Uwanja wa wanasaikolojia, (Para-profesional & Professional Psychologists) wote tukutane hapa

BioPsychologist

JF-Expert Member
Aug 23, 2017
724
1,014
Hello! Jf members !

Karibu kwenye uwanja huu tukutane wanasaikolojia, wahitimu na wanaoendelea na masomo ya saikolojia!

Psychology is the study of human mind/brain and behavior (saikolojia ni somo linalohusu akili au nafsi na tabia za mwanadamu)

Zaidi saikolojia kama huduma ya ushauri nasaha (Guidance and counseling) katika nyanja mbalimbali za kijamii kama mahusiano ya aina zote, elimu, afya ya mwili na akili n.k

Tutajadili historical background ya psychology Tanzania na matokeo yake hapa kwetu,

Tuone umhimu wa saikolojia na huduma zake hapa kwetu upoje?,

Jamii inafahamu nini kuhusu huduma za kisaikolojia?

Je wanasaikolojia wenyewe wana sema nini kuhusu hii huduma?

Je wameridhika kwa kiasi gani katika uwanja wa huduma za kisaikolojia?

Kuna ajira za kisaikolojia?

Mwanasaikolojia ana nafasi gani katika maisha yake na maisha ya watu wengine?

Tupeane uelekeo wapi huduna za kisaikolojia zimetoka, zilipo na zinapokwenda !!


5b66c438c898603e5bd551ff56ed62d3.jpg
 
Niko hapa kupata darasa mujaraba kabisa.. maswali yanaruhusiwa..?
 
psycholody ni ngumu sana hasa pale unapokutana na wanapsychology kadhaa wote wanapingana katika tatizo fulan
 
Mkuu Nina swali..
Hivi inakuaje mtu anakuwa na tabia zinazoweza kugawika katika makundi mawili tofauti?
Nakusudia wale extrovent na kundi lile jengine...?
Halafu kuna tabia ambazo mtu huwa anazo na anajifahamu lakini kuna nyingine huwa mtu anazo ila hajui kama anazo. ..mpaka aambiwe na watu... shida inakuwa wap hapo?
 
psycholody ni ngumu sana hasa pale unapokutana na wanapsychology kadhaa wote wanapingana katika tatizo fulan
Kuna ideas mbalimbali kutoka katika theory tofauti tofauti ambapo ndo huweza kuleta mkanganyiko lakini mara kadhaa hupishana kidogo
 
Saikolojia inasaidia sana kutambua tabia ya mtu kutokana na stage yakeee ya ukuaji ( umri)
Inarahisisha kutambua matendo ya mtu kutokana na umri wakeee
Ni kweli kabisa unavosema na kwa kuongeza ni kuwa umri ni moja ya kigezo cha kupredict tabia ya MTU
 
Hello! Jf members !

Karibu kwenye uwanja huu tukutane wanasaikolojia, wahitimu na wanaoendelea na masomo ya saikolojia!

Psychology is the study of human mind/brain and behavior (saikolojia ni somo linalohusu akili au nafsi na tabia za mwanadamu)

Zaidi saikolojia kama huduma ya ushauri nasaha (Guidance and counseling) katika nyanja mbalimbali za kijamii kama mahusiano ya aina zote, elimu, afya ya mwili na akili n.k

Tutajadili historical background ya psychology Tanzania na matokeo yake hapa kwetu,

Tuone umhimu wa saikolojia na huduma zake hapa kwetu upoje?,

Jamii inafahamu nini kuhusu huduma za kisaikolojia?

Je wanasaikolojia wenyewe wana sema nini kuhusu hii huduma?

Je wameridhika kwa kiasi gani katika uwanja wa huduma za kisaikolojia?

Kuna ajira za kisaikolojia?

Mwanasaikolojia ana nafasi gani katika maisha yake na maisha ya watu wengine?

Tupeane uelekeo wapi huduna za kisaikolojia zimetoka, zilipo na zinapokwenda !!


5b66c438c898603e5bd551ff56ed62d3.jpg
Swali:pitia taaluma hii, naomba ufafanuzi kwanini wanawake wakiwa kwenye vipindi vya ujauzito hutokea kuwa wenye ghadhabu sana, pia kumchukia mume wake pia, na kuna wakati huwa ana hasira zisizo na mantiki sana, nieleze nini kipo nyuma ya ili, ukiacha mabadiliko ya hormones ambayo its obvious nimesikia sana, naombeni majibu
 
Ni kweli kabisa unavosema na kwa kuongeza ni kuwa umri ni moja ya kigezo cha kupredict tabia ya MTU
Mfano mtoto wa miaka 2 -4
-anpenda kucheza sana
-anajifunza kutembea
-kila anachokiona anataka akimiliki kuwa ni kitu chake
-anajifunza kuongea kwa kurudia maneno yanayotamkwa na mtu mwingine
- umri huu Watoto wanakuwa watundu na hawasikiii
-wanaharibu vifaaa mbalimbali vya nyumbani
-wanaonyesha upendo Kwa mtu Fulani ktk familia

Kwa kutumia saikolojia kwenye suala LA umri unaweza kubaini matendo ya mtt wako na kuweza kukabiliana nayo
 
Mkuu Nina swali..
Hivi inakuaje mtu anakuwa na tabia zinazoweza kugawika katika makundi mawili tofauti?
Nakusudia wale extrovent na kundi lile jengine...?
Halafu kuna tabia ambazo mtu huwa anazo na anajifahamu lakini kuna nyingine huwa mtu anazo ila hajui kama anazo. ..mpaka aambiwe na watu... shida inakuwa wap hapo?

What Exactly Is an Extrovert?

Hawa ni watu wenye tabia zinazosukumwa na kuzungukwa na watu (kutoka nje) katika mtazamo chanya ni talkative, sociable, action-oriented, enthusiastic, friendly, and out-going.
Na katika mtazamo hasi kwa maana ya hasara ya kuwa na tabia za extrovert hawa watu wana kuwa attention-seekers, easily distracted, na wana kuwa wanapata kazi sana kuwa peke yao

Ni TABIA zinazotokana na mihemko na kuendeshwa na uwepo wa watu, ukikaa vizr sehemu Fulani katika group la watu utagundua kuna watu wanafanya mambo ikiwa wako na watu wengine

Mfano unakuta mwanaume anamfokea mkewe wakiwa mtaani lakini nyumbani kamwe hawezi kufanya hivo.


Introvert people

Hawa wana kuwa termed kama watu wasiopenda watu anaendeshwa na TABIA zao binafsi bila kutumia influence ya group ,Mara nyingi huonekana wanajitenga sana na jamii hata katika maamuzi either yanayohusisha watu zaidi ya mmoja yaani yeye , hii ni internal driven sometimes ni innate yaani wanazaliwa wakiwa hivo

Lakini wote hawa huinjoy maisha kutokana na jinsi wanavyotafsri hali na mambo ikiwa yanawapa nafasi ya kuonekana kama wana umhimu na wanakubaliwa kwa wengine

Ni kwa uchache tu yapo mengine zaidi !! Mkuu
Mkuu Nina swali..
Hivi inakuaje mtu anakuwa na tabia zinazoweza kugawika katika makundi mawili tofauti?
Nakusudia wale extrovent na kundi lile jengine...?
Halafu kuna tabia ambazo mtu huwa anazo na anajifahamu lakini kuna nyingine huwa mtu anazo ila hajui kama anazo. ..mpaka aambiwe na watu... shida inakuwa wap hapo?
 
Back
Top Bottom