Uwekezaji Simba: Wako wapi wawekezaji wengine wawili waliotajwa kwenye kanuni za Tume ya Ushindani?

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,734
6,292
Tatizo la huu mjadala yeyote anayehoji kuhusu Mambo ya kimkataba anaonekani ni Chura au utopolo na kuzimwa ghafla. Wanasimba tumeamua kutia Pamba masikioni kama tuko kwenye honeymoon tukifurahia mahusiano. What about the Dark days?

Tuliambiwa katika kanuni za huu mchakato wa uwekezaji wa Klabu ya Simba kanuni zinataka kuwe na wawekezaji watatu watakaogawana hiyo 49% . Ikumbukwe hata Bakhresa alitaka naye kuwekeza kupitia hizo kanuni akapotezewa. Swali ni kuwa huu mchakato wa uwekezaji wa Simba Sc uliwekwa kumkumbatia mtu mmoja?.. Kwa nini usitangazwe kama Hisa then watu waBID kuzinunua kupata hizo kampuni 3.

Anyway nakubali labda kuna imani kubwa kwa wanasimba kwa MO sababu pia ni mpenzi mkubwa wa mpira wa Miguu.

Tume ya Ushindani ilitaka kuwe na wawekezaji watatu kama kanuni zinavyosema. Mbona Mo ametoa 20B yeye mwenyewe kununua hizo 49% zote?

Je wanasimba hamuoni kuwa hili suala litakuwa na mgongano wa kisheria hapo mbele?, hamuoni kuwa utakuwa uwekezaji batili?

Kibaya Mtakuja na mihemko ya mabanda ya mpira kuliko kujibu hoja mtaanza kumshambulia mtoa hoja. Tufikirie Simba ya 2035 itakuwaje kama tukiingia mikataba ya hovyo mfano huu wa kuuza timu kiholela.
 
Kama sheria ndio inayo taka basi hao tume ya ushindani ndio ya kutoa komenti zake...

Kama ni mchakato batili au umekinzana na matakwa ya kisheria hivyo urudiwe etc

Pia kuna fursa za kwenda mahakamani kuomba tafsiri na mengineyo...

Kama mtoa mada ni simba basi tumia fursa yako kufanikisha unayo yaona hayapo sawa maana ni jukumu lako usije mtwishwa mwingine
 
Tatizo la huu mjadala yeyote anayehoji kuhusu Mambo ya kimkataba anaonekani ni Chura au utopolo na kuzimwa ghafla. Wanasimba tumeamua kutia Pamba masikioni kama tuko kwenye honeymoon tukifurahia mahusiano. What about the Dark days?

Tuliambiwa katika kanuni za huu mchakato wa uwekezaji wa Klabu ya Simba kanuni zinataka kuwe na wawekezaji watatu watakaogawana hiyo 49% . Ikumbukwe hata Bakhresa alitaka naye kuwekeza kupitia hizo kanuni akapotezewa. Swali ni kuwa huu mchakato wa uwekezaji wa Simba Sc uliwekwa kumkumbatia mtu mmoja?.. Kwa nini usitangazwe kama Hisa then watu waBID kuzinunua kupata hizo kampuni 3.

Anyway nakubali labda kuna imani kubwa kwa wanasimba kwa MO sababu pia ni mpenzi mkubwa wa mpira wa Miguu.

Tume ya Ushindani ilitaka kuwe na wawekezaji watatu kama kanuni zinavyosema. Mbona Mo ametoa 20B yeye mwenyewe kununua hizo 49% zote?

Je wanasimba hamuoni kuwa hili suala litakuwa na mgongano wa kisheria hapo mbele?, hamuoni kuwa utakuwa uwekezaji batili?

Kibaya Mtakuja na mihemko ya mabanda ya mpira kuliko kujibu hoja mtaanza kumshambulia mtoa hoja. Tufikirie Simba ya 2035 itakuwaje kama tukiingia mikataba ya hovyo mfano huu wa kuuza timu kiholela.
Yupo azim dewji,mohamed dewji na zarina dewji,hao ni 3

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kizazi cha sasa sikuhizi hawajibu hoja bali wanajibu ki ushabiki. Kuanzia kwa Uccm na U CDM then imekuja U Simba na U Yanga.
Taifa ata mada inayohusu mustakabali ya maendeleo ya jamii zetu watu wanajadili ki ushabiki tu.
Swali lingine; Ile 20B alilouliza Kigwangala kua Mo hajalitoa ndiyo ametoa sasa? Kigwangala alikua sahihi?na hizi pesa Mo anazitoa kama matakwa ya makubaliano inavyosema (mkataba) au anajiamulia tu siku akupata analipa?

Naona giza mbele kwa upandea wa uwekezaji wa Mo au kwa vile Simba hatuna namna?
Isije ikawa kama yale ya Stend Utd baada ya kushuka Ligi kuu ndo walinyang'wa gali na Jambo na sasa inafanya kazi ya kupeleka wafanyakazi kiwandani.
 
Kizazi cha sasa sikuhizi hawajibu hoja bali wanajibu ki ushabiki. Kuanzia kwa Uccm na U CDM then imekuja U Simba na U Yanga.
Taifa ata mada inayohusu mustakabali ya maendeleo ya jamii zetu watu wanajadili ki ushabiki tu.
Swali lingine; Ile 20B alilouliza Kigwangala kua Mo hajalitoa ndiyo ametoa sasa? Kigwangala alikua sahihi?na hizi pesa Mo anazitoa kama matakwa ya makubaliano inavyosema (mkataba) au anajiamulia tu siku akupata analipa?

Naona giza mbele kwa upandea wa uwekezaji wa Mo au kwa vile Simba hatuna namna?
Isije ikawa kama yale ya Stend Utd baada ya kushuka Ligi kuu ndo walinyang'wa gali na Jambo na sasa inafanya kazi ya kupeleka wafanyakazi kiwandani.
Sisi kama simba tumeridhia ujanja ujanja wa Mudi.
 
Kizazi cha sasa sikuhizi hawajibu hoja bali wanajibu ki ushabiki. Kuanzia kwa Uccm na U CDM then imekuja U Simba na U Yanga.
Taifa ata mada inayohusu mustakabali ya maendeleo ya jamii zetu watu wanajadili ki ushabiki tu.
Swali lingine; Ile 20B alilouliza Kigwangala kua Mo hajalitoa ndiyo ametoa sasa? Kigwangala alikua sahihi?na hizi pesa Mo anazitoa kama matakwa ya makubaliano inavyosema (mkataba) au anajiamulia tu siku akupata analipa?

Naona giza mbele kwa upandea wa uwekezaji wa Mo au kwa vile Simba hatuna namna?
Isije ikawa kama yale ya Stend Utd baada ya kushuka Ligi kuu ndo walinyang'wa gali na Jambo na sasa inafanya kazi ya kupeleka wafanyakazi kiwandani.
Mm nadhani hii tayari imekuwa expired issue kwani kuijadili muda huu haina manufaa tena maana kila kitu limeisha,tungekuwa wamaana sana kama tungetoa angalizo kabla ya mchakato ni tetesi.
 
Wawekezaji 3 wanini siye mo anatosha kikubwa back to back 10 zifike. Mshabiki yake furaha hayo ya fcc ndiyo yametuchelewasha kusonga mbele
 
Tatizo la huu mjadala yeyote anayehoji kuhusu Mambo ya kimkataba anaonekani ni Chura au utopolo na kuzimwa ghafla. Wanasimba tumeamua kutia Pamba masikioni kama tuko kwenye honeymoon tukifurahia mahusiano. What about the Dark days?

Tuliambiwa katika kanuni za huu mchakato wa uwekezaji wa Klabu ya Simba kanuni zinataka kuwe na wawekezaji watatu watakaogawana hiyo 49% . Ikumbukwe hata Bakhresa alitaka naye kuwekeza kupitia hizo kanuni akapotezewa. Swali ni kuwa huu mchakato wa uwekezaji wa Simba Sc uliwekwa kumkumbatia mtu mmoja?.. Kwa nini usitangazwe kama Hisa then watu waBID kuzinunua kupata hizo kampuni 3.

Anyway nakubali labda kuna imani kubwa kwa wanasimba kwa MO sababu pia ni mpenzi mkubwa wa mpira wa Miguu.

Tume ya Ushindani ilitaka kuwe na wawekezaji watatu kama kanuni zinavyosema. Mbona Mo ametoa 20B yeye mwenyewe kununua hizo 49% zote?

Je wanasimba hamuoni kuwa hili suala litakuwa na mgongano wa kisheria hapo mbele?, hamuoni kuwa utakuwa uwekezaji batili?

Kibaya Mtakuja na mihemko ya mabanda ya mpira kuliko kujibu hoja mtaanza kumshambulia mtoa hoja. Tufikirie Simba ya 2035 itakuwaje kama tukiingia mikataba ya hovyo mfano huu wa kuuza timu kiholela.
Wacha pes iwekwe mkuu sheria za nn sasa
 
Kama wawekezaji ni 3 kwann pesa yote B20 imewekwa na mwekezaji mmoja? Kama wawekezaji ni 3 kwanin PRESS CONFERENCE imeitishwa na mwekezaji mmoja
 
Mtu akisema simba imeuzwa 20b huwa namshangaa sana maana pengine hajui namna masuala ya hisa yanavyofanya kazi.
Ninachoishauri yanga, watumie madhaifu ya mchakato wa simba kufanya vizuri.
Kama simba wamekosea basi imekula kwao. Mwezio akikosea inakusaidia wewe kutopita njia hiyo.
Kila la heri utopolo.
 
Wasio na pesa huwa Wana maoni mengi,walio na pesa huwa wana maamuzi mengi.Utopolo endeleeni kutoa maoni yenu
 
Back
Top Bottom