...hivi UVCCM wapo ? nakumbuka walimtisha mzee sita eti hawatamuunga mkono kwenye harakati zake za urais, li sita likawambia uvccm haipo hai maana vijana wanao jivunia wote wapo upinzani,bhahhaahahhaaaa....
Mbona hawa wanatapatapa......eti UVCCM ndiyo nini?...UKAWA wanaenda kwenye kampeni za kistaarabu vita mnayo nyie MaCCM....Kina JOB ...naibu spika ndiyo wapo vitani....UKAWA TARATIBU tunaingia kwenye kampeni "UZOEFU BILA UWEZO"ni BURE!!
Mgekuwa na akili mgehama ccm,Zanzibar imebaki magofu hamna maendeleo ndo maana mmkimbilia bara babu yetu karume angefufuka akaiona znz ilivyo angepata presha angekufa tena
ivi kati ya Lowasa na Magufuli nani anafa kuwa raisi?wanatwanga maji kwenye kinu kwakweli ccm!sasaivi kura kwa lowasa uraisi labda mbunge wa ccm ndio atapata kura yangu akiwa na sera nzuri akiwa na sera mbaya na chinjia baharini nawapa ukawa!hi nchi siyo yakikundi flani!ccm ni kikundi flani na si ccm ninayoijua mimi!ccm ina ufamilia pia!FUNGUENI MACHO UVCCM MSIWE MISIKULE KILA MARA VIJANA WANGU WA UVCCM!TUIPUMZISHE CCM TUONE MIAKA 5 WATAFANYA NINI!MTARUDI TENA BADA YA MIAKA 5!NAAPA KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU CCM IMEKUFA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.