The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Wakuu Simba ni brand, siyo kikundi cha wahuni, na kila kilichopo Simba ni mali ya umma (wanachama). Hivyo kumpatia mtu hisa asilimia 49 kinyemela ni sawa na uhalifu.
Tume ya ushindani unapaswa sasa kuingilia kati hili suala la uwekezaji la huyu bwana, maana inavyoonekana mazingira yake ni ya kihuni.
Simba watuambie kama wameingia mkataba wa zaidi ya shilingi bilioni 20 na M bet inakuwaje umiliki wa asilimia 49 uwe na thamani ya bilioni 20 tu?
Lakini pia je Mo Dewji ni mmiliki wa kilabu ama mdhamini, maana jezi za kilabu zimejaa matangazo ya kampuni zake tanzu.
Wakuu ya kuzungumza ni mengi ila kwa hapa hapana, jamaa achunguzwe na watuambie je, ni kweli Klabu ya Simba inastahili kumilikishwa kwa mtu kwa thamani ya 20 bilioni?
NB. Ujenzi wa kiwanja wanachangia wanachama na Mohamed Dewji ameshaupatia tayari jina lake et MO Arena. Aibu kubwa hii watanzania.
Tume ya ushindani unapaswa sasa kuingilia kati hili suala la uwekezaji la huyu bwana, maana inavyoonekana mazingira yake ni ya kihuni.
Simba watuambie kama wameingia mkataba wa zaidi ya shilingi bilioni 20 na M bet inakuwaje umiliki wa asilimia 49 uwe na thamani ya bilioni 20 tu?
Lakini pia je Mo Dewji ni mmiliki wa kilabu ama mdhamini, maana jezi za kilabu zimejaa matangazo ya kampuni zake tanzu.
Wakuu ya kuzungumza ni mengi ila kwa hapa hapana, jamaa achunguzwe na watuambie je, ni kweli Klabu ya Simba inastahili kumilikishwa kwa mtu kwa thamani ya 20 bilioni?
NB. Ujenzi wa kiwanja wanachangia wanachama na Mohamed Dewji ameshaupatia tayari jina lake et MO Arena. Aibu kubwa hii watanzania.