Pamoja daima!CCM Oyeee
Mgekuwa na akili mgehama ccm,Zanzibar imebaki magofu hamna maendeleo ndo maana mmkimbilia bara babu yetu karume angefufuka akaiona znz ilivyo angepata presha angekufa tena
shida umerith kwenu,,sio tatizo ccm,,mbona kuna wengine wanaishi vizuri tena ndani ya ccm hii....?