❇️ ASANTENI SINGIDA KWA MAPOKEZI MAKUBWA, HII NI IMANI KUBWA YA USHINDI WA KISHINDO KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KWENYE UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025
Asanteni sana kwa shukurani zenu mlizopeleka kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo makubwa aliyofanya mkoa wa Singida kwenye sekta ya elimu, afya, miundombinu, maji na kugusa maisha ya kila mmoja.
Asanteni kwa kutekeleza sera ya Vijana na Uchumi na kuwa darasa kwa UVCCM mikoa mingine kuanzisha vitega uchumi kuondoa utegemezi.
Asante kwa kujitokeza kwa wingi kumpokea na kumsikiliza Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC).
Asanteni sana kwa shukurani zenu mlizopeleka kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo makubwa aliyofanya mkoa wa Singida kwenye sekta ya elimu, afya, miundombinu, maji na kugusa maisha ya kila mmoja.
Asanteni kwa kutekeleza sera ya Vijana na Uchumi na kuwa darasa kwa UVCCM mikoa mingine kuanzisha vitega uchumi kuondoa utegemezi.
Asante kwa kujitokeza kwa wingi kumpokea na kumsikiliza Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC).