Tunapoelekea kupata Baraza Jipya la Mawaziri, Rais ni vema akazingatia ushauri wa kujenga

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,559
41,077
Kwa uchafu uliotokea, kwa kadiri ya report ya CAG ilivyoweka wazi, na namna baadhi ya Mawaziri walivyojitahidi kuulinda uovu huo kwa kauli na vitendo; kama Rais anauchukia uovo, Watanzania wanatarajia kupata baraza jipya la Mawaziri hivi karibuni.

Nchi hii, kama ambavyo mara nyingi, wengi wetu tumesema, inashindwa kuwa na maendeleo ya kuridhisha kwa sababu ya kukosekana uongozi thabiti maeneo mengi ya Serikali na taasisi zake. Mbaya zaidi, viongozi walio wengi, wamezifanya ofisi zao kuwa madanguro ya kuporea pesa za umma. Na wengi wao, uwezo wao wa kutenda kazi ni duni sana lakini ni mabingwa wa wizi na ufisadi. Fikiria mtu anayezalisha kidogo sana, lakini anaiba sana. Hawa watu ni hasara kubwa kwa Taifa.

Sasa ni wakati wa serikali kuongozwa na watu wanaojua kutenda kuliko wanaojua kuiba na kupiga porojo.

Viwanda, apewe mtu anayevijua viwanda, mtu mwadilifu anayezijua changamoto zinazozuia viwanda vingi kujengwa Tanzania.

Kilimo apewe mtu anayekijua kilimo. Anayezijua changamoto zake kisahihi.

Wizara zinazohusika na ujenzi wa uchumi kama vile Wizara ya Fedha, Uchumi na mipango; Viwanda, Biashara na Uwekezaji; Madini; Kilimo na Uvuvi; pamoja na Wizara zinazotengeneza mazingira ya kuwezesha sekta za uchumi kustawi, kama vile Wizara ya sheria; Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje; Wizara ya Maji; Wizara ya Nishati; na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, hizi zote wapewe watu ambao wanayajua maeneo hayo vizuri, na wawe wanajua uzito wa sekta hizi katika kuwezesha uchumi kukua.

Tunafahamu changamoto anayokutana nayo Rais katika kuwapata watu wanaofaa, kwa sababu katiba inamlazimisha awateua kutoka miongoni mwa wabunge, na bahati mbaya wabunge waliopo ndio hao ambao hawakuchaguliwa na wapiga kura, na wengi wao wanachojua ni kugonga tu meza na kusema NDIYOO.

Katika kuondokana na tatizo hili, wabunge wote wa kuteuliwa, wapewe uteuzi wa kufanya kazi nyingine za Serikali, halafu wajiuzulu ubunge. Rais awateua watu wenye uwezo na waadilifu kuwa wabunge, ndio washikilie Wizara zote muhimu. Hawa wabunge bandia wanaweza kupewa wizara kama za utamaduni, wanawake na watoto, na mazingira,
 
Kwa uchafu uliotokea, kwa kadiri ya report ya CAG ilivyoweka wazi, na namna baadhi ya Mawaziri walivyojitahidi kuulinda uovu huo kwa kauli na vitendo; kama Rais anauchukia uovo, Watanzania wanatarajia kupata baraza jipya la Mawaziri hivi karibuni.

Nchi hii, kama ambavyo mara nyingi, wengi wetu tumesema, inashindwa kuwa na maendeleo ya kuridhisha kwa sababu ya kukosekana uongozi thabiti maeneo mengi ya Serikali na taasisi zake. Mbaya zaidi, viongozi walio wengi, wamezifanya ofisi zao kuwa madanguro ya kuporea pesa za umma. Na wengi wao, uwezo wao wa kutenda kazi ni duni sana lakini ni mabingwa wa wizi na ufisadi. Fikiria mtu anayezalisha kidogo sana, lakini anaiba sana. Hawa watu ni hasara kubwa kwa Taifa.

Sasa ni wakati wa serikali kuongozwa na watu wanaojua kutenda kuliko wanaojua kuiba na kupiga porojo.

Viwanda, apewe mtu anayevijua viwanda, mtu mwadilifu anayezijua changamoto zinazozuia viwanda vingi kujengwa Tanzania.

Kilimo apewe mtu anayekijua kilimo. Anayezijua changamoto zake kisahihi.

Wizara zinazohusika na ujenzi wa uchumi kama vile Wizara ya Fedha, Uchumi na mipango; Viwanda, Biashara na Uwekezaji; Madini; Kilimo na Uvuvi; pamoja na Wizara zinazotengeneza mazingira ya kuwezesha sekta za uchumi kustawi, kama vile Wizara ya sheria; Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje; Wizara ya Maji; Wizara ya Nishati; na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, hizi zote wapewe watu ambao wanayajua maeneo hayo vizuri, na wawe wanajua uzito wa sekta hizi katika kuwezesha uchumi kukua.

Tunafahamu changamoto anayokutana nayo Rais katika kuwapata watu wanaofaa, kwa sababu katiba inamlazimisha awateua kutoka miongoni mwa wabunge, na bahati mbaya wabunge waliopo ndio hao ambao hawakuchaguliwa na wapiga kura, na wengi wao wanachojua ni kugonga tu meza na kusema NDIYOO.

Katika kuondokana na tatizo hili, wabunge wote wa kuteuliwa, wapewe uteuzi wa kufanya kazi nyingine za Serikali, halafu wajiuzulu ubunge. Rais awateua watu wenye uwezo na waadilifu kuwa wabunge, ndio washikilie Wizara zote muhimu. Hawa wabunge bandia wanaweza kupewa wizara kama za utamaduni, wanawake na watoto, na mazingira,
Kwa uchafu uliotokea, kwa kadiri ya report ya CAG ilivyoweka wazi, na namna baadhi ya Mawaziri walivyojitahidi kuulinda uovu huo kwa kauli na vitendo; kama Rais anauchukia uovo, Watanzania wanatarajia kupata baraza jipya la Mawaziri hivi karibuni
Ila nina mashaka sana kama hili litawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uchafu uliotokea, kwa kadiri ya report ya CAG ilivyoweka wazi, na namna baadhi ya Mawaziri walivyojitahidi kuulinda uovu huo kwa kauli na vitendo; kama Rais anauchukia uovo, Watanzania wanatarajia kupata baraza jipya la Mawaziri hivi karibuni.

Nchi hii, kama ambavyo mara nyingi, wengi wetu tumesema, inashindwa kuwa na maendeleo ya kuridhisha kwa sababu ya kukosekana uongozi thabiti maeneo mengi ya Serikali na taasisi zake. Mbaya zaidi, viongozi walio wengi, wamezifanya ofisi zao kuwa madanguro ya kuporea pesa za umma. Na wengi wao, uwezo wao wa kutenda kazi ni duni sana lakini ni mabingwa wa wizi na ufisadi. Fikiria mtu anayezalisha kidogo sana, lakini anaiba sana. Hawa watu ni hasara kubwa kwa Taifa.

Sasa ni wakati wa serikali kuongozwa na watu wanaojua kutenda kuliko wanaojua kuiba na kupiga porojo.

Viwanda, apewe mtu anayevijua viwanda, mtu mwadilifu anayezijua changamoto zinazozuia viwanda vingi kujengwa Tanzania.

Kilimo apewe mtu anayekijua kilimo. Anayezijua changamoto zake kisahihi.

Wizara zinazohusika na ujenzi wa uchumi kama vile Wizara ya Fedha, Uchumi na mipango; Viwanda, Biashara na Uwekezaji; Madini; Kilimo na Uvuvi; pamoja na Wizara zinazotengeneza mazingira ya kuwezesha sekta za uchumi kustawi, kama vile Wizara ya sheria; Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje; Wizara ya Maji; Wizara ya Nishati; na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, hizi zote wapewe watu ambao wanayajua maeneo hayo vizuri, na wawe wanajua uzito wa sekta hizi katika kuwezesha uchumi kukua.

Tunafahamu changamoto anayokutana nayo Rais katika kuwapata watu wanaofaa, kwa sababu katiba inamlazimisha awateua kutoka miongoni mwa wabunge, na bahati mbaya wabunge waliopo ndio hao ambao hawakuchaguliwa na wapiga kura, na wengi wao wanachojua ni kugonga tu meza na kusema NDIYOO.

Katika kuondokana na tatizo hili, wabunge wote wa kuteuliwa, wapewe uteuzi wa kufanya kazi nyingine za Serikali, halafu wajiuzulu ubunge. Rais awateua watu wenye uwezo na waadilifu kuwa wabunge, ndio washikilie Wizara zote muhimu. Hawa wabunge bandia wanaweza kupewa wizara kama za utamaduni, wanawake na watoto, na mazingira,
TANESCO hakuhitajiki kuondoa kirusi, kinachohitajika ni Umeme watu wakisema inahitajika katiba mpya labda sasa mtaanza kuelewa. Hii ina mauzauza mengi sana bila kupata katiba nyingine ni changamoto mpaka mbingu na nchi zitakapofikia mwisho
 
"Sasa ni wakati wa serikali kuongozwa na watu wanaojua kutenda kuliko wanaojua kuiba na kupiga porojo"-Bams,jf,2023

Ina maana hilo suala hapo juu miaka yote watu walikuwa hawali fahamu na kulizingatia
 
Viwanda, apewe mtu anayevijua viwanda, mtu mwadilifu anayezijua changamoto zinazozuia viwanda vingi kujengwa Tanzania.

Kilimo apewe mtu anayekijua kilimo. Anayezijua changamoto zake kisahihi.

Wizara zinazohusika na ujenzi wa uchumi kama vile Wizara ya Fedha, Uchumi na mipango; Viwanda, Biashara na Uwekezaji; Madini; Kilimo na Uvuvi; pamoja na Wizara zinazotengeneza mazingira ya kuwezesha sekta za uchumi kustawi, kama vile Wizara ya sheria; Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje; Wizara ya Maji; Wizara ya Nishati; na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, hizi zote wapewe watu ambao wanayajua maeneo hayo vizuri, na wawe wanajua uzito wa sekta hizi katika kuwezesha uchumi kukua.
Naunga mkono hoja Ushauri wa bure kwa... kwenye mabadiliko ya Cabinet kufuatia ripoti ya CAG, tumia wazoefu, Fedha mpe Dr. Kimei, Biashara Uwekezaji mpe Deo Mwanyika
P
 
Kwa uchafu uliotokea, kwa kadiri ya report ya CAG ilivyoweka wazi, na namna baadhi ya Mawaziri walivyojitahidi kuulinda uovu huo kwa kauli na vitendo; kama Rais anauchukia uovo, Watanzania wanatarajia kupata baraza jipya la Mawaziri hivi karibuni.

Nchi hii, kama ambavyo mara nyingi, wengi wetu tumesema, inashindwa kuwa na maendeleo ya kuridhisha kwa sababu ya kukosekana uongozi thabiti maeneo mengi ya Serikali na taasisi zake. Mbaya zaidi, viongozi walio wengi, wamezifanya ofisi zao kuwa madanguro ya kuporea pesa za umma. Na wengi wao, uwezo wao wa kutenda kazi ni duni sana lakini ni mabingwa wa wizi na ufisadi. Fikiria mtu anayezalisha kidogo sana, lakini anaiba sana. Hawa watu ni hasara kubwa kwa Taifa.

Sasa ni wakati wa serikali kuongozwa na watu wanaojua kutenda kuliko wanaojua kuiba na kupiga porojo.

Viwanda, apewe mtu anayevijua viwanda, mtu mwadilifu anayezijua changamoto zinazozuia viwanda vingi kujengwa Tanzania.

Kilimo apewe mtu anayekijua kilimo. Anayezijua changamoto zake kisahihi.

Wizara zinazohusika na ujenzi wa uchumi kama vile Wizara ya Fedha, Uchumi na mipango; Viwanda, Biashara na Uwekezaji; Madini; Kilimo na Uvuvi; pamoja na Wizara zinazotengeneza mazingira ya kuwezesha sekta za uchumi kustawi, kama vile Wizara ya sheria; Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje; Wizara ya Maji; Wizara ya Nishati; na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, hizi zote wapewe watu ambao wanayajua maeneo hayo vizuri, na wawe wanajua uzito wa sekta hizi katika kuwezesha uchumi kukua.

Tunafahamu changamoto anayokutana nayo Rais katika kuwapata watu wanaofaa, kwa sababu katiba inamlazimisha awateua kutoka miongoni mwa wabunge, na bahati mbaya wabunge waliopo ndio hao ambao hawakuchaguliwa na wapiga kura, na wengi wao wanachojua ni kugonga tu meza na kusema NDIYOO.

Katika kuondokana na tatizo hili, wabunge wote wa kuteuliwa, wapewe uteuzi wa kufanya kazi nyingine za Serikali, halafu wajiuzulu ubunge. Rais awateua watu wenye uwezo na waadilifu kuwa wabunge, ndio washikilie Wizara zote muhimu. Hawa wabunge bandia wanaweza kupewa wizara kama za utamaduni, wanawake na watoto, na mazingira,
Kuna tatizo kubwa sana kama tunategemea mabadiliko ya watu, mawaziri, ndiyo yatakayotuletea matokeo mazuri kiufanisi, katika nchi ambayo, kimsingi, matatizo yake ni ya kimfumo.

Ukiwa na tatizo la kimfumo, rekebisha mfumo. Ukibadilisha watu, wakati hujabadilisha mfumo, utakuwa sawa na mtu mwenye ugonjwa wa Kifua Kikuu, ambaye ana dalili za kukohoa, sasa anajaribu kutibu hicho Kifua Kikuu kwa kula dawa ya kupooza kikohozi ya Cofta. Hiyo dawa hata ikipooza kukohoa kwa muda mfupi, haiwezi kuponya tatizo la msingi la kifua kikuu.

Tulioona historia ndefu ya Tanzania tumeona mabadiliko mengi sana ya mawaziri. Kuna wakati rais Mwinyi alivunja baraza zima la mawaziri, kazi zikaendeshwa na makatibu wakuu kwa muda. Rais Mwinyi akasema tatizo la usalama wa raia "dawa yake inachemka". Tukajua rais anapanga mkakati mujarab wa kumaliza tatizo. Kumbe alikuwa anasema hivyo kwa maana ya kwamba dawa ya tatizo la usalama na uhalifu ni Augustin Lyatonga Mrema.

Kikapanda, kikashuka, tukaona makeke ya Mrema, mpaka alivyoondoka kwenda upinzani na kufariki. Matatizo yapo pale pale.

Tunavyoyaangalia matatizo na tunavyoyapatia ufumbuzi ni sehemu ya tatizo linalofanya matatizo hayo yadumu.

Matatizo yaliyojitokeza kutokana na mapungufu ya kimfumo hayawezi kumalizwa kwa kubadilisha watendaji.

Matatizo haya yanahitaji mabadiliko ya kimfumo.

Tusijaribu kutibu ugonjwa wa Kifua Kikuu kwa kumeza Cofta.

Tukifanya hivyo tutakuwa tunajidanganya na tutaendelea kuumwa.
 
Hivi Samia aliwahi kusema atafanya mabadiliko ya baraza la mawaziri au ni wishes za baadhi yenu?

Naona wengi mnazungumzia hili suala kama vile kuna official statement ilitoka, jambo ambalo kwangu sijawahi kuiona, na hata kama yakifanyika hayo mabadiliko, bado siamini kama yatakuwa na nafuu yoyote, hili taifa bado litandelea kukwama kwenye tope mpaka wenye nchi tutakapoamua kuondoa huo usanii wa CCM na serikali yake.
 
Kwa uchafu uliotokea, kwa kadiri ya report ya CAG ilivyoweka wazi, na namna baadhi ya Mawaziri walivyojitahidi kuulinda uovu huo kwa kauli na vitendo; kama Rais anauchukia uovo, Watanzania wanatarajia kupata baraza jipya la Mawaziri hivi karibuni
emoji419.png
emoji375.png

Ila nina mashaka sana kama hili litawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
mwizi hawezi kumwajibisha mwizi
Kwa uchafu uliotokea, kwa kadiri ya report ya CAG ilivyoweka wazi, na namna baadhi ya Mawaziri walivyojitahidi kuulinda uovu huo kwa kauli na vitendo; kama Rais anauchukia uovo, Watanzania wanatarajia kupata baraza jipya la Mawaziri hivi karibuni
Ila nina mashaka sana kama hili litawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwizi hawzi kumwajibisha mwizi
1699283131364.png
 
Ni ngumu sana kupata jino lililo salama toka katika kinywa kilicho oza,mfumo wa ccm ndio chanzo Cha matatizo yote katika nchi hii.

Kuna suluhu moja tu,nayo ni kuhakikisha ccm inaondoka madarakani na kuwa kama chama Cha KANU-Kenya.
 
Kwa uchafu uliotokea, kwa kadiri ya report ya CAG ilivyoweka wazi, na namna baadhi ya Mawaziri walivyojitahidi kuulinda uovu huo kwa kauli na vitendo; kama Rais anauchukia uovo, Watanzania wanatarajia kupata baraza jipya la Mawaziri hivi karibuni.

Nchi hii, kama ambavyo mara nyingi, wengi wetu tumesema, inashindwa kuwa na maendeleo ya kuridhisha kwa sababu ya kukosekana uongozi thabiti maeneo mengi ya Serikali na taasisi zake. Mbaya zaidi, viongozi walio wengi, wamezifanya ofisi zao kuwa madanguro ya kuporea pesa za umma. Na wengi wao, uwezo wao wa kutenda kazi ni duni sana lakini ni mabingwa wa wizi na ufisadi. Fikiria mtu anayezalisha kidogo sana, lakini anaiba sana. Hawa watu ni hasara kubwa kwa Taifa.

Sasa ni wakati wa serikali kuongozwa na watu wanaojua kutenda kuliko wanaojua kuiba na kupiga porojo.

Viwanda, apewe mtu anayevijua viwanda, mtu mwadilifu anayezijua changamoto zinazozuia viwanda vingi kujengwa Tanzania.

Kilimo apewe mtu anayekijua kilimo. Anayezijua changamoto zake kisahihi.

Wizara zinazohusika na ujenzi wa uchumi kama vile Wizara ya Fedha, Uchumi na mipango; Viwanda, Biashara na Uwekezaji; Madini; Kilimo na Uvuvi; pamoja na Wizara zinazotengeneza mazingira ya kuwezesha sekta za uchumi kustawi, kama vile Wizara ya sheria; Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje; Wizara ya Maji; Wizara ya Nishati; na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, hizi zote wapewe watu ambao wanayajua maeneo hayo vizuri, na wawe wanajua uzito wa sekta hizi katika kuwezesha uchumi kukua.

Tunafahamu changamoto anayokutana nayo Rais katika kuwapata watu wanaofaa, kwa sababu katiba inamlazimisha awateua kutoka miongoni mwa wabunge, na bahati mbaya wabunge waliopo ndio hao ambao hawakuchaguliwa na wapiga kura, na wengi wao wanachojua ni kugonga tu meza na kusema NDIYOO.

Katika kuondokana na tatizo hili, wabunge wote wa kuteuliwa, wapewe uteuzi wa kufanya kazi nyingine za Serikali, halafu wajiuzulu ubunge. Rais awateua watu wenye uwezo na waadilifu kuwa wabunge, ndio washikilie Wizara zote muhimu. Hawa wabunge bandia wanaweza kupewa wizara kama za utamaduni, wanawake na watoto, na mazingira,
Mwigulu na NAPE watoke
 
Ni ngumu sana kupata jino lililo salama toka katika kinywa kilicho oza,mfumo wa ccm ndio chanzo Cha matatizo yote katika nchi hii.

Kuna suluhu moja tu,nayo ni kuhakikisha ccm inaondoka madarakani na kuwa kama chama Cha KANU-Kenya.
Well said...
Kuna watu wanahangaika na majina au sura za watu wakati mfumo uliowaleo ndo umeoza!
 
Back
Top Bottom