Gotze Giyani
Senior Member
- Feb 28, 2022
- 121
- 180
Habari wadau poleni na majukumu ya taifa lisiloeleweka kama sio lenye jana janja nyingi na yote ni kutokana na watanzania wengi kutokujali.
Tuachane na hayo niliwai kusoma uzi mmoja huku jamii forums nikavutiwa nao nikajitaidi kufuatilia na kuuelewa zaidi basi nikaamua kuwekeza UTT amis mfuko wa Liquid fund ni miezi kama 9 hivi na wanasema kwa mwezi ni asilimia mpaka 1 ila mbona ni tofauti mfano unaweza kuwa na milioni 5 kwa mwezi faidi hapo ilitakiwa iwe 50000 kuendelea ila unaweza ishia 45000 hivi wana calculate vipi wakati thamani ya kipande aijashuka.
Kama ujui kaa kimya sitaki matusi na ujuaji wa kijinga wadau mnaojua kuhusu huu mfuko na wakaribisha mnieleweshe maana naona kama ni uwekezaji kichaa hata kama ela ni nyingi faida ni ndogo.
Tuachane na hayo niliwai kusoma uzi mmoja huku jamii forums nikavutiwa nao nikajitaidi kufuatilia na kuuelewa zaidi basi nikaamua kuwekeza UTT amis mfuko wa Liquid fund ni miezi kama 9 hivi na wanasema kwa mwezi ni asilimia mpaka 1 ila mbona ni tofauti mfano unaweza kuwa na milioni 5 kwa mwezi faidi hapo ilitakiwa iwe 50000 kuendelea ila unaweza ishia 45000 hivi wana calculate vipi wakati thamani ya kipande aijashuka.
Kama ujui kaa kimya sitaki matusi na ujuaji wa kijinga wadau mnaojua kuhusu huu mfuko na wakaribisha mnieleweshe maana naona kama ni uwekezaji kichaa hata kama ela ni nyingi faida ni ndogo.