Uvinza Siendi Tena

Uvinza Siendi Tena

Ni kweli mkuu...unajua kuna mambo ni magumu sana kuyaeleza kwenye mapenzi..na mojawapo ni hili..The thing needs to be very clean above suspicion..ambayo kwa mazingira ya kibongo,,very few people can maintain that..kama unavyosema..issue sio tu usafiri wa kukodi ila hata usafiri wangu mwenyewe bado sijashauri...

SnowBall unajua wengi wanafikiri tatizo ni usafiri wa kukodi kumbe sivyo!

Kumbe hata kwa usafiri wako binafsi unaweza kushindwa kufika uvinza! Swala la uvinza linahitaji usafiri safi na unaojaliwa vyema!
 
Ahsante kwa ushauri mkuu, hata hivyo naamini "kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa kubwa". Naapa uvinza sitaenda tena regardless usafiri ni wa kukodi au binafsi.

utakuwa huutendei haki usafiri binafsi
 
Power G ..tatizo lako ulianzia uvinza...siku nyingine anzia Makunduchi..ila tu gari binafsi ndo rahisi kulifanyia monitoring
 
bora ulishutka mapema maana ungepata ugonjwa unaoitwa Kimeta! sijui unaujua ugonjwa wa kuvimba mdomo kwa mbuzi na kutoa mapele makubwa kama chuping ya Nyumba
 
lolz..there's no way i should not ask why??
Just tell me..au kama vipi fanya hivi...dont wash your dirty linen in public
Twende kuleeee....

Huenda nilikuwa naongozwa na hisia he he he!!!!
 
Utamwambia kulikuwa na msongamano ulikuwa kwenye gari mtu akakugusa au????

nikikaribia home najigalagaza chini najifanya nilianguka tatizo litakuwa kwenye uturi... lakini majibu fasaha hayatakosekana nikiwa nimepiga vyombo.
 
Nimependa ulivyofanya kimsamiati hii thread yako. Ila ukome cku ingne. Hahahaaa!
 
nikikaribia home najigalagaza chini najifanya nilianguka tatizo litakuwa kwenye uturi... lakini majibu fasaha hayatakosekana nikiwa nimepiga vyombo.

Ishu ndogo hiyo we njoo na vitu vyako vyeupe ukipakwa mapoda, malipstic, mapafyum tutajua what to do!!!!!!
 
Power G ..tatizo lako ulianzia uvinza...siku nyingine anzia Makunduchi..ila tu gari binafsi ndo rahisi kulifanyia monitoring
Napokea ushauri wako mkuu kwa mikono miwili. Next time nitjaribu kuanzia safari "makundu-chi" baadaye ndiyo niende "uvinza". Ingawa sina imani kama kwa kufanya hivyo kutabadili hali ya hewa niliyokutana nayo uvinza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom