rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,208
- 20,191
Huu mjadala unatakiwa kujadiliwa bila kuweka ushabiki, kabla ya maswala ya uwekezaji kuanza zilitungwa sheria na sheria zilisema timu zote zilizoanzishwa na wananchi zinatakiwa ziuzwe hisa si zaidi ya asilimia 49 na katika uuzaji wa hisa wawekezaji wanatakiwa wasipungue 3. Kinachofanyika Simba kitakuja kuleta vurugu baadae kwa sababu kuna viongozi na wanasiasa wamejiingiza kuleta mashinikizo ili sheria zivunjwe, Mwakyembe akiwa waziri wa michezo aliruhusu Simba iwe na mwekezaji mmoja huku akijua kuwa sheria haisemi hivyo baada ya tume ya ushindani kuweka ngumu kina makamba , kitila Mkumbo na wabunge wengine walijiingiza kushawishi mo apitishwe bila kujali sheria inasemaje.
Ikitokea mwanasimba akaenda mahakamani ni wazi taratibu hizo zitatenguliwa kwani mwekezaji pekee aliyepitishwa na mkutano mkuu wa Simba ni Mo dewji hao wengine wanaootajwa hawajawahi kupitishwa na kikao chochote.
Hili swali ulitakiwa uwaulize Tume ya Ushindani wa Biashara, maana wao ndio wanaoruhusu au kuzuia mchakato kila hatua fulani inapofika. Kwa upande wa Simba, hizo 49% hata zikiwa kutoka kwa wawekezaji kumi au watatu au mmoja, hazitabalisha thamani ya 49%
Wahini CAS mkashitaki ili Mo anyang'anywe hizo hisa. Simple.Tatizo la huu mjadala yeyote anayehoji kuhusu Mambo ya kimkataba anaonekani ni Chura au utopolo na kuzimwa ghafla. Wanasimba tumeamua kutia Pamba masikioni kama tuko kwenye honeymoon tukifurahia mahusiano. What about the Dark days?
Tuliambiwa katika kanuni za huu mchakato wa uwekezaji wa Klabu ya Simba kanuni zinataka kuwe na wawekezaji watatu watakaogawana hiyo 49% . Ikumbukwe hata Bakhresa alitaka naye kuwekeza kupitia hizo kanuni akapotezewa. Swali ni kuwa huu mchakato wa uwekezaji wa Simba Sc uliwekwa kumkumbatia mtu mmoja?.. Kwa nini usitangazwe kama Hisa then watu waBID kuzinunua kupata hizo kampuni 3.
Anyway nakubali labda kuna imani kubwa kwa wanasimba kwa MO sababu pia ni mpenzi mkubwa wa mpira wa Miguu.
Tume ya Ushindani ilitaka kuwe na wawekezaji watatu kama kanuni zinavyosema. Mbona Mo ametoa 20B yeye mwenyewe kununua hizo 49% zote?
Je wanasimba hamuoni kuwa hili suala litakuwa na mgongano wa kisheria hapo mbele?, hamuoni kuwa utakuwa uwekezaji batili?
Kibaya Mtakuja na mihemko ya mabanda ya mpira kuliko kujibu hoja mtaanza kumshambulia mtoa hoja. Tufikirie Simba ya 2035 itakuwaje kama tukiingia mikataba ya hovyo mfano huu wa kuuza timu kiholela.
Tusubiri wao waweke hao Wanahisa Watatu.Wahini CAS mkashitaki ili Mo anyang'anywe hizo hisa. Simple.
FC Bayern Munich ... ina wawekezaji watatu.Tusubiri wao waweke hao Wanahisa Watatu.
Ili tuige toka kwao.
Sasa hivi ni maneno ya mkosaji tu hapo.
Wafanye uwekezaji huo sahihi, na tuone faida yake ili waweze kukosoa aliyekosea.
Mi kwa uzoefu wangu wa Biashara ya Mpira wa Miguu, sijawahi kuona timu moja ina wawekezaji watatu.
Mazembe fc, Katumbi
Man City, Mwarabu.
Hivyo hivyo kwa
Mamelod Sundawn
A.S Vita
Manchester United
AC Millan
Chelsea,
Nk.
Basi na iwe hivyo kwa Yanga.FC Bayern Munich ... ina wawekezaji watatu.
1. Adidas.
2. Audi.
3.Allianz SE.
KwaheriBasi na iwe hivyo kwa Yanga.
Sisi Simba tumeanza na mmoja kama Chelsea na wengine.
Ziishe ziende wapi sasa?.. Hivi unajua hata maana ya hisa?.
Basi na iwe hivyo kwa Yanga.
Sisi Simba tumeanza na mmoja kama Chelsea na wengine.
Mchakato ukirudiwa Mo hatachangia tena, ataona ni magumashi na hivi ameshajipublish sana mitandaoniKama sheria ndio inayo taka basi hao tume ya ushindani ndio ya kutoa komenti zake...
Kama ni mchakato batili au umekinzana na matakwa ya kisheria hivyo urudiwe etc
Pia kuna fursa za kwenda mahakamani kuomba tafsiri na mengineyo...
Kama mtoa mada ni simba basi tumia fursa yako kufanikisha unayo yaona hayapo sawa maana ni jukumu lako usije mtwishwa mwingine
Hiyo sio nzuri sasa mkuuSisi kama simba tumeridhia ujanja ujanja wa Mudi.
Kwani huko Yanga kuna mwenye akili timamu hata mmoja? Yamejaa mapooza tupu
Maaskini Mikia, walamba miguu ya Mo DewjiMtopolo unateseka ukiwa kidimbwi gani wewe?
Na sisi tutammilikisha 100% kama Chelsea.Chelsea ina Mmiliki wa 100% . Haiendeshwi kwa wawekezaji na wanachama style
Simba SC ni timu ya familia ya Mo Dewji
Anaweza kufanya chochote atakacho, hata makombe huwa anayahifadhi ofisini mwake badala ya klabuni, na anapenda hivyo.
Well, hayo sio ya msingi...la msingi ni kuheshimu katiba na sheria za klabu, kama imetokea hivyo solution ni IPI? Nani wa kumpenalize Mo Dewji?
Wengine ni vi mikia tu
Sasa kama Tume haijatoa tamko, wasiwasi wako ni nini? Na kama anasema anaendelea kukamilisha taratibu kule Tume, tatizo liko wapi?Tume ya Ushindani hawajatoa Tamko la kubariki hili. Ni kauli za Mo tu ndo zimezagaa, Na anasema wanaendelea kukamilisha taratibu kadhaa kwa tume ya ushindani.
Sasa kama Tume haijatoa tamko, wasiwasi wako ni nini? Na kama anasema anaendelea kukamilisha taratibu kule Tume, tatizo liko wapi?
Mbona mnapenda kuendeshwa na maneno ya vijiweni? ni lini bakhresa alitaka kuwekeza simba?Tatizo la huu mjadala yeyote anayehoji kuhusu Mambo ya kimkataba anaonekani ni Chura au utopolo na kuzimwa ghafla. Wanasimba tumeamua kutia Pamba masikioni kama tuko kwenye honeymoon tukifurahia mahusiano. What about the Dark days?
Tuliambiwa katika kanuni za huu mchakato wa uwekezaji wa Klabu ya Simba kanuni zinataka kuwe na wawekezaji watatu watakaogawana hiyo 49% . Ikumbukwe hata Bakhresa alitaka naye kuwekeza kupitia hizo kanuni akapotezewa. Swali ni kuwa huu mchakato wa uwekezaji wa Simba Sc uliwekwa kumkumbatia mtu mmoja?.. Kwa nini usitangazwe kama Hisa then watu waBID kuzinunua kupata hizo kampuni 3.
Anyway nakubali labda kuna imani kubwa kwa wanasimba kwa MO sababu pia ni mpenzi mkubwa wa mpira wa Miguu.
Tume ya Ushindani ilitaka kuwe na wawekezaji watatu kama kanuni zinavyosema. Mbona Mo ametoa 20B yeye mwenyewe kununua hizo 49% zote?
Je wanasimba hamuoni kuwa hili suala litakuwa na mgongano wa kisheria hapo mbele?, hamuoni kuwa utakuwa uwekezaji batili?
Kibaya Mtakuja na mihemko ya mabanda ya mpira kuliko kujibu hoja mtaanza kumshambulia mtoa hoja. Tufikirie Simba ya 2035 itakuwaje kama tukiingia mikataba ya hovyo mfano huu wa kuuza timu kiholela.