Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,261
Patashika ya michuano ya Simba Super Cup inafikia mwisho leo January 31, 2021 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam, ambapo Mnyama Mkali Simba SC inapepetana na Mabingwa wa Afrika mara tano TP Mazembe kutoka Congo.
Mchezo huo unatarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku kila timu kuhitaji ushindi na kunyakua taji hilo, Simba SC aliweza kushinda mchezo wa kwanza huku TP Mazembe akipoteza.
Je TP Mazembe atakubali kupoteza michezo yote miwili na Simba SC kushinda michezo yote miwili? Jibu ndani ya dakika 90 za mchezo huu.
Kumbuka mtanange huu ni kuanzia saa 11: 00 Usikose Ukasimuliwa.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
Kikosi cha Simba SC
1. Beno Kakolanya
2. David Kameta
3. Mohamed Hussein
4. Pascal Wawa
5. Joash Onyango
6. Taddeo Lwanga
7. Miraji Othuman
8. Rally Bwalya
9. Chris Mugalu
10. Claotus Chama
11. Luis Miquissone
Subs:
Salim, Gadiel,Kennedy, Morrison, Mzamir, Ajibu, Kagere, Kahata, Lokosa, Peter, Chikwende
===========
Klabu ya Simba na TP Mazembe wa wamemaliza mchezo wao bila kufungana katika mchezo wa michuano ya Simba Super Cup uliofanyika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa
Kwa matokeo hayo Simba SC imebeba taji la Simba Super Cup kwa kufikisha alama nne kufuatia ushindi katika mchezo wa kwanza wa mabao nne kwa moja dhidi ya Al Hilal.
Mchezo huo unatarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku kila timu kuhitaji ushindi na kunyakua taji hilo, Simba SC aliweza kushinda mchezo wa kwanza huku TP Mazembe akipoteza.
Je TP Mazembe atakubali kupoteza michezo yote miwili na Simba SC kushinda michezo yote miwili? Jibu ndani ya dakika 90 za mchezo huu.
Kumbuka mtanange huu ni kuanzia saa 11: 00 Usikose Ukasimuliwa.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
Kikosi cha Simba SC
1. Beno Kakolanya
2. David Kameta
3. Mohamed Hussein
4. Pascal Wawa
5. Joash Onyango
6. Taddeo Lwanga
7. Miraji Othuman
8. Rally Bwalya
9. Chris Mugalu
10. Claotus Chama
11. Luis Miquissone
Subs:
Salim, Gadiel,Kennedy, Morrison, Mzamir, Ajibu, Kagere, Kahata, Lokosa, Peter, Chikwende
===========
Klabu ya Simba na TP Mazembe wa wamemaliza mchezo wao bila kufungana katika mchezo wa michuano ya Simba Super Cup uliofanyika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa
Kwa matokeo hayo Simba SC imebeba taji la Simba Super Cup kwa kufikisha alama nne kufuatia ushindi katika mchezo wa kwanza wa mabao nne kwa moja dhidi ya Al Hilal.