Dit000
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 656
- 856
Habari za usiku ndugu zangu naomba kufahamishwa kwa mtu yeyote mwenye uelewa juu ya uwekezaji katika taasisi ya serikari UTT. Hizi bond fund na liquid/ukwasi zinatofautiana vipi ukiwekeza huko hela yako?
Na hatifungani za benkii kuu na hizi za UTT zipi ni nzuri zaidi?
Na hatifungani za benkii kuu na hizi za UTT zipi ni nzuri zaidi?