STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,262
Hiyo tabia wanayo wanawake, na kama mwanaume ndo amefanya huo unyumbu basi ni baada ya kupewa papuchi,, You know wanaume tunaformula moja tunaitumia huwa tuna act kama watumwa pale tunapolilia papuchi na tukiipata huwa tunaact like a boss, big boss kabisa...