Wachezaji, waamuzi, mabenchi ya ufundi nk, hao wote wanaoonekana ni mbuzi?Uwanja hauna watu kabisa
Simba 2-0mazembeSimba0-4Mazembe
Karibia wachezaji wote wanaotoka Yanga na kwenda Simba, huishia tu kusugua benchi! Kuanzia Ajibu, Gadiel Michael, Morrison, Benno Kakolanya, nk!Gadiel Michael hata kwenye mabonanza haaminiki.!?
Pia inaweza kuwa Simba ina wachezaji wazuri zaidi kiasi kwamba wachezaji wachovu hawapati nambaKaribia wachezaji wote wanaotoka Yanga na kwenda Simba, huishia tu kusugua benchi! Kuanzia Ajibu, Gadiel Michael, Morrison, Benno Kakolanya, nk!
Ila wakitoka Simba na kuja Yanga, huwa moto balaa! Kuanzia Kelvin Yondani, Amis Tambwe, Dida, Ajibu, na wengineo wengi. Hii inamaanisha Yanga ina uwezo mzuri wa kuwajenga na kuwatumia vizuri wachezaji kuliko Simba.