uujn
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 666
- 849
imebidi nicheke tu.Mwite, mwambie nakuonya kwa mara mwisho
Akishupaza shingo
Adhabu zipo nyingi duniani mkuu, usitake nizitaje nionekane mimi ni katili
imebidi nicheke tu.Mwite, mwambie nakuonya kwa mara mwisho
Akishupaza shingo
Adhabu zipo nyingi duniani mkuu, usitake nizitaje nionekane mimi ni katili
Huyo ni shetani kapata nafasi ya kukushambulia. Usimpe nafasi. Mshtaki kwa bosi pia tumia vikao vya wafanyakazi kusema ukweli.Ka
Kazi ilifutika kwenye computer na ni baada ya mteja kuitelekeza kwa mwaka mzima , na hata baada ya kutokea hilo nikajaribu kurecover imeshndikana sikua na jinsi zaid ya kurudisha hela .. naona jamaa akatumia kama njia ya kunichafua
Mtumie hizo clip halafu ukae kimya, kifupi ajue umeisha mjua ni snitch vinginevyo ataendelea kukusumbua.Kwa sas kuna jamaa tunafanya nae kazi amenisingizia na kunichafua sana kazini kulitokea hitilifu nikapoteza kazi ya mteja bahati mbaya.
Mteja alivyokuja ofisini akajaza maneno ya uongo nilichofanya nikarudisha hela kwa yule mteja lakini bado jamaa anaendelea kunichafua nimemuonya mara kadhaa lakini anakataa kua hafanyi hivyo.
lakini ushahidi ninao wa sauti na wa picha (screenshots) maana anaowaambia maneno mabaya huwa wananiambia...
Nimejaribu kumuepuka lakini bado ananifatilia tu na kuendelea kunichafua.
Je, nimfanye nini huyu mtu?
Wewe ulimuudhi Kwa kuwachafulia ofisi Kwa udokozi wako, hivyo ilimuuma na ulipaswa kukamatwa na kufukuzwa Kazi in short wewe ni mwizi unapaswa kufukuzwa, kwa nini ulimuibia mteja?
Mkuu kwa niaba ya wajumbe naomba uainishe hata adhabu mbili konki blaza naomba kuwasilishaMwite, mwambie nakuonya kwa mara mwisho
Akishupaza shingo
Adhabu zipo nyingi duniani mkuu, usitake nizitaje nionekane mimi ni katili
Inakuwaje wanaotosheka na mishahara yao wanaitwa wavivu ?Mkuu chezea vyooote cio kaz. Kaz ndo heshima yako, ndo inayokuweka mjini.
Acha kuendekeza tamaa na utosheke na mshahara wako hata km ni wa senti mbili.
Nao askari wakamwuliza, “Na sisi tufanye nini?” Naye akawajibu, “Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.” - Luka 3:14