Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
- Thread starter
- #121
Kwahivyo unateseka na lipi hapo? Mdhamini au Mc..hakuna ligi ya hivyo mkuu, usijifaliji kwa ujinga wa namna iyo ligi mdhamini wake ni nani (mwamedi) mc wa shughuri (manara)
ligi upumbavu
Okay mwakani tutamchukua Mdhamini wa Calendar na Mc atakuwa yule aliyekula mvua tatu