Uvuvi haramu umerudi kwa kasi kubwa Kanda ya Ziwa baada ya kifo cha Dkt. Magufuli

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Nilikuwa maeneo ya Nzera jimboni kwa Msukuma uvuvi haramu umetamalaki. Makokoro na nyavu zilizopigwa marufuku maarufu kama Timba ndio zinatumika.

Nikaamua kuambaa ambaa mpaka mwambao wa ziwa wilaya Sengerema mwendo ni uleule.

Kumbe usimamizi wa sheria za nchi hutegemea na mkuu wa nchi aliepo.

Hali ni mbaya sana nyavu haramu zinaharibu mazalia ya Samaki na na hata kuua Samaki ambao hawajafikia kiwango cha kuvuliwa.
 
Kama hujui wavuvi haramu wengi ni wanasiasa! Hata huyo msukuma ulimsikia juzi anamkandia Mpina juu ya uvuvi haramu! Hapo tegemea kuongezeka kwa maradhi ya kansa! Kiongozi akisimamia sheria wanasema dikteta haya sasa endeleni kula samaki wenye sumu! Matokeo mtayapata tu!
 
Kama hujui wavuvi haramu wengi ni wanasiasa! Hata huyo msukuma ulimsikia juzi anamkandia Mpina juu ya uvuvi haramu! Hapo tegemea kuongezeka kwa maradhi ya kansa! Kiongozi akisimamia sheria wanasema dikteta haya sasa endeleni kula samaki wenye sumu! Matokeo mtayapata tu!
Tutamkumbuka hayati JPM
 
Nilikuwa maeneo ya Nzera jimboni kwa Msukuma uvuvi haramu umetamalaki. Makokoro na nyavu zilizopigwa marufuku maarufubkama Timba ndio zinatumika.

Nikaamua kuambaa ambaa mpaka mwambao wa ziwa wilaya Sengerema mwendo ni uleule.

Kumbe usimamizi wa sheria za nchi hutegemea na mkuu wa nchi aliyopo.

Hali ni mbaya sana nyavu haramu zinaharibu mazalia ya Samaki na na hata kuua Samaki ambao hawajafikia kiwango cha kuvuliwa.
#Tunalamba ASALI#
 
Nilikuwa maeneo ya Nzera jimboni kwa Msukuma uvuvi haramu umetamalaki. Makokoro na nyavu zilizopigwa marufuku maarufubkama Timba ndio zinatumika.

Nikaamua kuambaa ambaa mpaka mwambao wa ziwa wilaya Sengerema mwendo ni uleule.

Kumbe usimamizi wa sheria za nchi hutegemea na mkuu wa nchi aliyopo.

Hali ni mbaya sana nyavu haramu zinaharibu mazalia ya Samaki na na hata kuua Samaki ambao hawajafikia kiwango cha kuvuliwa.

Magufuli alipora uchaguzi na kujaza watendaji, madiwani na wabunge wa ccm kwa maelezo kuwa ni wazalendo. Sasa hao wahoji hayo maana hakuna wapinzani wa kuwakwamisha.
 
Magufuli alipora uchaguzi na kujaza watendaji, madiwani na wabunge wa ccm kwa maelezo kuwa ni wazalendo. Sasa hao wahoji hayo maana hakuna wapinzani wa kuwakwamisha.
Point ya msingi ni usimamizi wa sheria. Kama namba 1 hasimamii sheria ipasavyo lazima hata chini paharibike.
 
Point ya msingi ni usimamizi wa sheria. Kama namba 1 hasimamii sheria ipasavyo lazima hata chini paharibike.

Sio kweli, kama ni hivyo kulikuwa na haja gani ya kupora uchaguzi na kujaza wanaccm wakati namba moja anaweza kusimamia sheria?

Tunaposema katiba mpya ni muhimu ili kupunguza madaraka kwa rais na kutoa mamlaka kwa taasisi, kwanini mnakataa wakati uhalisia uko wazi?
 
Nilikuwa maeneo ya Nzera jimboni kwa Msukuma uvuvi haramu umetamalaki. Makokoro na nyavu zilizopigwa marufuku maarufubkama Timba ndio zinatumika.

Nikaamua kuambaa ambaa mpaka mwambao wa ziwa wilaya Sengerema mwendo ni uleule.

Kumbe usimamizi wa sheria za nchi hutegemea na mkuu wa nchi aliyopo.

Hali ni mbaya sana nyavu haramu zinaharibu mazalia ya Samaki na na hata kuua Samaki ambao hawajafikia kiwango cha kuvuliwa.
Kamfufue uzikwe wewe? Hao wavuvi si ndo wanyonge mlikuwa anasema wanatetewa na kichaa nyie??
 
Kama hujui wavuvi haramu wengi ni wanasiasa! Hata huyo msukuma ulimsikia juzi anamkandia Mpina juu ya uvuvi haramu! Hapo tegemea kuongezeka kwa maradhi ya kansa! Kiongozi akisimamia sheria wanasema dikteta haya sasa endeleni kula samaki wenye sumu! Matokeo mtayapata tu!
Kiongozi mmoja hawezi kufanya kazi zote kwa nchi kubwa kama Tanzania, pia muda wa kiongozi kama rais ni miaka kumi tuu, sasa kama kiongozi ameshindwa kutengeneza taasisi imara kusaidia kupambana na changamoto mbalimbali basi jua huyo hakuwa kiongozi bali ni mnyapara.
 
Nilikuwa maeneo ya Nzera jimboni kwa Msukuma uvuvi haramu umetamalaki. Makokoro na nyavu zilizopigwa marufuku maarufubkama Timba ndio zinatumika.

Nikaamua kuambaa ambaa mpaka mwambao wa ziwa wilaya Sengerema mwendo ni uleule.

Kumbe usimamizi wa sheria za nchi hutegemea na mkuu wa nchi aliyopo.

Hali ni mbaya sana nyavu haramu zinaharibu mazalia ya Samaki na na hata kuua Samaki ambao hawajafikia kiwango cha kuvuliwa.
Mambo yote haramu kiasi kikubwa huwa yanaratibiwa na wanasiasa wanauroho wa kupata pesa na wanataka wananchi wajunje Sheria kisa wapiga kura
 
Nilikuwa maeneo ya Nzera jimboni kwa Msukuma uvuvi haramu umetamalaki. Makokoro na nyavu zilizopigwa marufuku maarufubkama Timba ndio zinatumika.

Nikaamua kuambaa ambaa mpaka mwambao wa ziwa wilaya Sengerema mwendo ni uleule.

Kumbe usimamizi wa sheria za nchi hutegemea na mkuu wa nchi aliepo.

Hali ni mbaya sana nyavu haramu zinaharibu mazalia ya Samaki na na hata kuua Samaki ambao hawajafikia kiwango cha kuvuliwa.

Kinachotakiwa ni katiba mpya rafiki
 
Polen mnoo, but its over na hairudi tena asilan!!!
Nilikuwa maeneo ya Nzera jimboni kwa Msukuma uvuvi haramu umetamalaki. Makokoro na nyavu zilizopigwa marufuku maarufubkama Timba ndio zinatumika.

Nikaamua kuambaa ambaa mpaka mwambao wa ziwa wilaya Sengerema mwendo ni uleule.

Kumbe usimamizi wa sheria za nchi hutegemea na mkuu wa nchi aliepo.

Hali ni mbaya sana nyavu haramu zinaharibu mazalia ya Samaki na na hata kuua Samaki ambao hawajafikia kiwango cha kuvuliwa.
 
Nilikuwa maeneo ya Nzera jimboni kwa Msukuma uvuvi haramu umetamalaki. Makokoro na nyavu zilizopigwa marufuku maarufubkama Timba ndio zinatumika.

Nikaamua kuambaa ambaa mpaka mwambao wa ziwa wilaya Sengerema mwendo ni uleule.

Kumbe usimamizi wa sheria za nchi hutegemea na mkuu wa nchi aliepo.

Hali ni mbaya sana nyavu haramu zinaharibu mazalia ya Samaki na na hata kuua Samaki ambao hawajafikia kiwango cha kuvuliwa.
Ndo maana tunataka katiba mpya
 
Back
Top Bottom