Anaandika mwana Simba Yericko Nyerere

dem boy

JF-Expert Member
Nov 4, 2016
5,852
14,519
Ndugu Mo Dewji, Salim Tryagain na Mutaza Mangungu, Nini mnaweza kutuambia mashabiki tukawaelewa baada ya leo kuhitimisha msimu Simba ikikosa makombe yote? Simba imekosa ubingwa wa ngao ya Jamii, imekosa ubingwa wa Mapinduzi, imekosa ubingwa wa ligi kuu, imekosa ubingwa wa Klabu Afrika. Na sasa tumebakiwa na Super league tu. Iwe mwanzo na mwisho kuleta utapeli katika usajili wa wachezaji!

Ni ukweli usiopingika wachezaji wa Simba 80% hawana sifa ya kutumikia klabu hii, usajili msimu huu ulikuwa ni wa kitapeli tangu klabu yetu ifanye mageuzi ya kimfumo katika kipindi cha miaka kumi hivi iliyopita. Tuliletewa wachezaji magalasa na free agent wengi ili kuziba macho ya wanasimba kisa chaguzi.

Lakini ni ukweli mtupu kwamba Mwekezaji wetu Dewji alituchuuza akashindwa kutos pesa ya usajili, Amekuja kurudi bada ya kuona timu imefuzu kwenda makundi ya klabu bingwa kwakuwa huko kuna maokoto. Ukweli huu mchungu anatakiwa kuambiwa wazi kwamba Simba sio familia yake anayoweza kuifanyia chochote cha ajabu na cha mzaha askosolewe. Huyu alisusa tumu akaenda kwenye ngumi. Alipoona timu imefuzu kimiujiza tu akarejea.

Hebu tukubaliane jambo moja, Mohamed Dewji anamiliki hisa 49% kama hajazilipia kwanini milango isifunguliwe ziuzwe kwa mwekezaji mwingine atakayeweka mzigo wa kutosha na tukaepuka hii susasusa ya kimanyema? Kama hilo ni gumu kuuza hisa kwakuwa alishalipia kwa njia ya kiini macho cha hundi, Basi tukubaliane hisa za wanachama 51% zitolewe kiasa ziuzwe kwa mwekezaji mwenza (kama mwanachma) ili tuache kuonekana tumeshikilia hisa 51% wakati hatuna hata hela ya usajili wala ya kuendeshea klabu. Zinafaida gani kuonekana wanachama tuna hisa hizo ikiwa hazileti pesa?

Viongozi wa Simba acheni urasmu, fungueni milango ya wadau wapya waingie katika klabu waweke pesa. Lakini vilevile Serikali Wizara ya Michezo na Wizara ya Biashara na Uwekezaji, Acheni Urasmi, Simba na Yanga sio mali ya kisiasa, wala sio vitengo vya ccm, Vilabu hivi dunia ya leo ni Biashara ya uwekezaji, Malizieni mchakato wa mabadiliko. Simba haistahili kusajili mchezaji wa 100M au 150M, wachezaji wa bei hizo wanastahili Namungo, Azam, na Ihefu huko. Simba hadhi yake ni mchezaji wa 400M na kuendelea

Na YN

UNAMWAMBIA YN NINI KWA MAONI HAYA JUU YA KLABU YAKE(YENU)
 
yerickonyerere

Ndugu @moodewji, @salim_tryagain

na Mutaza Mangungu, Nini mnaweza kutuambia mashabiki tukawaelewa baada ya leo kuhitimisha msimu Simba ikikosa makombe yote? Simba imekosa ubingwa wa ngao ya Jamii, imekosa ubingwa wa Mapinduzi, imekosa ubingwa wa ligi kuu, imekosa ubingwa wa Klabu Afrika. Na sasa tumebakiwa na Super league tu. Iwe mwanzo na mwisho kuleta utapeli katika usajili wa wachezaji!​

Ni ukweli usiopingika wachezaji wa Simba 80% hawana sifa ya kutumikia klabu hii, usajili msimu huu ulikuwa ni wa kitapeli tangu klabu yetu ifanye mageuzi ya kimfumo katika kipindi cha miaka kumi hivi iliyopita. Tuliletewa wachezaji magalasa na free agent wengi ili kuziba macho ya wanasimba kisa chaguzi. Lakini ni ukweli mtupu kwamba Mwekezaji wetu Dewji alituchuuza akashindwa kutos pesa ya usajili, Amekuja kurudi bada ya kuona timu imefuzu kwenda makundi ya klabu bingwa kwakuwa huko kuna maokoto. Ukweli huu mchungu anatakiwa kuambiwa wazi kwamba Simba sio familia yake anayoweza kuifanyia chochote cha ajabu na cha mzaha askosolewe. Huyu alisusa tumu akaenda kwenye ngumi. Alipoona timu imefuzu kimiujiza tu akarejea.

Hebu tukubaliane jambo moja, Mohamed Dewji anamiliki hisa 49% kama hajazilipia kwanini milango isifunguliwe ziuzwe kwa mwekezaji mwingine atakayeweka mzigo wa kutosha na tukaepuka hii susasusa ya kimanyema? Kama hilo ni gumu kuuza hisa kwakuwa alishalipia kwa njia ya kiini macho cha hundi, Basi tukubaliane hisa za wanachama 51% zitolewe kiasa ziuzwe kwa mwekezaji mwenza (kama mwanachma) ili tuache kuonekana tumeshikilia hisa 51% wakati hatuna hata hela ya usajili wala ya kuendeshea klabu. Zinafaida gani kuonekana wanachama tuna hisa hizo ikiwa hazileti pesa?

Viongozi wa Simba acheni urasmu, fungueni milango ya wadau wapya waingie katika klabu waweke pesa. Lakini vilevile Serikali Wizara ya Michezo na Wizara ya Biashara na Uwekezaji, Acheni Urasmi, Simba na Yanga sio mali ya kisiasa, wala sio vitengo vya ccm, Vilabu hivi dunia ya leo ni Biashara ya uwekezaji, Malizieni mchakato wa mabadiliko. Simba haistahili kusajili mchezaji wa 100M au 150M, wachezaji wa bei hizo wanastahili Namungo, Azam, na Ihefu huko. Simba hadhi yake ni mchezaji wa 400M na kuendelea

Na YN

UNAMWAMBIA YN NINI KWA MAONI HAYA JUU YA KLABU YAKE(YENU)
Mambo mengine siyo wanajiandikia andikia tu. Hebu wewe Yericko Nyerere hebu ukuje utueleze hapa. Hao 89% ya wachezaji wasiofaa kuitumikia Simba ni wachezaji gani? Hawa waliofikisha Simba robo fainali ya African Champions league?
Hawa walioifunga Yanga?
Hawa waliofika nusu fainali ya Azam Federation Cup?
Hawa walioiwezesha timu kuwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi kuu?
Wachezaji hawa waliofanikiwa kuiingiza Simba kwenye Top Ten ya viabu bora Afrika?

Hebu jifunzeni kuwa wanamichezo aisee, mnalalamika sana hadi mnatia aibu. Simba imejipatia mafanikio makubwa sana, kama una jicho hilo unapaswa kuwa umeliona.
Punguzeni uswahili. Ipeni Club na wachezaji maua yao. Siyo msubiri miaka 20 ijayo ndiyo muanze kusema mliwahi kuwa kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika.

Na hizo hisa 49% wewe shabiki zinakuathiri nini?
 
Kigwangala alishawaambia kuwa ile HUNDI ni MZUKA/MZIMU mkatumia uhuru wenu kumtukana hadi mkaridhika.
Kuleni ujinga wenu na vichwa ngumu mshibe kwanza.

Ufike mahali tuweke mahaba pembeni tuupe ukweli nafasi.

Hivi ile HUNDI/MZUKA/KINYAGO ilikuwa ya bank gani?

.....mo hajanunua hizo hisa 49% mnadanganywa mchana kweupe.


Kuna mwerevu atanijibu?
Kalpana
OKW BOBAN SUNZU
 
Ndugu Mo Dewji, Salim Tryagain na Mutaza Mangungu, Nini mnaweza kutuambia mashabiki tukawaelewa baada ya leo kuhitimisha msimu Simba ikikosa makombe yote? Simba imekosa ubingwa wa ngao ya Jamii, imekosa ubingwa wa Mapinduzi, imekosa ubingwa wa ligi kuu, imekosa ubingwa wa Klabu Afrika. Na sasa tumebakiwa na Super league tu. Iwe mwanzo na mwisho kuleta utapeli katika usajili wa wachezaji!

Ni ukweli usiopingika wachezaji wa Simba 80% hawana sifa ya kutumikia klabu hii, usajili msimu huu ulikuwa ni wa kitapeli tangu klabu yetu ifanye mageuzi ya kimfumo katika kipindi cha miaka kumi hivi iliyopita. Tuliletewa wachezaji magalasa na free agent wengi ili kuziba macho ya wanasimba kisa chaguzi.

Lakini ni ukweli mtupu kwamba Mwekezaji wetu Dewji alituchuuza akashindwa kutos pesa ya usajili, Amekuja kurudi bada ya kuona timu imefuzu kwenda makundi ya klabu bingwa kwakuwa huko kuna maokoto. Ukweli huu mchungu anatakiwa kuambiwa wazi kwamba Simba sio familia yake anayoweza kuifanyia chochote cha ajabu na cha mzaha askosolewe. Huyu alisusa tumu akaenda kwenye ngumi. Alipoona timu imefuzu kimiujiza tu akarejea.

Hebu tukubaliane jambo moja, Mohamed Dewji anamiliki hisa 49% kama hajazilipia kwanini milango isifunguliwe ziuzwe kwa mwekezaji mwingine atakayeweka mzigo wa kutosha na tukaepuka hii susasusa ya kimanyema? Kama hilo ni gumu kuuza hisa kwakuwa alishalipia kwa njia ya kiini macho cha hundi, Basi tukubaliane hisa za wanachama 51% zitolewe kiasa ziuzwe kwa mwekezaji mwenza (kama mwanachma) ili tuache kuonekana tumeshikilia hisa 51% wakati hatuna hata hela ya usajili wala ya kuendeshea klabu. Zinafaida gani kuonekana wanachama tuna hisa hizo ikiwa hazileti pesa?

Viongozi wa Simba acheni urasmu, fungueni milango ya wadau wapya waingie katika klabu waweke pesa. Lakini vilevile Serikali Wizara ya Michezo na Wizara ya Biashara na Uwekezaji, Acheni Urasmi, Simba na Yanga sio mali ya kisiasa, wala sio vitengo vya ccm, Vilabu hivi dunia ya leo ni Biashara ya uwekezaji, Malizieni mchakato wa mabadiliko. Simba haistahili kusajili mchezaji wa 100M au 150M, wachezaji wa bei hizo wanastahili Namungo, Azam, na Ihefu huko. Simba hadhi yake ni mchezaji wa 400M na kuendelea

Na YN

UNAMWAMBIA YN NINI KWA MAONI HAYA JUU YA KLABU YAKE(YENU)
Simba nao walivyo wepesi kusahau. Juzi tu walikuwa wanasifia kocha na wachezaji. Leo asilimia 80 ya wachezaji hawafai kuchezea Simba.
 
Ndugu Mo Dewji, Salim Tryagain na Mutaza Mangungu, Nini mnaweza kutuambia mashabiki tukawaelewa baada ya leo kuhitimisha msimu Simba ikikosa makombe yote? Simba imekosa ubingwa wa ngao ya Jamii, imekosa ubingwa wa Mapinduzi, imekosa ubingwa wa ligi kuu, imekosa ubingwa wa Klabu Afrika. Na sasa tumebakiwa na Super league tu. Iwe mwanzo na mwisho kuleta utapeli katika usajili wa wachezaji!

Ni ukweli usiopingika wachezaji wa Simba 80% hawana sifa ya kutumikia klabu hii, usajili msimu huu ulikuwa ni wa kitapeli tangu klabu yetu ifanye mageuzi ya kimfumo katika kipindi cha miaka kumi hivi iliyopita. Tuliletewa wachezaji magalasa na free agent wengi ili kuziba macho ya wanasimba kisa chaguzi.

Lakini ni ukweli mtupu kwamba Mwekezaji wetu Dewji alituchuuza akashindwa kutos pesa ya usajili, Amekuja kurudi bada ya kuona timu imefuzu kwenda makundi ya klabu bingwa kwakuwa huko kuna maokoto. Ukweli huu mchungu anatakiwa kuambiwa wazi kwamba Simba sio familia yake anayoweza kuifanyia chochote cha ajabu na cha mzaha askosolewe. Huyu alisusa tumu akaenda kwenye ngumi. Alipoona timu imefuzu kimiujiza tu akarejea.

Hebu tukubaliane jambo moja, Mohamed Dewji anamiliki hisa 49% kama hajazilipia kwanini milango isifunguliwe ziuzwe kwa mwekezaji mwingine atakayeweka mzigo wa kutosha na tukaepuka hii susasusa ya kimanyema? Kama hilo ni gumu kuuza hisa kwakuwa alishalipia kwa njia ya kiini macho cha hundi, Basi tukubaliane hisa za wanachama 51% zitolewe kiasa ziuzwe kwa mwekezaji mwenza (kama mwanachma) ili tuache kuonekana tumeshikilia hisa 51% wakati hatuna hata hela ya usajili wala ya kuendeshea klabu. Zinafaida gani kuonekana wanachama tuna hisa hizo ikiwa hazileti pesa?

Viongozi wa Simba acheni urasmu, fungueni milango ya wadau wapya waingie katika klabu waweke pesa. Lakini vilevile Serikali Wizara ya Michezo na Wizara ya Biashara na Uwekezaji, Acheni Urasmi, Simba na Yanga sio mali ya kisiasa, wala sio vitengo vya ccm, Vilabu hivi dunia ya leo ni Biashara ya uwekezaji, Malizieni mchakato wa mabadiliko. Simba haistahili kusajili mchezaji wa 100M au 150M, wachezaji wa bei hizo wanastahili Namungo, Azam, na Ihefu huko. Simba hadhi yake ni mchezaji wa 400M na kuendelea

Na YN

UNAMWAMBIA YN NINI KWA MAONI HAYA JUU YA KLABU YAKE(YENU)
Pole yake
 
Mambo mengine siyo wanajiandikia andikia tu. Hebu wewe Yericko Nyerere hebu ukuje utueleze hapa. Hao 89% ya wachezaji wasiofaa kuitumia Simba ni wachezaji gani? Hawa waliofikisha Simba robo fainali ya Champions league?
Hawa walioifunga Yanga?
Hawa waliofika nusu fainali ya Azam Federation Cup?
Hawa walioiwezesha timu kuwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi kuu?
Wachezaji hawa waliofanikiwa kuiingiza Simba kwenye Top Ten ya viabu bora Afrika?

Hebu jifunzeni kuwa wanamichezo aisee, mnalalamika sana hadi mnatia aibu, Simba imejipatia mafanikio makubwa sana, kama una jicho hilo unapaswa kuwa umeliona. Punguzeni uswahili. Ipeni Club na wachezaji maua yao. Siyo msubiri miaka 20 ijayo ndiyo muanze kusema mliwahi kuwa kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika.

Na hizo hisa 49% wewe shabiki zinakuathiri nini?
Nmekuelewa hapo kwenye kuifunga Yanga
 
Kikubwa kombe 1 tunalo
AddText_05-07-05.55.40.jpg
 
Mambo mengine siyo wanajiandikia andikia tu. Hebu wewe Yericko Nyerere hebu ukuje utueleze hapa. Hao 89% ya wachezaji wasiofaa kuitumia Simba ni wachezaji gani? Hawa waliofikisha Simba robo fainali ya Champions league?
Hawa walioifunga Yanga?
Hawa waliofika nusu fainali ya Azam Federation Cup?
Hawa walioiwezesha timu kuwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi kuu?
Wachezaji hawa waliofanikiwa kuiingiza Simba kwenye Top Ten ya viabu bora Afrika?

Hebu jifunzeni kuwa wanamichezo aisee, mnalalamika sana hadi mnatia aibu, Simba imejipatia mafanikio makubwa sana, kama una jicho hilo unapaswa kuwa umeliona. Punguzeni uswahili. Ipeni Club na wachezaji maua yao. Siyo msubiri miaka 20 ijayo ndiyo muanze kusema mliwahi kuwa kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika.

Na hizo hisa 49% wewe shabiki zinakuathiri nini?
Kuifunga yanga ni mafanikio ya kuandika
Daaah
 
Simba wamejikita kwenye utapeli wa usajiri.
Simba imegeuka kuwa klabu ya wachezaji wa nje na ndani kupumzika na kula mshahala bila kazi.
Na mambo yote haya mwasisi ni MO Dewji.
Anasajiri vichezaji vidogo vidogo vya bei rahisi vikina Okwa, Banda, Sachko, na vidhaifu vikina Sawadogo ili atangaze biashara zake tu basi.

Kama anapata hasara kwanini asijiondoe Simba ?
Achukue hisa zake asepe tu.
Dewji anataka kutukumbusha maumivu ya Azim Dewji kwa kufungwa na Stela Abijani.

Dewji atuachie Simba yetu.
Hatumtaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom