,sasa bila sevice itakuwa chombo gani hicho? hata hizi ATCL kila mara ziko gereji,nani asiejua?,na ndio uhai wa hicho chombo. Halafu umesema wananchi wengi hawafuatilii sana sevice za ndege?. Kwa hiyo wewe ndio mfuatiliaji wa sevice zinavyofanyiwa wa ndege zote?. (Kamdanganye mkeo). Kuhusu precision kutoshusha bei sawa na fast jet,huo ndio ushindani wa kibiashara,huyu anauza hivi na huyu anauza hivi. Kwa fast jet aliwakamata ipasavyo ndio maana mkaamua kumkimbiza. Na kuhusu usalama sikuwahi kusikia matatizo ya fast jet kama matatizo ninayoyasikia kwa sasa ATCL. Hata kubadirisha ratiba za safari bila mpango. Ndege kugeuzia singida kurudi mwanza sababu ya hitilafu kwenye engine ndio matatizo ya kila wakati sasa. KWA TAARIFA YAKO KIPINDI MNAINYIMA LESEN NDIO MUDA AMBAO TAYARI WALIKUWA WAMEAGIZA NDEGE ZINGINE MPYA ILI KUSHINDANA VIZURI
 
Kwa kweli siku hizi ukiwa na safari ya mbali binafsi hulipiwi kazini unapata mawazo! Enzi za fastjet tulizurura sana, kila weekend kula bata mwanza hehe!
 
Back
Top Bottom