Uwapo faragha na mume/mke wa mtu.

Uwapo faragha na mume/mke wa mtu.

Habari za Ijumaa wapendwa,

Hivi unapokuwa maeneo ya faragha na mume au mke wa mtu, na ghafla tu anaanza kumsifia mke/mume wake unajisikiaje? Hatua gani utakayo chukua?
Mmmh.
Kuna methali ya Kiswahili hapa....!
 
Ole wenu wapenzi wa Waume/wake za watu wengine.Siku mkikutwa
 
Habari za Ijumaa wapendwa,

Hivi unapokuwa maeneo ya faragha na mume au mke wa mtu, na ghafla tu anaanza kumsifia mke/mume wake unajisikiaje? Hatua gani utakayo chukua?

Sky Eclat ametoa habari hii ikiwa general yaani kwamba hii inaweza kutokea for both Me and Ke, lakini inaonesha watu humu wana experience na hii kitu, maana inavyoonesha wanaonza kusifia ama kuongelea habari za wenza wao huku wakiwa wame cheat ni wanaume zaidi ama wanaume sijui ndio wazinzi zaidi huku wakifanya uzinzi huo na wanawake ambao hawajaolewa. Maana kama mwanamke atakuwa hajaolewa ingawa aweza kuwa series ya boyfriends lakini lakini kwa vile ameingia kwenye mahusiano mapya aweza asikumbuke ya nyuma maana huenda hakusudii kurudi tena, lakini wa kwenye ndoa ni tofauti.

hatari, tusiwaudhi michepuko jamani kwa kutaja sifa za wake zetu, ukishindwa kuhimili usiende nje kabisa
 
hapana ila ni muhimu hasa kwangu

Kama ndivyo napata mashaka kama huyo utakuwa umempenda yeye ama pesa yake tu. Any way don't respond on this, maana sio kila tunachoandika hapa ndicho kilichopo miyoni mwetu ingawa sometime inakuwa ndio.
 
Kama ndivyo napata mashaka kama huyo utakuwa umempenda yeye ama pesa yake tu. Any way don't respond on this, maana sio kila tunachoandika hapa ndicho kilichopo miyoni mwetu ingawa sometime inakuwa ndio.
okey kwa kuwa umesema nisijibu sitajibu
 
Kwanza awez labda awe zuzu au yule anaempondea mke wake au mume wake ni zuzu kabisa... Yan m2 wa hvo akiwa na mm nambabua kofi la buku! Coz that's your time mkewe au mumewe hakuhusu kabisa! Labda awe anakuona wew kama kipozeo
Hilo kofi la buku
 
Back
Top Bottom