Uuzaji Bange ulivyonibadilisha tabia

Uuzaji Bange ulivyonibadilisha tabia

Historia yangu ni ndefu kidogo ila nitaifupisha

Mwaka fulani baada ya vurugu za hapa na pale Geita Secondary, Butimba Day na Mwanza Sec nilitimuliwa, nikahamia Manguanjuki (Lake) iliyoko Singida kuanza kidato cha tatu.

Pale nilikuwa huru sana, nikawa na tumia hela hovyo hovyo bahati mbaya sana wazazi wangu wakagundua na kunikacha kuwa nijitegemee mwenyewe si nimeshakua na hii ndio ikawa safari yangu rasmi ya kuuza Bange niliwahi kuuza hapo awali ila kwa uchache sana.

Kuna Bro mmoja stand ya zamani ya Singida alikuwa mwanangu sana tulifahamiana kwa sababu ya uchezaji wangu wa pooltable nikishika fimbo hutoki, nikanunua mzigo wa elfu 10 kwake kama kianzio nilivyouza nikapata elfu 30 kama faida nikaona maisha si ndio haya sasa, nikanunua tena wa 20K nikapata elfu 60.

Nilikuwa nikiuza sehemu yoyote yenye pool table nikimaliza mzigo narudi shule chap. Siku moja yule bro nikamsikia anaagiza nikamvizia nikaiba ile namba nikawasiliana na yule jamaa akakataa kabisa hafanyi hiyo biashara ikabidi nimshirikishe tu bro ndo nikapata mzigo wangu wa kwanza pis moja ilikuwa 100 mimi nauza 1000.

Nilipata mzigo wa kwanza kwa elfu 50 na nikapata faida mara mbili nikaagiza tena nikapata laki tatu, nyakati fulani nikiwa likizo Mwanza mama akaniuliza "Mbona huombi hela siku hizi mwenzetu" nikajibu "Huna hela ya kunipa mimi" tulikuwa tunaishi kotaz za Magereza, Butimba. Nikawa najiamini kupitiliza nikaanza kulima mwenyewe Kishiri nikawa maarufu kwa muda mfupi sana nikaacha kuuzia raia maana nilianza kuchomewa nikawa nauza kwa mapoti tu.

Nilivyorudi tena Singida ndio nikawa moto wa gesi hadi vijijini nikawa naenda, kuna kijiji kinaitwa Kinampanda kuna chuo cha Ualimu pale nikaanza kuuza siku moja ambayo nilivunja sheria yetu ni kumuuzia dogo mmoja huko Kinampanda ambaye si mwanafunzi akakamatwa kwa wizi wa kuku, lahaula! akakutwa na bange pia! Wakambana aseme alikoitoa dogo akanitaja nikaanza kuliwa timing na serikali ya kijiji.

Kuna siku nikaenda tena mapis yangu yalikuwa marefu naweka kwenye soksi, najaza mfukoni na kwenye begi nikauza chap chap nikapata laki na nusu ghafla tu begi likabaki tupu nikabakisha za mifukoni kuna wadada wawili wakanifuata na kuniambia unaitwa pale dukani, kufika pale nikaambiwa "ingia mwenyewe" nilikuwa mbabe sana nikaingia kwa matambo nikaiona ile bange yangu iko mezani nilistuka nikakalia pipa lenye maji nikamwaga zote moja tu ikadondoka chini nikaulizwa "hiyo ya nani?" Nikajibu "Yangu" tukapelekwa Polisi nikawa najiamini sana si mtoto wa soldier bana nikaambiwa leta namba ya ndugu yako nikatoa ya bro hakupatikana ikabidi nitoe ya mzee lahaula mzee akasema "fungeni huyo" nilichanganyikiwa ila nikajikaza kiume.

Kesho yake tukawa tunapelekwa Singida mjini na yule dogo kufika center ya kile kijiji tukakutana na Mwinjilisti wa kike wa Singida mjini ambaye mwanae wa kike aliwahi kunitambulisha kwake, alihuzunika sana akawasihi wale maaskari tukae kidogo akajadiliana nao kama masaa matatu wakiwa na watendaji wa kijiji baadae tukafunguliwa pingu na kuambiwa niondoke na nisiwahi kurudi hicho Kijiji tena.

Sikukoma yakanikuta makubwa nilipofuata mzigo tena Oldonyo Sambu.


Kipande cha Mwisho.

Baada ya kurudi shule yule Mwinjilisti alikuwa anakuja kunitembelea kila weekend ananipigisha maombi hata nusu saa nzima. Kuna siku alifanya kosa akanipa elfu 20 badala ya elfu 5 aliyozoea, alikuwa akifanya hivi baada ya kugundua wazazi wamenitupa kiaina kutokana na tabia zangu ila kilichomvutia zaidi ni kufanya kwangu vizuri darasani akaamini ipo siku Mungu atanibadilisha.

Katikati ya wiki nilienda Arusha kijiji cha Oldonyo Sambu, nikakutana na washikaji ninaofahamiana nao (sikuwa na urafiki na watu naolingana nao umri) wakanipeleka kwenye bei rahisi zaidi.

Donyo kuna mapori na mmoja wa wale jamaa alikuwa anaendesha lori la kubeba miti humohumo wanatia DIME. (Dime ni Kilo ya bange) baada ya kupata mzigo nikaondoka, ulipoisha nikafata tena. Nilikuwa navaa uniform naporudi Singida ili nisiwe suspected kwa chochote vilevile sikuwa na hofu kabisa.

Wale jamaa wakaona dogo anatupiga gape hivihivi tunaona haiwezekani wakaanza kuleta na wao nilivyoona vile nikaanza kuvuka border sasa.
Napoandika border sio nje ya nchi ni nje ya mkoa nikaanza kuuza Igunga, Nzega na Haydom.
Hili lilikuwa kosa kubwa sana nililowahi kufanya maana nikawa nawauzia watu na maeneo nisioyajua vizuri, muuza bange au madawa yoyote hauzi eneo ambalo halijui ni anamuuzia retailer wa hilo eneo ambaye anawafahamu watu wake.

Nikawa naenda Nzega, pale milori inapaki sana na pooltables ni nyingi nahakikisha sirudi na pis hata moja na ilikuwa hivyo siku zote.

Siku moja niko Nzega nauza usiku kwenye pooltables kumbe sungusungu ndio wameshika kasi, wakati narudi lodge nikadakwa kwanini nazurura alafu peke yangu wakanipeleka ofisini kwao nikalala fresh tu juu ya matofali lile jengo lilikuwa halijakamilika.
Asubuhi majamaa yakanipiga search yakakuta pisi tano mfukoni na laki moja hayakunilazia damu yaliniosha fimbo mbaya alafu yakanipeleka kituoni.

Shukrani sana kwa mzee wangu sikulala hata cello na sikuwahi kurudi Singida tena mpaka baada ya miaka mitatu na nusu.

Hii ni story ya kweli ya maisha yangu.
Wewe kama sio "bulakifaya" (in Mahushi's voice) badi utakuwa ulihusiwa na Tangaro uache mibangi kule Serengeti East au Mochwari! hahahhha

Hujasema yote, sema mpaka Kinampanda Madukani ulipokuwa unauza na kununua kwa kina Gift, Mayunga na Benasta! maana ulikuwa unasambaza mpaka Tumaini sekondari kule Chepo


Ukibisha naweka na picha! hahahhaaaa

Zasiku nyingi mwana? hahaha
 
Wewe kama sio "bulakifaya" (in Mahushi's voice) badi utakuwa ulihusiwa na Tangaro uache mibangi kule Serengeti East au Mochwari! hahahhha

Hujasema yote, sema mpaka Kinampanda Madukani ulipokuwa unauza na kununua kwa kina Gift, Mayunga na Benasta! maana ulikuwa unasambaza mpaka Tumaini sekondari kule Chepo


Ukibisha naweka na picha! hahahhaaaa

Zasiku nyingi mwana? hahaha
Nitunzie kau-anonymous kangu mkuu.

Zile moments za Kinampanda acha kabisa nazikumbuka mno, ya Tumaini sitaki kuyasema watanijua. 😂
 
Nitunzie kau-anonymous kangu mkuu.

Zile moments za Kinampanda acha kabisa nazikumbuka mno, ya Tumaini sitaki kuyasema watanijua. 😂
𝙷𝚊 𝚑𝚊 𝚑𝚊 𝚑𝚊 𝚒𝚝𝚊𝚋𝚒𝚍𝚒 𝚗𝚒𝚖𝚜𝚊𝚕𝚒𝚖𝚒𝚎 𝙱𝚘𝚗𝚣𝚘!
 
Kwa nini kuendelea na biashara hii DeWitts

Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kukamatwa na Sungusungu Nzega walinitia fimbo nyingi sana walihakikisha sitembei vizuri wiki nzima ile haikutosha baada ya kurudishwa nyumbani nikaanza tiba shule nilisimama.

Nilianza msoto wa miezi kama sita sitoki kwenda kokote mwenyewe, na silali mwenyewe. Hii haikutosha washikaji waliokuwa wanakuja kuniona Rais wao wakapigwa stop.

Baadaye ikaja suluba naamshwa saa 11 nakimbizwa hadi jeshini na mjomba ili tu mwili utoe sumu, jioni napelekwa bustani ya jela na mzee kulima na ni lazima hakuna ombi.

Siku moja nikamdindia mjomba maeneo ya ilipo Nyamagana sec sasa hivi kulikuwa na kipori flani hivi nikajaribu kumtingisha alinifumua kiasi kwamba nikawa nikimuona natetemeka. Toka hapo nikanyoosha maelezo na nilikuja kuomba kwenda shule mwenyewe.
 
Golden rule of drug traffickers is don't cheat if you cheat you're dead!

Kwa Tanzania you need to be able to trust people and this cost lots of them.
 
Historia yangu ni ndefu kidogo ila nitaifupisha

Mwaka fulani baada ya vurugu za hapa na pale Geita Secondary, Butimba Day na Mwanza Sec nilitimuliwa, nikahamia Manguanjuki (Lake) iliyoko Singida kuanza kidato cha tatu.

Pale nilikuwa huru sana, nikawa na tumia hela hovyo hovyo bahati mbaya sana wazazi wangu wakagundua na kunikacha kuwa nijitegemee mwenyewe si nimeshakua na hii ndio ikawa safari yangu rasmi ya kuuza Bange niliwahi kuuza hapo awali ila kwa uchache sana.

Kuna Bro mmoja stand ya zamani ya Singida alikuwa mwanangu sana tulifahamiana kwa sababu ya uchezaji wangu wa pooltable nikishika fimbo hutoki, nikanunua mzigo wa elfu 10 kwake kama kianzio nilivyouza nikapata elfu 30 kama faida nikaona maisha si ndio haya sasa, nikanunua tena wa 20K nikapata elfu 60.

Nilikuwa nikiuza sehemu yoyote yenye pool table nikimaliza mzigo narudi shule chap. Siku moja yule bro nikamsikia anaagiza nikamvizia nikaiba ile namba nikawasiliana na yule jamaa akakataa kabisa hafanyi hiyo biashara ikabidi nimshirikishe tu bro ndo nikapata mzigo wangu wa kwanza pis moja ilikuwa 100 mimi nauza 1000.

Nilipata mzigo wa kwanza kwa elfu 50 na nikapata faida mara mbili nikaagiza tena nikapata laki tatu, nyakati fulani nikiwa likizo Mwanza mama akaniuliza "Mbona huombi hela siku hizi mwenzetu" nikajibu "Huna hela ya kunipa mimi" tulikuwa tunaishi kotaz za Magereza, Butimba. Nikawa najiamini kupitiliza nikaanza kulima mwenyewe Kishiri nikawa maarufu kwa muda mfupi sana nikaacha kuuzia raia maana nilianza kuchomewa nikawa nauza kwa mapoti tu.

Nilivyorudi tena Singida ndio nikawa moto wa gesi hadi vijijini nikawa naenda, kuna kijiji kinaitwa Kinampanda kuna chuo cha Ualimu pale nikaanza kuuza siku moja ambayo nilivunja sheria yetu ni kumuuzia dogo mmoja huko Kinampanda ambaye si mwanafunzi akakamatwa kwa wizi wa kuku, lahaula! akakutwa na bange pia! Wakambana aseme alikoitoa dogo akanitaja nikaanza kuliwa timing na serikali ya kijiji.

Kuna siku nikaenda tena mapis yangu yalikuwa marefu naweka kwenye soksi, najaza mfukoni na kwenye begi nikauza chap chap nikapata laki na nusu ghafla tu begi likabaki tupu nikabakisha za mifukoni kuna wadada wawili wakanifuata na kuniambia unaitwa pale dukani, kufika pale nikaambiwa "ingia mwenyewe" nilikuwa mbabe sana nikaingia kwa matambo nikaiona ile bange yangu iko mezani nilistuka nikakalia pipa lenye maji nikamwaga zote moja tu ikadondoka chini nikaulizwa "hiyo ya nani?" Nikajibu "Yangu" tukapelekwa Polisi nikawa najiamini sana si mtoto wa soldier bana nikaambiwa leta namba ya ndugu yako nikatoa ya bro hakupatikana ikabidi nitoe ya mzee lahaula mzee akasema "fungeni huyo" nilichanganyikiwa ila nikajikaza kiume.

Kesho yake tukawa tunapelekwa Singida mjini na yule dogo kufika center ya kile kijiji tukakutana na Mwinjilisti wa kike wa Singida mjini ambaye mwanae wa kike aliwahi kunitambulisha kwake, alihuzunika sana akawasihi wale maaskari tukae kidogo akajadiliana nao kama masaa matatu wakiwa na watendaji wa kijiji baadae tukafunguliwa pingu na kuambiwa niondoke na nisiwahi kurudi hicho Kijiji tena.

Sikukoma yakanikuta makubwa nilipofuata mzigo tena Oldonyo Sambu.


Kipande cha Mwisho.

Baada ya kurudi shule yule Mwinjilisti alikuwa anakuja kunitembelea kila weekend ananipigisha maombi hata nusu saa nzima. Kuna siku alifanya kosa akanipa elfu 20 badala ya elfu 5 aliyozoea, alikuwa akifanya hivi baada ya kugundua wazazi wamenitupa kiaina kutokana na tabia zangu ila kilichomvutia zaidi ni kufanya kwangu vizuri darasani akaamini ipo siku Mungu atanibadilisha.

Katikati ya wiki nilienda Arusha kijiji cha Oldonyo Sambu, nikakutana na washikaji ninaofahamiana nao (sikuwa na urafiki na watu naolingana nao umri) wakanipeleka kwenye bei rahisi zaidi.

Donyo kuna mapori na mmoja wa wale jamaa alikuwa anaendesha lori la kubeba miti humohumo wanatia DIME. (Dime ni Kilo ya bange) baada ya kupata mzigo nikaondoka, ulipoisha nikafata tena. Nilikuwa navaa uniform naporudi Singida ili nisiwe suspected kwa chochote vilevile sikuwa na hofu kabisa.

Wale jamaa wakaona dogo anatupiga gape hivihivi tunaona haiwezekani wakaanza kuleta na wao nilivyoona vile nikaanza kuvuka border sasa.
Napoandika border sio nje ya nchi ni nje ya mkoa nikaanza kuuza Igunga, Nzega na Haydom.
Hili lilikuwa kosa kubwa sana nililowahi kufanya maana nikawa nawauzia watu na maeneo nisioyajua vizuri, muuza bange au madawa yoyote hauzi eneo ambalo halijui ni anamuuzia retailer wa hilo eneo ambaye anawafahamu watu wake.

Nikawa naenda Nzega, pale milori inapaki sana na pooltables ni nyingi nahakikisha sirudi na pis hata moja na ilikuwa hivyo siku zote.

Siku moja niko Nzega nauza usiku kwenye pooltables kumbe sungusungu ndio wameshika kasi, wakati narudi lodge nikadakwa kwanini nazurura alafu peke yangu wakanipeleka ofisini kwao nikalala fresh tu juu ya matofali lile jengo lilikuwa halijakamilika.
Asubuhi majamaa yakanipiga search yakakuta pisi tano mfukoni na laki moja hayakunilazia damu yaliniosha fimbo mbaya alafu yakanipeleka kituoni.

Shukrani sana kwa mzee wangu sikulala hata cello na sikuwahi kurudi Singida tena mpaka baada ya miaka mitatu na nusu.

Hii ni story ya kweli ya maisha yangu.
Umekuwa na tabia gani ambayo haukuwa nayo kabla?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni gharama mkuu bange inahitaji mwanga na maji ukipanda ndani kwako itabidi upageuze pawe greenhouse ndogo.
Ukilima vinginevyo inakuwa na radha kama mwanamke anayetumika sana mchachuu!

Tafufa mataa makubwa (tubelights), feni, na bomba la maji dogo tu kachukue udongo mzuri ulikouona (ule wa mbugani) weka kama ka greenhouse kako panda mmea na hilo bomba linakuwa linadondosha maji matone matone ili usipate shida ya kumwagilia.

Ili usisanukiwe maji usijiungie kwenye mabomba kuwa na kipipa kidogo tu shuhuli imeisha.

Huu mchezo nitakuja niufanye siku, maana huku kitaa kuna watumiaji wengi sana.

Vipi upatikanaji wa mbegu?

Na nilime kiasi gani atleast nione faida


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huu mchezo nitakuja niufanye siku, maana huku kitaa kuna watumiaji wengi sana.

Vipi upatikanaji wa mbegu?

Na nilime kiasi gani atleast nione faida


Sent from my iPhone using JamiiForums
Miche 20 anza nayo, mbegu fata Tabora.
But not safe for your life kabisa.
 
Back
Top Bottom