Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,127
- 13,358
Tunaomba tumsikilize na huyo jamaa pia
Tunaomba tumsikilize na huyo jamaa pia
Achana na wanaokwambia sijui anayasema madhaifu yako, mara blah blah kibao.Umenena vyema .. jana nimeshndwa kulala kbsa namtafakari
Skiza dogo.Ka
Kazi ilifutika kwenye computer na ni baada ya mteja kuitelekeza kwa mwaka mzima , na hata baada ya kutokea hilo nikajaribu kurecover imeshndikana sikua na jinsi zaid ya kurudisha hela .. naona jamaa akatumia kama njia ya kunichafua
Nimefanya kazi kwa muda mrefu ila hii ndo ya kwanza kuniletea mattz ya kupotea na ni kwa sababu kwa navofanya kazi mteja or wateja huwa hawaachi kazi zaid ya mwez sasa huyu akaiacha mwaka mzima na nilivokua nampgia simu ananijibu mkato
Soma vzr mazee. Nimesema mambo tunayoona ni makosa ya kawaida vs uzembeKazi gani ambayo haina changamoto???
Skiza dogo.
Siku zote ukweli ni mchungu ila anayekwambia ukweli ndio anakujenga uwe bora zaidi badala ya anayekupamba tu.
We chukulia hiyo km changamoto ya kukujenga hadi uwe chuma cha pua/mtaalam/nguli kwenye eneo hilo, usijenge bifu za kijinga.
Kwa mfano Mi nikuulize tu; kama kitu ulishakisevu kwenye computer (kama ulivyosema mwenyewe hapo) hicho kitu KINAFUTIKAJE au inakuwaje HAKIONEKANI tena?
Usiwe gOiGoI, Badilika.
Una habari saivi tupo uchumi wa kati?
Mpe last warning kama asipoelewa mpe adhabu kali sana
Achana na wanaokwambia sijui anayasema madhaifu yako, mara blah blah kibao.
Kama hujawahi kufitiniwa kazini ukarudi mtaani ukaonja msoto hadi ukatamani kufa, basi endelea kumchekea huyo boya.
Katika kutengeneza uzao wako usicheke na watu wa namna hiyo sababu watu kama hao wataleta mateso makali na aibu kuanzia kwako na kwa watoto pengine hadi wajukuu
Kuna watu wanateseka sana hapa duniani kwa sababu ya mijitu kama hiyo
jifunze kuwa na back up unaonekana mzembe now you have learned the hard wayUngekua unatumia computer au unauelewa usingeuliza kuhusu kufutika
Anasema sisi hatujawahi kutumia computerjifunze kuwa na back up unaonekana mzembe now you have learned the hard way
Sasa wewe una kila aina ya ushahidi fanya hivi.Kwa sas kuna jamaa tunafanya nae kazi amenisingizia na kunichafua sana kazini kulitokea hitilifu nikapoteza kazi ya mteja bahati mbaya.
Mteja alivyokuja ofisini akajaza maneno ya uongo nilichofanya nikarudisha hela kwa yule mteja lakini bado jamaa anaendelea kunichafua nimemuonya mara kadhaa lakini anakataa kua hafanyi hivyo.
lakini ushahidi ninao wa sauti na wa picha (screenshots) maana anaowaambia maneno mabaya huwa wananiambia...
Nimejaribu kumuepuka lakini bado ananifatilia tu na kuendelea kunichafua JE NIMFANYE NINI HUYU MTU?
acha utapeli broKwa sas kuna jamaa tunafanya nae kazi amenisingizia na kunichafua sana kazini kulitokea hitilifu nikapoteza kazi ya mteja bahati mbaya.
Mteja alivyokuja ofisini akajaza maneno ya uongo nilichofanya nikarudisha hela kwa yule mteja lakini bado jamaa anaendelea kunichafua nimemuonya mara kadhaa lakini anakataa kua hafanyi hivyo.
lakini ushahidi ninao wa sauti na wa picha (screenshots) maana anaowaambia maneno mabaya huwa wananiambia...
Nimejaribu kumuepuka lakini bado ananifatilia tu na kuendelea kunichafua JE NIMFANYE NINI HUYU MTU?
Utapeli upiacha utapeli bro
Inaonekana bado mtoto hujajua dunia unaendaje ..wee samehe endelea na kazi yako...kwani ukifumba macho utapungukiwa?
Adhabu ya kugegeda mhalifu, hata mimi hapo zamani nilikuwa nadhania kuwa ni njia bora kuitumia, maana inamaliza hasira zote moyoni na ukimsamehe mtu, unamsamehe kweli kweli.Unapaswa umshukuru jamaa anawaambia watu madhaifu yako ili wakusaidie ubadilike.mtu wa hivyo ni mzuri kuliko akikwambia wewe peke yako tu.so anawaambia na wengine ili nao wasije wakaacha kazi kwako ukapoteza.hivyo anakusaidia.
Adhabu.
Adhabu inategemeana na unavyomuona mwingine unaweza mpa adhabu ya kunywa beer na asije akakusahau tena duniani.mwingine unampa adhabu ya kumgegeda, adhabu ya kumchapa bakora...hatuwezi kukupangia adhabu.labda uwe hujadhamilia kumwadhibu.