Kwa niniVery professional
Kwa majibu haya hujawai uza bangi fisi maji wewe!!ila unaitaji kujiunga na huo ujinga shauri ya ugumu wa kipato,nakushauri wacha ayo mawazo pesa haiji kirahisi namna hiyoHayo mahesabu yakuunganisha pisi hayakuwepo.
Kilichokuwa kinafanyika ni kufungua zote na kuzi-pack upya na hii ndio kanuni ya drug supplier wote.
siku zote dawa kwa mara ya kwanza usivute peke yako zile feelings zinapoanza kuja unaweza kujihisi tofauti utaanza ku-react na mapigo ya moyo kwenda kasi hivyo utajipatia madhara mengine, muhimu uwe na rafiki na aitengeneze vizuri kisha upate kadhaa.Mkuu kuna siku za mwanzo wakati kila nikiwaona kina wiz khalifa na snoop Dogg wanavyosifia mmea na Mimi nikashawishika kununua.
Nikanunua, nikatoa mbegu na vijiti yale majani nikayasaga kiganjani kama navyoonaga wengine wanavyofanya, kwavile nlikuwa siwezi kuweka kwenye rizla nlichofanya nilinunua sigara nikatoa tumbaku yote alafu ndio nikaingiza bangi humo.
Nikaenda shambani kuivuta, ghafla nikasikia "PAAAA!!!!!" Kama kitu kimepasuka kwenye bangi, ule moshi wake uliumiza koo langu, basi nikaahirisha zoezi nikarudi geto.
Basi geto nmefika nikajilaza kitandani, bwana bwana wee, damu nahisi ikaanza kupita kwa spidi sana kwenye mishipa ya machoni, nilihisi kabisa Leo macho yangu yanapasuka na ntakua kipofu.
Nikanawa nawa na maji angalau kwa mbali ile hali ikapungua kwa mbali ila hali hii ilidumu kwa mwaka unakuta kila wiki lazima kuna siku nahisi damu inapita kwa kasi machoni hasa nikiwa nimeingia kitandani basi nakesha hadi saa nane ndio macho yanatulia.
Sina hamu tena na bange, Je hii ilisababishwa na nini mtaalam
Kweli Omera.siku zote dawa kwa mara ya kwanza usivute peke yako zile feelings zinapoanza kuja unaweza kujihisi tofauti utaanza ku-react na mapigo ya moyo kwenda kasi hivyo utajipatia madhara mengine, muhimu uwe na rafiki na aitengeneze vizuri kisha upate kadhaa.
Ni gharama mkuu bange inahitaji mwanga na maji ukipanda ndani kwako itabidi upageuze pawe greenhouse ndogo.
Ukilima vinginevyo inakuwa na radha kama mwanamke anayetumika sana mchachuu!
Tafufa mataa makubwa (tubelights), feni, na bomba la maji dogo tu kachukue udongo mzuri ulikouona (ule wa mbugani) weka kama ka greenhouse kako panda mmea na hilo bomba linakuwa linadondosha maji matone matone ili usipate shida ya kumwagilia.
Ili usisanukiwe maji usijiungie kwenye mabomba kuwa na kipipa kidogo tu shuhuli imeisha.
Sir bange ni nzuri kwa sababu tano.Mkuu Leo mtu akikuuliza bange ni nzuri au si nzuri utajibu vipi?
Asijaribu kama hana shughuli rasmi ya kumuingizia kipato, asijaribu kama yuko shuleni.Una kipi cha kumshauri mtu anayetaka kujiingiza ktk matumizi?
Sir bange ni nzuri kwa sababu tano.
1. Inaingiza kipato.
2. Inafanya mvutaji awe na akili sana.
3.Inafanya mvutaji awe makini kwa chochote.
4. Inafanya mtu awe mchapakazi.
5. Haikufanyi uwe mtu wa kupenda ngono. (Tofauti na drugs zingine)
Asijaribu kama hana shughuli rasmi ya kumuingizia kipato, asijaribu kama yuko shuleni.
Ahsante.
Kwa anayejua wanakouza rizzla kwa being jumlajumla mwanza anielekeze please...Sir bange ni nzuri kwa sababu tano.
1. Inaingiza kipato.
2. Inafanya mvutaji awe na akili sana.
3.Inafanya mvutaji awe makini kwa chochote.
4. Inafanya mtu awe mchapakazi.
5. Haikufanyi uwe mtu wa kupenda ngono. (Tofauti na drugs zingine)
Asijaribu kama hana shughuli rasmi ya kumuingizia kipato, asijaribu kama yuko shuleni.
Ahsante.