NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Kalemani keshafanya jambo lake ukoManinah Tanesco
Kalemani keshafanya jambo lake ukoManinah Tanesco
Vp wanaupiga mwingi mkuu??Simba hii kuna mtu atakuja atafungwa nyingi kiasi cha mashabiki kuhisi ni hujuma.
Bwallya kazaliwa upya,fikra za kiushambuliaji zaidi,sio vidude vya kugeuka geuka Na Mpira. Anafanya mambo dizain ya chama. Chama anazunguka maeneo mengi.Vp wanaupiga mwingi mkuu??
Hili ndio lina gharama hata timu zilizokuja ni za kiwango cha juu sio timu inaitwa chipukizi kitu kingine timu zote zinashiriki makundi klabu bingwa na zipo kwenye timu 20 bora afrikaHili kombe na lile la Mapinduzi lipi lina gharama kubwa?
Tuwekee na kikosi cha TP Mazembe acha kuwa na mahaba na timu moja tu... Thats biasPatashika ya michuano ya Simba Super Cup inafikia mwisho leo January 31, 2021 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam, ambapo Mnyama Mkali Simba SC inapepetana na Mabingwa wa Afrika mara tano TP Mazembe kutoka Congo.
Mchezo huo unatarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku kila timu kuhitaji ushindi na kunyakua taji hilo, Simba SC aliweza kushinda mchezo wa kwanza huku TP Mazembe akipoteza.
Je TP Mazembe atakubali kupoteza michezo yote miwili na Simba SC kushinda michezo yote miwili? Jibu ndani ya dakika 90 za mchezo huu.
Kumbuka mtanange huu ni kuanzia saa 11: 00 Usikose Ukasimuliwa.
.... Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
....Kikosi cha Simba SC
1.Beno Kakolanya
2.David Kameta
3.Mohamed Hussein
4.Pascal Wawa
5.Joash Onyango
6.Taddeo Lwanga
7.Miraji Othuman
8.Rally Bwalya
9.Chris Mugalu
10.Claotus Chama
11.Luis Miquissone
Subs:
Salim, Gadiel,Kennedy, Morrison, Mzamir, Ajibu, Kagere, Kahata, Lokosa, Peter, Chikwende
View attachment 1690873
Inamaanisha yanga wachezaji wao viwango vyao ni vidogo kama wangekuwa wanawajenga wachezaji kina Mhilu, Lusajo na Charles Manyama walishindwaje kuwajengaKaribia wachezaji wote wanaotoka Yanga na kwenda Simba, huishia tu kusugua benchi! Kuanzia Ajibu, Gadiel Michael, Morrison, Benno Kakolanya, nk!
Ila wakitoka Simba na kuja Yanga, huwa moto balaa! Kuanzia Kelvin Yondani, Amis Tambwe, Dida, Ajibu, na wengineo wengi. Hii inamaanisha Yanga ina uwezo mzuri wa kuwajenga na kuwatumia vizuri wachezaji kuliko Simba.
Nawaangalia wale upotolo tukikutana sijui watasingizia niniSimba hii kuna mtu atakuja atafungwa nyingi kiasi cha mashabiki kuhisi ni hujuma.
TP ENGLEBERT MAZEMBE MSINIANGUSHE 🙌💪