Huu utaratibu wa sasa wa kulazimisha Baraza la Mawaziri kuundwa kutokana na wabunge ni tatizo kubwa. Kwanza kuna viongozi wazuri ambao sio wanasiasa. Pili, kutoa wabunge wengi hivi Bungeni badala ya kutetea Majimbo yao wanakuwa watetezi wa Serikali. Vilevile ndiyo sababu wengi wanakimbilia Ubunge bila kuwa an niya ya kweli ya kusaidia bali watu wao bali kuingia Serikalini tu.
Hizo nafasi 10 za Rais hazitoshi
Hizo nafasi 10 za Rais hazitoshi