Nilifikiri niko peke yangu. Yaani huyu dogo hata ukimuambia wagombea wote wa CHADEMA hawajui kujaza fom atakuamini mia kwa miaNimejaribu kumuelimisha haelewi mpaka anadhani nina chuki binafsi. Watu wa aina hiyo ni kumuachia Mungu atakapo mpenda zaidi.