Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,702
- 71,013
Nimeshtuka sana leo hii nilipofanya booking online (tena tarehe ya mbali) kwenda Mwanza na nilishikwa na taharuki kuona bei ikiwa ni zaidi ya laki sita.
Kweli nia ya kufufua (na wakati mwingine kuyadhibiti mashirika binafsi) ilikuwa kutuumiza kiasi hiki? Yale masifa ya nyimbo na mapambio kweli waimbaji walikuwa wanajua wanachoshangilia au ni mkumbo tuu? Bila kuingilia kati ATCL itaushindwa ushindani wa biashara.
Nimewaza si bora kutumia gari binafsi au kutafuta basi bora kabisa na kusafiri siku moja kabla ili kuwahi shughuli hata kama ratiba itaharibika?
Kweli nia ya kufufua (na wakati mwingine kuyadhibiti mashirika binafsi) ilikuwa kutuumiza kiasi hiki? Yale masifa ya nyimbo na mapambio kweli waimbaji walikuwa wanajua wanachoshangilia au ni mkumbo tuu? Bila kuingilia kati ATCL itaushindwa ushindani wa biashara.
Nimewaza si bora kutumia gari binafsi au kutafuta basi bora kabisa na kusafiri siku moja kabla ili kuwahi shughuli hata kama ratiba itaharibika?