BioPsychologist
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 724
- 1,014
- Thread starter
- #21
Sawa mkuu ,,mkuu unaweza kutupa dondoo au kwa undani zaidi kuhusiana na lugha ya mwili..?
Lugha za mwili au maarufu kama facial language/expressions ni lugha haswa zitokazp usoni hutumia macho, mdomo , paji la uso tabasamu kukunja sura na mengine mengi ,lengo la hizi lugha huwa ni kuonyesha kilicho ndani ya fikra za mhusika na Mara nyingi hutoka unconsciously kwa maana ya kuwa MTU hujikuta ka express feelings zake kupitia facial language
Ni rahisi MTU kuzuia kusema kwa mdomo kuliko kuzuia baadhi ya body language!
Mistakes are mine, karibu sana na wengine kama wapo karibuni msaidie