TAARIFA YA UMOJA WA VIJANAWA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM) KATIKA MAZUNGUMZO NA WAANDISHI WA HABARI,
AFISI KUU YA UVCCM, MAISARA
Ndugu waandshi wa habari
Assalama Alaykum
Ndugu waandishi wa habari,
VCCM tukiwa ni jeshi la msitari wa mbele la CCM tunataingaza rasmi vita ya mapambano ya hoja kwa hoja katika siasa na sasa tunasema Aluta kontinua. Mapambano yanaendelea dhidi ya mawakala wa ubeberu na ukabaila waliojipenyeza katika siasa za nchi yetu, Sisi UVCCM tunawaambia kamwe Ikulu ya Magogoni kule Dar es Salaam na ile ya Mnazi Mmoja hapa Zanzibar katu haitakuwa mahamia au machaka ya kujificha Mafisadi.
Asanteni kwa kunisikiliza.
Shaka Hamdu Shaka (MNEC)
Naibu Katibu Mkuu UVCCM (Tz) Zanzibar
6. Agost 2015