Uuzaji Bange ulivyonibadilisha tabia

Uuzaji Bange ulivyonibadilisha tabia

Umekuwa na tabia gani ambayo haukuwa nayo kabla?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukorofi (undava), sikuwa na ubinadamu, kutokuheshimu wazazi na yeyote yule watu pekee niliokuwa nawaona wa maana kwangu na kuwanyenyekea ni wanaoniuzia bange.

Pia nilikuwa siwezi hata kutamka neno shenzi mbele ya hata mtoto mdogo ile kitu ikafanya matusi yanikae ncha ya mbele ya ulimi.
 
Mkuu kuna siku za mwanzo wakati kila nikiwaona kina wiz khalifa na snoop Dogg wanavyosifia mmea na Mimi nikashawishika kununua.

Nikanunua, nikatoa mbegu na vijiti yale majani nikayasaga kiganjani kama navyoonaga wengine wanavyofanya, kwavile nlikuwa siwezi kuweka kwenye rizla nlichofanya nilinunua sigara nikatoa tumbaku yote alafu ndio nikaingiza bangi humo.

Nikaenda shambani kuivuta, ghafla nikasikia "PAAAA!!!!!" Kama kitu kimepasuka kwenye bangi, ule moshi wake uliumiza koo langu, basi nikaahirisha zoezi nikarudi geto.

Basi geto nmefika nikajilaza kitandani, bwana bwana wee, damu nahisi ikaanza kupita kwa spidi sana kwenye mishipa ya machoni, nilihisi kabisa Leo macho yangu yanapasuka na ntakua kipofu.

Nikanawa nawa na maji angalau kwa mbali ile hali ikapungua kwa mbali ila hali hii ilidumu kwa mwaka unakuta kila wiki lazima kuna siku nahisi damu inapita kwa kasi machoni hasa nikiwa nimeingia kitandani basi nakesha hadi saa nane ndio macho yanatulia.

Sina hamu tena na bange, Je hii ilisababishwa na nini mtaalam
 
Hii imeka vipi?
Pis moja ya bange unauziwa shilingi mia inakuwa ni kadogo nilichokuwa nakifanya naenda kuzigunga mwenyewe mapis marefu ili nivutie wateja wangu maana wauzaji tulikuwa wengi na sikuwa na shida na mahela mengi kihivyo.

Sasa unaipaki kwa urefu wa mfuko wa suruali ya shule ili ukiiwekea isionekane, sasa hii ikawa inanipunguzia mapato.
 
Hujatueleza mafanikio yako mkuu.Pamoja na harakati zako je nini cha maana ulikipata?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika umri wa miaka 17 tu nilishika million 4 cash za kwangu mwenyewe sijahongwa na mwanamke, sijapewa urithi, sijakaba, wala sijatumua nguvu. Akili tu.

Pia nilikuwa natumia pesa kuliko walimu kwa wiki na-spend hata laki nzima hata sikuwahi kuulizwa natoa wapi maana mzee ni boss wa Magereza mpaka sasa hajafika 60. (walimu walikuwa wakinilinda sijaeleza niliyokuwa nafanya shule nitafahamika)
 
Pis moja ya bange unauziwa shilingi mia inakuwa ni kadogo nilichokuwa nakifanya naenda kuzigunga mwenyewe mapis marefu ili nivutie wateja wangu maana wauzaji tulikuwa wengi na sikuwa na shida na mahela mengi kihivyo.

Sasa unaipaki kwa urefu wa mfuko wa suruali ya shule ili ukiiwekea isionekane, sasa hii ikawa inanipunguzia mapato.
Ulikua unaunganisha ngapi ili kupata huo urefu wa mfuko wa suruali na kupata faida?

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Mkuu kuna siku za mwanzo wakati kila nikiwaona kina wiz khalifa na snoop Dogg wanavyosifia mmea na Mimi nikashawishika kununua.

Nikanunua, nikatoa mbegu na vijiti yale majani nikayasaga kiganjani kama navyoonaga wengine wanavyofanya, kwavile nlikuwa siwezi kuweka kwenye rizla nlichofanya nilinunua sigara nikatoa tumbaku yote alafu ndio nikaingiza bangi humo.

Nikaenda shambani kuivuta, ghafla nikasikia "PAAAA!!!!!" Kama kitu kimepasuka kwenye bangi, ule moshi wake uliumiza koo langu, basi nikaahirisha zoezi nikarudi geto.

Basi geto nmefika nikajilaza kitandani, bwana bwana wee, damu nahisi ikaanza kupita kwa spidi sana kwenye mishipa ya machoni, nilihisi kabisa Leo macho yangu yanapasuka na ntakua kipofu.

Nikanawa nawa na maji angalau kwa mbali ile hali ikapungua kwa mbali ila hali hii ilidumu kwa mwaka unakuta kila wiki lazima kuna siku nahisi damu inapita kwa kasi machoni hasa nikiwa nimeingia kitandani basi nakesha hadi saa nane ndio macho yanatulia.

Sina hamu tena na bange, Je hii ilisababishwa na nini mtaalam
Ilikuwa ni hofu tu ungeendelea ingekuwa tiba nzuri ya consciousness.

Hata sigara ukiianza kwa mara ya kwanza kabisa utaona mwili kama sip wako unavuta kila sehemu na kadri unavyopiga pafu ndio joints zinaachia.

Bange kwa mtu anayeanza anatakiwa avute sehemu anayoweza kulala hapohapo kwa sababu ule moshi wake una nguvu unavyopita njia ya hewa.
Ungevuta alafu ungelala ukaamka tena ukavuta alafu unakuwa na pipi kifua zile zinafanya koo liwe jepesi unavyovuta hewa inakua ya bariiidi.

Ule ubaridi ungepelekea kuwa na kichwa chepesi na hasira za muda mfupi sasa itakubidi ulale japo usingizi hautakuwa nao.
 
Ilikuwa ni hofu tu ungeendelea ingekuwa tiba nzuri ya consciousness.

Hata sigara ukiianza kwa mara ya kwanza kabisa utaona mwili kama sip wako unavuta kila sehemu na kadri unavyopiga pafu ndio joints zinaachia.

Bange kwa mtu anayeanza anatakiwa avute sehemu anayoweza kulala hapohapo kwa sababu ule moshi wake una nguvu unavyopita njia ya hewa.
Ungevuta alafu ungelala ukaamka tena ukavuta alafu unakuwa na pipi kifua zile zinafanya koo liwe jepesi unavyovuta hewa inakua ya bariiidi.

Ule ubaridi ungepelekea kuwa na kichwa chepesi na hasira za muda mfupi sasa itakubidi ulale japo usingizi hautakuwa nao.
Mkuu sijui umeelewa vizuri, damu ilikuwa inapita kwa kasi sana machoni, ni maumivu makali sana, sasa ningeendeleaje aisee, kwanini ilipasuka paaah! Anyway kwa sigara haijawahi kunipa shida kabisa.

Wewe ulikua unauza ulizonyonga mwenyewe mtu skinunua anavuta au unampa kete atasokota mwenyewe??

Kitu cha pili naona ulikuwa unapata faida ndogo mkuu, nina ndugu yangu katoka mara kaja hapa mkoa nilipo afanye kazi, akawa anashangaa jinsi bangi ilivyo gharama, yeye anasema huko kwao elfu kumi unapewa bangi lifurushi, kwa hesabu zake bangi ya elf 10 akiileta huku mbeya mjini akiiuza kwa kete wanazouzaga jero yeye anaweza kufungisha kete zaidi ya 200 anauza kwa makadirio ya laki.....yani faida Mara kumi....
 
Nasokota mwenyewe.
Umelewa nilichokuliza?,sijakuliza Kama ulikua unasokotewa au laa ,nimekuliza ulikua unaunganieha pisi ngapi izo za shilling mia Hadi kupata huo urefu wa suruali ?sijuitunaelewana!!

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Hii ni kitu gani?
Mtu anajisifia kuuza bangi....
Si ndio hawa hawa wanawauzia watoto wetu madawa ya kulevya.....
Mods mlengesheni huyu kwa vyombo husika akakae mahali stahili. Ushahidi wa kutosha tunao
 
Umelewa nilichokuliza?,sijakuliza Kama ulikua unasokotewa au laa ,nimekuliza ulikua unaunganieha pisi ngapi izo za shilling mia Hadi kupata huo urefu wa suruali ?sijuitunaelewana!!

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Hayo mahesabu yakuunganisha pisi hayakuwepo.

Kilichokuwa kinafanyika ni kufungua zote na kuzi-pack upya na hii ndio kanuni ya drug supplier wote.
 
Hii ni kitu gani?
Mtu anajisifia kuuza bangi....
Si ndio hawa hawa wanawauzia watoto wetu madawa ya kulevya.....
Mods mlengesheni huyu kwa vyombo husika akakae mahali stahili. Ushahidi wa kutosha tunao
Waambie, tena wa-tag kabisa.

Watu kama wewe msiweke mazoea na mtu yeyote ambaye unamfahamu anauza hautaamini kitakachotokea.
Ni tahadhari nakupa
 
Back
Top Bottom