chakufia nini
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 692
- 456
raia wa burundi waliogopa sana risasi,wakafa sana kwa risasi hizo hatimaye sasa hata risasi haziogopwi tena.hebu tazama walipofikia.na huku ndiyo tunakoelekea
raia wa burundi waliogopa sana risasi,wakafa sana kwa risasi hizo hatimaye sasa hata risasi haziogopwi tena.hebu tazama walipofikia.na huku ndiyo tunakoelekea
Yafaa kuyasikia tu haya!
vita isikie kwa jiran tu lakn isikukute ww....
vita isikie kwa jiran tu lakn isikukute ww....
We si ndoulisema sababu tunayo, nia tunayo na uwezo pia tunao!